Diamond Platnumz na manunuzi makubwa anayofanya

Diamond Platnumz na manunuzi makubwa anayofanya

Manunuzi makubwa anayofanya Diamond kwa sasa yamekua na Gumzo kubwa mtandaoni kukiwa na pande mbili zinavutana. Wako wanaosifu na wanapata kazi ya kukandia.

Kwa namna yeyote ikitokea negative impact sio kwa Pande hizo mbili, bali ni direct kwa Diamond

At this point kuna mawili

1) Kama anafanya kuflex kwa hao wanaomchukia ajue tu kwamba kwa hizi mbwembwe akiflop watamcheka sana.
People will hate when you have something and will laugh at you when you loose it. Hawa wanaomchukia leo na kusema hawezi leta 0KM hao hao watamcheka na kusema kwani si angenunua Range Rover tu atulie.

2) Haya magari hayanaga thaman baada ya kununuliwa. In short Exotic cars(items) nyingi huwa na bei nzuri zikiwa mpya. Kwenye kuiuza lazima upoteze hela kibao. Kama amenunua kwa ajili ya investment asee mbona kama hii investment imekaa kushoto.

Ushauri wangu
Wasanii bongo wanapenda sana kuvimba, pia Kuna wabongo wanapenda sana kuvimba. Anaweza fanya VVVIP car Rental
Imagine with 20,000,000 mtu unapewa msafara wa Escalade 2 na Rolls Royce plus ushers, bodyguards, media coverage, Celebrity appearance na makorokoro kibao

Am sure wapo watu watataka hii kitu hasa kwenye maharusi ya wahaya
But kuyaweka parking pale chini ya maturubai asee soon atalia kijana wetu.

WE LIKE IT OR NOT, DIAMOND IS ON ANOTHER LEVEL. HATA KAMA HIO GARI NI USED SAWA, BEI YAKE SIO SAWA NA SUBARU, BUT KAMA ANAYAFANYA HAYA KUWAKOMOA KINA MANGE, HAO HAO KINA MANGE WATAKUJA KUMCHEKA

IMEANDIKWA NA FELIXRED
Hela ya mwingine matumizi yake yanakuumaje kwa mfano sasa
 
Mikataba ni Confidential! Tatizo unaweza kuta hata hujawahi kuajiriwa ndio maana hata mkataba huuelewi vyema!
Sizungumzii kuajiriwa, swala la mikataba lipo hata kwenye mauziano ya bidhaa/mali. Mfano nyumba au kiwanja unaponunua kuna makubaliano ya pande mbili kati ya muuzaji na wewe mnunuzi pamoja na shahidi ambayo yanaandikwa kama uthibitisho

Sasa kama ni confidential hata mimi naweza nikaja na uwongo wangu kua mali fulani ni yangu ila siwezi kuonyesha hati miliki kwasabu ni confidential
 
Sizungumzii kuajiriwa, swala la mikataba lipo hata kwenye mauziano ya bidhaa. Mfano nyumba au kiwanja unaponunua kuna makubaliano ya pande mbili pamoja na shahidi ambayo yanaandikwa kama uthibitisho

Sasa kama ni confidential hata mimi naweza nikaja na uwongo wangu kua mali fulani ni yangu ila siwezi kuonyesha hati miliki kwasabu ni confidential
Uwongo unakuwa backed up na status!

Huwezi kuniambia ulikuwa T.O wa A Level wakati matokeo yako ni mabovu toka chini unajulikana kilaza! Form 4 ulipata 0 sasa unawezaje kuwa na Division 1 ya 3 form 6

Maisha yako mabovu tu unaishi kwa neema za Mungu halafu ghafla upaki Range Rover ya 400M useme la kwako!
 
Tafuta pesa zako ndo uzipangie matumizi acha kupangia matumizi za wengine, Diamond acha atumie pesa zake maana anapambana usiku kucha kuzitafuta,

Unataka afe hajazifaidi ujinga mtupu, maisha ni mara moja tu duniani
Hili ndio tatizo kubwa la Watanzania wengi hasa Maskini. Wanapenda sana kutoa ushauri na hata kushinikiza namna ya kutumia pesa zako ulizotafuta kwa jasho lako mwenyewe.Hii tabia ni mbaya zaidi ya uchawi
 
Sizungumzii kuajiriwa, swala la mikataba lipo hata kwenye mauziano ya bidhaa/mali. Mfano nyumba au kiwanja unaponunua kuna makubaliano ya pande mbili kati ya muuzaji na wewe mnunuzi pamoja na shahidi ambayo yanaandikwa kama uthibitisho

Sasa kama ni confidential hata mimi naweza nikaja na uwongo wangu kua mali fulani ni yangu ila siwezi kuonyesha hati miliki kwasabu ni confidential
As long as unawashawishi watu wanakubali maelezo yako haina tatizo ndugu, tangazia tu raia kwamba umenunua Ferrari au Bugatti tukishawishika hata kama unatuongopea sioni kama kuna tatizo.

Hivi ni nani hasa asiyetamani kumiliki hayo magari makali makali anayoyamiliki Diamond Platinum? Hatuna uwezo tu wa kuzichanga zikatukubali kama anavyozichanga Mond vinginevyo hata private jet mbona unamiliki maisha yenyewe tunaishi mara moja tu duniani hapa
 
Uwongo unakuwa backed up na status!

