Diamond Platnumz na Alikiba waanzisha vita ya maneno kwenye mitandao ya kijamii

Kiba ANAJUA SANA MWANANGU na ndo maana mwaka wa 100 huu Domo na mashabiki zake wanahangaika na wewe na siyo JUX,KONDE,BARNABA wala nani....wanakiangalia wewe na unawaumiza bro, wasamehe kenge hao HAWAKUWEZI.
 
Alikiba kuanzisha ukirofi tena na simba kwa kuamua kumjibu kamaifuatavyo baada ya magoma yao kuachiliwa na kuendeleza ushindani wao wa soko la kimziki
 
Wewe ndiyo anakunyima raha. Nimuwaze Kiba ana nini?
Niliacha kumfuatilia muda sana, maana nyimbo zake ukiwa unasikiliza kwenye sabufa sisikii ule mdundo wa biti. Tangia 2015 mpk leo hata sijui anafanya nini. Sioni hata u-king wake kwenye muziki.
Yo! Yo! Yo!
Timu kibatali mna matatizo sana. Yo!
 
Umeandika upupu dadangu mwajuma kobazi ndefu
 
Na aliyewaambia wawe hivi ni Ruge

Ujinga tu.

Ngoja nafuatilia bandari huku Namtumbo
 
Acha waendele kucheza na akili za,mazuzu
Haya, anzeni kufawafatilia

Ova
 
Sasa huyo Domokaya atulizane na mafanikio yake, anawashwa nn na kiba? Lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…