Diamond Platnumz kuzungumza na vyombo vya habari kesho saa 5 asubuhi

Diamond Platnumz kuzungumza na vyombo vya habari kesho saa 5 asubuhi

Kuna method ya kuua ushindani kwenye soko haswa kama mnaona kuna mshindani anayeteteresha mauzo yenu, Hapa unaanzisha kampuni jingine halafu unatengeneza hali ya ushindani FAKE kati ya hizo kampuni na mwisho wa siku watu watamsahau mshindani kama hatosoma alama za nyakati mapema..
Mkuu umeongea point sn ila nahic vilaza wameongezeka sn jf hakun ht m1 aliekueleza...nahic tuna tatizo la wambea wa insta kuamia jf wanabwabwaja 2 badala ya kuanalyse vi2 critical na sensitive....ili dokezo lako linaweza kua na ukweli ndani yake.. time will tell so 2we na subira kidogo
 
Sio mmoja ya watu waliowahi kusubiri downfall ya yeyote hata kama ni adui yangu sembuse ya hao ambao sijawahi kufahamiana nao in person,Never!

Je wajua konde amechelewa sana kupata mashabiki wake mwenyewe? mpaka kipindi fulani tulipenyeza maoni usafini kuwa ufanyike mkakati maalumu wa ku rectruit mashabiki wa konde na Rayvanny, hii ilikuwa before mboso, Lavalava na nani sijui yule hawaja sign wasafi? Rayvanny na konde ni watu waliobebwa na mashabiki wa DP kwa muda sana mpaka mzigo wa kutoa support ukawaelemea mashabiki, hivyo usifikiri Konde au yeyote ana Jeshi kubwa kiasi aweze kufanikisha fitna dhidi ya wasafi. Jeshi lake ni dogo sana, anatakiwa akaze sana kusimamisha jeshi lake kama lile lililo nyumba ya DP, uzuri amepata bahati ya kukokota pia haters wa DP the same kilichokuwa kinatokea kwa kiba. DP sio mwepesi anaweza kuacha kuimba leo hii lakini ataendelea kuwa na influence kwa muda mrefu sana, kum- underrate ni kujipa moyo tu.
Umemaliza kila kitu dp ni zaidi ya msanii unaweza kusema ni kama taasisi Fulani so it's not that easy jamaa kumuangusha kizembe tu
 
Kabisa, tuone kesho kama hataongea mambo ya harmonize, nakumbuka mwanzoni kabisa niliandika humu harmonize kapeleka milioni 600 WCB tena cash ikiwa kwenye buti ya BMW X6 Diamond akakataa kupokea watu wakanishambulia sana...mwezi mmoja baadae harmonize kaja kuthibitisha milioni mia tano na ushee baada ya majadiliano
Harmonize hawezi kumtetemesha mtu ambae tayari anamtaji yeye ndio anawezeshwa
 
Ahaa boss wetu lazima tumsikilize anasemaje.afu hiyo uno mbona siiskii ikipigwa au ndo ilisha fungiwa.
 
team kiba wameamua kumsapot konde boy ili walete kasheshe mjin, hongeren kwa kujaribu bt sitaki kuamin kama mtafaulu
 
Mmmmmmmmmmh mtu mwenye kuzidiwa kila kitu aje amtishe king him self diamond, we jamaa usiwe unakula bangi mbichi kupitia mdomo hayo ndo mazara take hilo limachinga Hamna kitu toa pumba zako zimezochanganywa na mashudu OK,be carefully with your heart go and sleep ebooooooh.

Oya heshima ni kitu cha bure, kuwa makini
 
Uyu jamaa ana akili sana sijajua ni akili zake au wapo wataalumu wa mambo nyuma
 
Ngoja nitafute ile clip ya harmonize anavyomshangilia diamond na ney wa mitego wakipiga show dar live ngoma inaitwa MUZIKI IGANI kipind hicho harmonize akiitwa Rajabu wa Chitoholi... KONDEBOY NA DP NAONA WAMEAMUA KUKINGA HELA MIKONO YOTE
 
Ngoja nitafute ile clip ya harmonize anavyomshangilia diamond na ney wa mitego wakipiga show dar live ngoma inaitwa MUZIKI IGANI kipind hicho harmonize akiitwa Rajabu wa Chitoholi... KONDEBOY NA DP NAONA WAMEAMUA KUKINGA HELA MIKONO YOTE
Kila mtu ana historia ya maisha alipotokea .Kitu cha msingi jitahidi usibaki huko ulipokuwa.Hata matajiri kama kina Mo na Trump km wangeridhika na utajiri wa baba zao Leo wasingekuwa mabilionea!
 
Harmonize hawezi kumtetemesha mtu ambae tayari anamtaji yeye ndio anawezeshwa
Harmonizer alikuwa wasafi hivyo anazijua sarakasi zote,figisu zote. Yeye anakwenda kuziboresha tu. Believe me Harmonizer ndo atakuwa competitor mkubwa wa Nassib.
 
Sidhani. Me naona kashafeli tukianza na management inayomsimamia.
Harmonizer alikuwa wasafi hivyo anazijua sarakasi zote,figisu zote. Yeye anakwenda kuziboresha tu. Believe me Harmonizer ndo atakuwa competitor mkubwa wa Nassib.
 
Sidhani. Me naona kashafeli tukianza na management inayomsimamia.
Hawa wanajua figisu zote. Time will tell. Kama wasafi walimtoa kafara Mwarabu ili tu Harmonizer aendelee kuwepo Wasafi.
Harmonizer baada ya kuona mwarabu anamlala Sarah,Harmo alitishia kuondoka wasafi.Ila ikabidi wasafi wamuondoe mwarabu ili Harmo abaki. Believe me Harmonizer ni strong competitor wa Naseeb.
 
Sidhan ila im sure anaenda kutolea ufafanuzi juu ya kashfa za unyonyaji maana mpaka gazeti la mwananchu liripoti taarifa hiyo negative hivo lazima aliweke sawa mapema

Ndio ajue hawez kumfurahisha kila mtu maisha haya. Kuna watu watakupenda na wengne watakuchukia ndio maana hata luge alikua anachukiwa na kuchukuliwa mnyonyaji sasa kiko wap hata yeye yamekua yaleyale.
 
Back
Top Bottom