Huwezi kuniambia ulikuwa T.O wa A Level wakati matokeo yako ni mabovu toka chini unajulikana kilaza! Form 4 ulipata 0 sasa unawezaje kuwa na Division 1 ya 3 form 6

Maisha yako mabovu tu unaishi kwa neema za Mungu halafu ghafla upaki Range Rover ya 400M useme la kwako!
Situation kama hiyo inakua rahisi wewe ku spot uwongo wake kwasababu haina kificho ipo wazi kwa umma hata mashuleni unaweza kwenda ukacheki

Sasa swala la M50 kwa week wewe utalithibitisha vipi kua ni kweli?

Utatumia mali kama uthibitisho ambazo nazo hukuwahi kuzithibitisha before kua ni zake?
 
Hili ndio tatizo kubwa la Watanzania wengi hasa Maskini. Wanapenda sana kutoa ushauri na hata kushinikiza namna ya kutumia pesa zako ulizotafuta kwa jasho lako mwenyewe.Hii tabia ni mbaya zaidi ya uchawi
Ni uchawi wenyewe kbs sio tabia tu. Umasikini ni moja ya mambo mabaya sana na ndio sababu tunachukiana wenyewe kwa wenyewe
 
Situation kama hiyo inakua rahisi wewe ku spot uwongo wake kwasababu haina kificho ipo wazi kwa umma hata mashuleni unaweza kwenda ukacheki

Sasa swala la M50 kwa week wewe utalithibitisha vipi kua ni kweli?

Utatumia mali kama uthibitisho ambazo nazo hukuwahi kuzithibitisha before kua ni zake?
Bwana we!

Kampuni ile 45% inaingiza hela, yeye anaingiza hela binafsi through endorsments, Assets zake zinaingiza hela nyumba na miradi mingine! These are satisfying tangible evidences to me!

Still unataka kukaza ubongo au unataka akuchapishie bank statement ndio uamini.
 
As long as unawashawishi watu wanakubali maelezo yako haina tatizo ndugu, tangazia tu raia kwamba umenunua Ferrari au Bugatti tukishawishika hata kama unatuongopea sioni kama kuna tatizo.

Hivi ni nani hasa asiyetamani kumiliki hayo magari makali makali anayoyamiliki Diamond Platinum? Hatuna uwezo tu wa kuzichanga zikatukubali kama anavyozichanga Mond vinginevyo hata private jet mbona unamiliki maisha yenyewe tunaishi mara moja tu duniani hapa
Sifanyi kuwafurahisha wadau, niseme swaga zipo on wakati umeme wa mgau
 
Bwana we!

Kampuni ile 45% inaingiza hela, yeye anaingiza hela binafsi through endorsments, Assets zake zinaingiza hela nyumba na miradi mingine! These are stiafying tangible evidences to me!

Still unataka kukaza ubongo au unataka akuchapishie bank statement ndio uamini.
Kampuni gani?

Hizo assets unazosema zake una proof?
 
Sifanyi kuwafurahisha wadau, niseme swaga zipo on wakati umeme wa mgau
Suala la msingi ni kujikubali na kupambana hali zetu tu ndugu.

Kwenye maisha hatuwezi kufanana hata sekunde moja na ndio sababu hata sera za ujamaa zilifeli. Ujue hata kwa Mungu kuna malaika mkuu jambo ambalo linadhihirisha kwamba kuna levels.

Tazama hata rangi zetu za ngozi. Hivi umeshawahi kujiuliza ni kwanini mimi ni mweusi wakati kuna mweupe?, au mwembamba wakati kuna mnene?, mrefu wakati kuna mfupi?, Maisha ndivyo yalivyo.

Hata darasani kuna wa kwanza wakati huo huo Kuna wa mwisho. Assume wewe ungekuwa ni Diamond, hela ile anayoishika ungeifanyia nini labda?
 
Ana management mbaya kweli au unaongea kinyume [emoji3][emoji3][emoji3]
1.Management ambayo imemfanya apige shows zaidi ya 90%,ya nchi za kusini mwajangwa la Sahara ukitoa za kiaarab.

2.Management iliyompa tuzo kubwa MTV EUROPE mbili, MTV MAMA 1,Channel O tuzo 3,3 nomination BET.

3.Management ilimfanya asaini mikataba ya ubalozi na Voda, PePsi na kuwa balozi wa Itel nchi tano (Togo, Kenya, Uganda, Ivory Coast,Tanzania).

4.Management iliyompa deal Universal na Warner.

5.Management ili mfanya leo hii kufanya kazi na Netflix na mwezi huu anaelekea South kwa ajili wa uzinduzi wa show yake.

6.Management iliyomfanya aandae tamasha kubwa la Wasafi Festival chini ya wadhamini wakubwa Pepsi na sasa Tigo.

Hebu nitajie Management yoyote Afrika Mashariki na kati iliyofikia robo aliyo yafikia Diamond na Management yake.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hawa watu niaje hawa
 
“15 seconds of fame za Diamond zimeshaisha” Angetumia huuu muda kupiga pesa kupitia Zuchu au Mbosso. Ndo maana hata tuzo hapewi, ni kwa sababu amekuwepo muda mrefu. Anapost picha eti na Snoop Dogg, lakini Snoop hata hapost picha yeyote nae. Hajui kwamba ana following kubwa Africa na anasaidia ku promote hao wasanii huku. Na hao wasanii wa nje wameshamuona mjinga anapenda sifa basi nao wanamtumia ipasavyo. Alitoa nyimbo na Alicia Keys kumbe yeye kamsaidia Alicia Keys kujipenyeza zaidi Africa. Yaani Diamond ukimwangalia vizuri utagundua jamaa ana depression sana. Too bad ana management mbovu sana
Unateseka tokea pande zipi zabibu Kiba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
 
Back
Top Bottom