Diamond Platnumz kawapeleka wafanyakazi wake Wasafi Village baada ya kufungiwa kwa siku 7

Diamond Platnumz kawapeleka wafanyakazi wake Wasafi Village baada ya kufungiwa kwa siku 7

Hiv karibuni wasafi FM ilifungiwa kutokana na kosa la Baba levo kuongea lugha fulani ambayo sio nzuri kwenye kipindi. Baada ya media kufungiwa boss wao Diamond Platnumz ndo kwanza akawapeleka Wafanyakazi wake wote wa media sehemu ya kula bata na kurelax hiyo sehemu wakaiita "Wasafi village" na ilitegemewa labda akasirike au ampanish Baba Levo lakini ikawa tofauti.

Baada ya kufika hilo eneo Diamond akatoa speech kwa wafanyakazi wake kwanini amewaleta hapo namnukuu " baada ya sisi kufungiwa najua itakuwa imewaudhi kikubwa lakini nimewaleta hapa Ili mtulize akili zenu lakini nitawaleta maofisa wa TCRA kutoa elimu kwenu na taratibu za kanuni za media ili next time lisijirudia Tena".

Baada ya hapo akamwita Baba Levo aombe msamaha kwa watanzania na kwa wafanyakazi wake ili kuweka mambo sawa.

Maisha ya wafanyakazi wa Wasafi kwenye Wasafi Village wamekuwa wakirusha live kupitia YouTube pamoja na Wasafi Tv ambako hapajafungiwa. Nimependa sana hii idea inatufanya tujue tabia za wakina George Ambangile nje ya kuchambua mpira anakuaje? Binti Suleiman Yuko VIP n.k

Binafsi nimependa vimbwanga vya mzee Mbwela huyu mzee ana vituko Sana pamoja na Baba Levo.

N.B Namna alivyofanya Diamond inasaidia Sana wafanyakazi kutengeneza bond lakini pia kujuana zaidi ndio namna ambavyo boss uwe hivyo. Hii pia inasaidia mfanyakazi kujisikia anajariwa.

Big up kwa hii kitu.
TCRA wametoa adhabu nogo sana, uswahili unaaribu watoto wetu, ingefa kukatiwa rufaa nakuongezwa hiyo adhabu
 
Kwamba Mondi 'atawaleta' maafisa wa TCRA kambini hapo kutoa elimu kwa Wasafi!

Hizi ni dharau, ila sishangai.
Sijaona dharau yoyoye iyo regulatory tunailipa sisi wanananchi kwa kodi ili kulinda content za media na vitu vingine tunavyolishwa consumers sisi ni maboss wao ivo, Diamond yupo sahihi kuwaleta hao maofisa hapo Wasafi village mana elimu watakayotoa sio tu itakuwa kwa hao ma presenters wa Wasafi bali itatufikia Watanzania wengi kwa sababu tayari event imesha grabbe antention, Diamond yupo vizuri sana na kila tatizo kwake analiona fursa na kucreate more, Kijana anaitazama dunia kwa jicho la tatu haswa, Kongole kwako Nasibu
 
TCRA wametoa adhabu nogo sana, uswahili unaaribu watoto wetu, ingefa kukatiwa rufaa nakuongezwa hiyo adhabu
jaji mfawidhi Wakitoa adhabu nyingine na Bata litazidi kuendelea kwasababu kitendo Cha kula ban Wasafi wametumia Kama fursa ya kibishara wanarusha live maisha ya watangazaji wao na wameshapata wadhamini si chini ya 5 imekuwa Kama big brother hivi
 
Sijaona dharau yoyoye iyo regulatory tunailipa sisi wanananchi kwa kodi ili kulinda content za media na vitu vingine tunavyolishwa consumers sisi ni maboss wao ivo, Diamond yupo sahihi kuwaleta hao maofisa hapo Wasafi village mana elimu watakayotoa sio tu itakuwa kwa hao ma presenters wa Wasafi bali itatufikia Watanzania wengi kwa sababu tayari event imesha grabbe antention, Diamond yupo vizuri sana na kila tatizo kwake analiona fursa na kucreate more, Kijana anaitazama dunia kwa jicho la tatu haswa, Kongole kwako Nasibu
Na kizuri pia watanzania wameipokea vizuri idea yake na wanataka iwe endelevu isiishie tu kwenye hii ban kazi kwake Diamond
 
Hii inaweza kuwa Marketing Strategy Ya Kutangaza Hotel Yake Mpya. Lakini Kwa Hizi Siku 4 WASAFI TV imekuwa Ikifuatiliwa sanaaaaaa kuliko kipindi chochoteer. so TCRA ni Kama Wamempiga Teke Chura kila mtu anataka kufuatilia maisha ya watangazi
 
Hii inaweza kuwa Marketing Strategy Ya Kutangaza Hotel Yake Mpya. Lakini Kwa Hizi Siku 4 WASAFI TV imekuwa Ikifuatiliwa sanaaaaaa kuliko kipindi chochoteer. so TCRA ni Kama Wamempiga Teke Chura kila mtu anataka kufuatilia maisha ya watangazi
Na me nilikuwa nafikiri Kama wewe inaweza ikawa kweli Ni strategy ya kutangaza hoteli yake
 
Yan Leo baba levo anaajiriwa na Domo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ila baba levo si ndio yule wa wachuja nafaka alieimba na necha Radhia wangu wewe namba one
 
Back
Top Bottom