Tatizo kunya anye bata akinya kuku kaharisha.Alidai yeye ni wa intaneshno ajabu karudi kubishana na loko atists,
Wenye intaneshno yao wanajaza tu maarena.
Anajua wakipatana ndio mwisho wake wa kuongelewa.Diamond Kuna kipindi alitaka wapatane, mjivuni kakataa mapatano.
Kiba ni mjivuni, jeuri na mswahili zaidi ya Diamond. Wamekutana pipa na mfuniko.Diamond mswahili Vs kiba ni mjivuni na jeuli watajua wenyewe.
Mafundi umeme kutoka Tanesco[emoji1787]Hao ndo akina nani hapa nchini?
Na anamchokozaga Kiba....kama huu ugomvi ni yeye kaanza...naona kamuingiza hadi Amina bila sababu.Alidai yeye ni wa intaneshno ajabu karudi kubishana na loko atists,
Wenye intaneshno yao wanajaza tu maarena.
Sasa kwanini wasiambiane inbox huko?Vita ya maneno imezidi kushika kasi kati ya diamond na Alikiba
Cheki hapo chiniView attachment 2703404
Mzigo wa Amina aliuchakata DomoHii vita kaitaka Kiba mwenyewe, na hili ndo linatokea unapoanzisha vita na mtu kama Domo ambae wala hajali watu watasema nini juu yake. Maisha ya Domo ni kama open book huku ya Kiba yakiwa ya usiri mno lakini sio kwamba msafi. Akiendelea kutupiana madongo na mtu kama Domo ataishia kudhalilishwa kama hilo la kuambiwa bila shaka anafahamu habari za Domo na Amina. Hapa iwe kweli au si kweli, kwa tabia za Domo lazima watu wataamini kwamba aligonga mke wa Kiba.
Unagombana na chizi unategemea akuchagulie tusi?Kiujumla kuingiza mwanamke kwenye ugomvi wenu nyie wanaume huo NI ujinga hata kama ulipita Ila mwanamke wa mtu anapaswa aheshimiwe tu na hii inaonyesha Diamond ana ujinga kichwani kwake japo NI mshikaji wangu kitambo
Ila diamond yupo sahihiVita ya maneno imezidi kushika kasi kati ya diamond na Alikiba
Cheki hapo chiniView attachment 2703404
Huo ugomvi kiasi unamnufaisha kiba kuliko Domo. Unaendelea kumuweka kwenye ramani na kumbusti Kiba. Hawezi kukubali maelewano. Siku atayokubali ndiyo siku atazima. Ukweli huo anaujua na kashaushtukia.Diamond Kuna kipindi alitaka wapatane, mjivuni kakataa mapatano.
Kitu pekee kilicho nikasirisha ni Diamond kumuingiza Amina kwenye ugomvi wao wa kipumbavu.Diamond Kuna kipindi alitaka wapatane, mjivuni kakataa mapatano.
Kabisa hata wanachobishana hakina kichwa wala miguu zaidi ya mafanikio ya nyumbani wakitoka nje ya Tanzania hata sio wasanii wakubwaa ambao wanaweza jaza watu.Kiba ni mjivuni, jeuri na mswahili zaidi ya Diamond. Wamekutana pipa na mfuniko.