Diamond Platnumz kuzungumza na vyombo vya habari kesho saa 5 asubuhi

Diamond Platnumz kuzungumza na vyombo vya habari kesho saa 5 asubuhi

Mkuu umeongea point sn ila nahic vilaza wameongezeka sn jf hakun ht m1 aliekueleza...nahic tuna tatizo la wambea wa insta kuamia jf wanabwabwaja 2 badala ya kuanalyse vi2 critical na sensitive....ili dokezo lako linaweza kua na ukweli ndani yake.. time will tell so 2we na subira kidogo

Siku ya kwanza tu Harmonize kajitoa nikawaambia watu hapa kuna mchezo,watu wanataka matamasha yote mawili Wasafi festival na Fiesta yafane na njia pekee ni kutengeneza mpinzani fake wa Diamond baada ya Kiba kuonekana hana jipya.

Hapo ndipo chaguo likawa Harmonize na ghafla anaenda kuwa face of Fiesta.

Huyu Kusaga ni mjanja sana,naamini kwa dhati kabisa kuwa ana mkono wake Wasafi FM hivyo mpinzani wa ukweli wa Clouds ni E Fm tu.
 
Hawa wanajua figisu zote. Time will tell. Kama wasafi walimtoa kafara Mwarabu ili tu Harmonizer aendelee kuwepo Wasafi.
Harmonizer baada ya kuona mwarabu anamlala Sarah,Harmo alitishia kuondoka wasafi.Ila ikabidi wasafi wamuondoe mwarabu ili Harmo abaki. Believe me Harmonizer ni strong competitor wa Naseeb.
Huyo mwarabu alikuwa na impact gani pale. Embu kuwa serious.
Yaani una kuku wawili mmoja anataga mayai 10 mwingine anaishia mawili. Kaja mgeni umchinje anayetaga 10 si utakuwa wendawazimu. (Hakukua na ugumu wowote kumuondoa huyo mtunisha misuli)

Hakuna cha figisu game ni usimamiaji na mbinu za kibiashara. Yaani mtu unaondoka kwenye lebo kubwa unaenda kwa mtu anaitwa Jembe ni jembe😂😂😂

Domo ana mameneja watatu mmoja akiwa wa nje. Tafakari tu hilo utajua kuwa Domo akili kubwa sana.
 
Domo ameshaongea huko?,wengine tuko mbali na tv/radio tusaidieni kasemaje
 
Huyo mwarabu alikuwa na impact gani pale. Embu kuwa serious.
Yaani una kuku wawili mmoja anataga mayai 10 mwingine anaishia mawili. Kaja mgeni umchinje anayetaga 10 si utakuwa wendawazimu. (Hakukua na ugumu wowote kumuondoa huyo mtunisha misuli)

Hakuna cha figisu game ni usimamiaji na mbinu za kibiashara. Yaani mtu unaondoka kwenye lebo kubwa unaenda kwa mtu anaitwa Jembe ni jembe😂😂😂

Domo ana mameneja watatu mmoja akiwa wa nje. Tafakari tu hilo utajua kuwa Domo akili kubwa sana.
Hajakwenda kwa Jembe ni jembe. Jembe ndo kaja kwa Harmonizer. Huyo jembe kilaza tu.
 
Domo ameshaongea huko?,wengine tuko mbali na tv/radio tusaidieni kasemaje
Kazungumza meng ila kikubwa ni wasaf festival itakayofanyika tar9 mwez11, muda kuanzia saa1 asubuhi mpaka 6 usiku sehemu viwanja vya posta.Watashiriki wasanii wanaoimba maadh tofauti tofauti wakongwe na wasasa kutoka ndani na njee ya nchi. Na wataanza kutambulishwa kuanzia leo jioni kupitia vipindi mbalimbal kama sport court block89 na vipind vingine vya wasafi fm.Kutakua na tiketi za kawaida VIP pamoja na VVIP.
 
Hawa wanajua figisu zote. Time will tell. Kama wasafi walimtoa kafara Mwarabu ili tu Harmonizer aendelee kuwepo Wasafi.
Harmonizer baada ya kuona mwarabu anamlala Sarah,Harmo alitishia kuondoka wasafi.Ila ikabidi wasafi wamuondoe mwarabu ili Harmo abaki. Believe me Harmonizer ni strong competitor wa Naseeb.
Hahahahabhahahaha kwani wasafi ndo walisema wewe sarah utalala na mwarabu??? Ilikuwaje??? Dadavua ...wadingemuondoa mwarabu angeendelea kumpakua Sarah??
 
Kazungumza meng ila kikubwa ni wasaf festival itakayofanyika tar9 mwez11, muda kuanzia saa1 asubuhi mpaka 6 usiku sehemu viwanja vya posta.Watashiriki wasanii wanaoimba maadh tofauti tofauti wakongwe na wasasa kutoka ndani na njee ya nchi. Na wataanza kutambulishwa kuanzia leo jioni kupitia vipindi mbalimbal kama sport court block89 na vipind vingine vya wasafi fm.Kutakua na tiketi za kawaida VIP pamoja na VVIP.
Thanks kiongozi
 
Harmonizer alikuwa wasafi hivyo anazijua sarakasi zote,figisu zote. Yeye anakwenda kuziboresha tu. Believe me Harmonizer ndo atakuwa competitor mkubwa wa Nassib.
Naona mmeamisha magoli,

Muda utangea.
 
Back
Top Bottom