Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vp nawewe dada una hamu ukagegedwe?kitakachoendelea hapo ni uzinzi tu
😂😂😂😂😂😂Vp nawewe dada una hamu ukagegedwe?
Ila kama kibonge ujue baba levo hatakupenda
SEMA tu ukweli hata usiogopeNipo busy na kampeni ya big brother naija
SEMA tu ukweli hata usiogope
hata kamawasingekuwepo village ndgu watu wazima wanakutana popote palekitakachoendelea hapo ni uzinzi tu
kulana tena la kuuliza hilo jamani....mtoto kama adela yule yuko single unadhani hakuna namna nyingne ya kujieleza kweli??Wacha wapumzike kisela na si mbaya wakikulana maana wote wakubwa hao
sasa wangekuwa kk security mmhhhh wangejuta maana mnmhh kampuni zetu zingne hizi ukifanya kosa tu barua mezani tutaonana Mungu akipendaNzur hiyo wafanyakazi mbali na kuwaza ujinga hii uwafanya wajione wapo mahali salama kwa kazi
watafika sehemu watasema hata pumzi ni ya Jo maker..kumbe ni mshenzi mmoja hivi hevi kweli huyo jo atambulike sana kuliko msingi walioweka akina Mengi jamani ...marehemu mengi kasaidia wanagapi jamani tuwe wakweli>????mwangalie seki leo katokea wapi???lakini kila kitu utasikia anamuiga jo maker kumbe ni mshenzi mmoja tuKwahiyo ukiishi vizuri na wafanyakazi wako unamuiga Jo sio?
Hivi shule mlienda kusomea UJINGA?
ushamgegedaAll in All BintiSuleimani Ni Mnyamwezi Sanaaa Na Mtamu Sanaaa
eti ni kweli wewe ni wali nazi au wamakusingizia tu humu?Wee mwanamke kijiba cha roho kitakupa pressure.
🤣🤣🤣🤣🤣eti ni kweli wewe ni wali nazi au wamakusingizia tu humu?
kwani hiyo waliyo enda ni hotel ya diamond?Na me nilikuwa nafikiri Kama wewe inaweza ikawa kweli Ni strategy ya kutangaza hoteli yake
Ndio mzeekwani hiyo waliyo enda ni hotel ya diamond?
ni kuwapotezea mudah ao vijakazi wake namshauri ni bora akawapeleka chuo hao wafanyakazi wake kama anawapenda sana wakasommee hata diploma ya uandishi wa habari manake wanaropoka sana wanapokuwa studio ,vipindi vingi vya wasafi vimekuwa kama kijiwe cha umbea cha kiswaziSijaona dharau yoyoye iyo regulatory tunailipa sisi wanananchi kwa kodi ili kulinda content za media na vitu vingine tunavyolishwa consumers sisi ni maboss wao ivo, Diamond yupo sahihi kuwaleta hao maofisa hapo Wasafi village mana elimu watakayotoa sio tu itakuwa kwa hao ma presenters wa Wasafi bali itatufikia Watanzania wengi kwa sababu tayari event imesha grabbe antention, Diamond yupo vizuri sana na kila tatizo kwake analiona fursa na kucreate more, Kijana anaitazama dunia kwa jicho la tatu haswa, Kongole kwako Nasibu
Unataka kuniambia maulidi kitenge,Ahmed Abdullah, Charles William,lil ommy, George ambangile,Edo kumwembe,binti Suleiman,Yusuph mkule hawajasoma uandishi wa habari?uko
ni kuwapotezea mudah ao vijakazi wake namshauri ni bora akawapeleka chuo hao wafanyakazi wake kama anawapenda sana wakasommee hata diploma ya uandishi wa habari manake wanaropoka sana wanapokuwa studio ,vipindi vingi vya wasafi vimekuwa kama kijiwe cha umbea cha kiswazi
Badala awapeleke chuo wakasomee hata diploma anawapotezea muda.
kwa mujibu wa sheria %95 ya wafanyakazi wa wasafi fm hawanana sifa na vigezo vya kuwa watangazaji kwani hawana elimu hiyo
Punguza GUBU kinegaBadala awapeleke chuo wakasomee hata diploma anawapotezea muda.
kwa mujibu wa sheria %95 ya wafanyakazi wa wasafi fm hawanana sifa na vigezo vya kuwa watangazaji kwani hawana elimu hiyo
Mi nahisi ni mipango jamaa hakutukana kwa makosa.......mipango ile maana kwa kiki tu hawajambochibu ni mtu wa fursa sana, imagine hadi makosa ya wafanya kazi anayafanya fursa ya kujibrand