Diamond Platnumz kawapeleka wafanyakazi wake Wasafi Village baada ya kufungiwa kwa siku 7

Diamond Platnumz kawapeleka wafanyakazi wake Wasafi Village baada ya kufungiwa kwa siku 7

Wacha wapumzike kisela na si mbaya wakikulana maana wote wakubwa hao
 
Nzur hiyo wafanyakazi mbali na kuwaza ujinga hii uwafanya wajione wapo mahali salama kwa kazi
sasa wangekuwa kk security mmhhhh wangejuta maana mnmhh kampuni zetu zingne hizi ukifanya kosa tu barua mezani tutaonana Mungu akipenda
 
Kwahiyo ukiishi vizuri na wafanyakazi wako unamuiga Jo sio?
Hivi shule mlienda kusomea UJINGA?
watafika sehemu watasema hata pumzi ni ya Jo maker..kumbe ni mshenzi mmoja hivi hevi kweli huyo jo atambulike sana kuliko msingi walioweka akina Mengi jamani ...marehemu mengi kasaidia wanagapi jamani tuwe wakweli>????mwangalie seki leo katokea wapi???lakini kila kitu utasikia anamuiga jo maker kumbe ni mshenzi mmoja tu
 
Badala awapeleke chuo wakasomee hata diploma anawapotezea muda.
kwa mujibu wa sheria %95 ya wafanyakazi wa wasafi fm hawanana sifa na vigezo vya kuwa watangazaji kwani hawana elimu hiyo
 
uko
Sijaona dharau yoyoye iyo regulatory tunailipa sisi wanananchi kwa kodi ili kulinda content za media na vitu vingine tunavyolishwa consumers sisi ni maboss wao ivo, Diamond yupo sahihi kuwaleta hao maofisa hapo Wasafi village mana elimu watakayotoa sio tu itakuwa kwa hao ma presenters wa Wasafi bali itatufikia Watanzania wengi kwa sababu tayari event imesha grabbe antention, Diamond yupo vizuri sana na kila tatizo kwake analiona fursa na kucreate more, Kijana anaitazama dunia kwa jicho la tatu haswa, Kongole kwako Nasibu
ni kuwapotezea mudah ao vijakazi wake namshauri ni bora akawapeleka chuo hao wafanyakazi wake kama anawapenda sana wakasommee hata diploma ya uandishi wa habari manake wanaropoka sana wanapokuwa studio ,vipindi vingi vya wasafi vimekuwa kama kijiwe cha umbea cha kiswazi
 
uko

ni kuwapotezea mudah ao vijakazi wake namshauri ni bora akawapeleka chuo hao wafanyakazi wake kama anawapenda sana wakasommee hata diploma ya uandishi wa habari manake wanaropoka sana wanapokuwa studio ,vipindi vingi vya wasafi vimekuwa kama kijiwe cha umbea cha kiswazi
Unataka kuniambia maulidi kitenge,Ahmed Abdullah, Charles William,lil ommy, George ambangile,Edo kumwembe,binti Suleiman,Yusuph mkule hawajasoma uandishi wa habari?
 
Badala awapeleke chuo wakasomee hata diploma anawapotezea muda.
kwa mujibu wa sheria %95 ya wafanyakazi wa wasafi fm hawanana sifa na vigezo vya kuwa watangazaji kwani hawana elimu hiyo
Badala awapeleke chuo wakasomee hata diploma anawapotezea muda.
kwa mujibu wa sheria %95 ya wafanyakazi wa wasafi fm hawanana sifa na vigezo vya kuwa watangazaji kwani hawana elimu hiyo
Punguza GUBU kinega
 
chibu ni mtu wa fursa sana, imagine hadi makosa ya wafanya kazi anayafanya fursa ya kujibrand
Mi nahisi ni mipango jamaa hakutukana kwa makosa.......mipango ile maana kwa kiki tu hawajambo
 
Back
Top Bottom