Diamond Platnumz kawapeleka wafanyakazi wake Wasafi Village baada ya kufungiwa kwa siku 7

Hii inaweza kuwa Marketing Strategy Ya Kutangaza Hotel Yake Mpya. Lakini Kwa Hizi Siku 4 WASAFI TV imekuwa Ikifuatiliwa sanaaaaaa kuliko kipindi chochoteer. so TCRA ni Kama Wamempiga Teke Chura kila mtu anataka kufuatilia maisha ya watangazi
Mwenyewe nahisi ni mipango si bure
 
Unataka kuniambia maulidi kitenge,Ahmed Abdullah, Charles William,lil ommy, George ambangile,Edo kumwembe,binti Suleiman,Yusuph mkule hawajasoma uandishi wa habari?
taja apa elimu zao pia elimu za na akina Dida, Baba levo, sijui nani yule aliyempiga mtama mtu stejini
kimsingi kwa mujibu wa The Media Service Act, No. 12 of 2016 hawastahili kuwa watangazaji
 
taja apa elimu zao pia elimu za na akina Dida, Baba levo, sijui nani yule aliyempiga mtama mtu stejini
kimsingi kwa mujibu wa The Media Service Act, No. 12 of 2016 hawastahili kuwa watangazaji
Ulivokomaa na Hizo diploma za Uandishi wa Habari mwisho utataka walinzi wa geti.. wahudumu ... wafanya usafi wa Wasafi wote wawe na diploma ya uandishi. Wengine ni washehereshaji tu kunakua na professional mmoja katika kila kipindi chunguza Utaona. Unataka wawe kama redio one...!!!!
 
Diamond is the best CEO utasema ana Ph.D aisee huyu dogo is naturally blessed with skills
 
taja apa elimu zao pia elimu za na akina Dida, Baba levo, sijui nani yule aliyempiga mtama mtu stejini
kimsingi kwa mujibu wa The Media Service Act, No. 12 of 2016 hawastahili kuwa watangazaji
Dida ana diploma ya maswala ya habari aliyoipata DSJ ,nakumbuka alizungumza kipindi cha Mkasi akihojiwa na Salama .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…