Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Document gani hiyo?We usinitie njaa bana pelekesha ujinga document ya Tra inasoma Naseeb Abdul we unaleta utoto hapa
Si tulikubaliana ni confidential?
Unayo softcopy?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Document gani hiyo?We usinitie njaa bana pelekesha ujinga document ya Tra inasoma Naseeb Abdul we unaleta utoto hapa
Unajua kiasi gani Wasafi inaingiza pesa kwa wiki? Vipi kuhusu WCB? Unafahamu ni kiasi gani mond kalipwa kwa kufanya matangazo na Coca-Cola?, Pepsi je? na makampuni mengine kibao, Shows anazofanya ?Kampuni gani?
Hizo assets unazosema zake una proof?
“15 seconds of fame za Diamond zimeshaisha” Angetumia huuu muda kupiga pesa kupitia Zuchu au Mbosso. Ndo maana hata tuzo hapewi, ni kwa sababu amekuwepo muda mrefu. Anapost picha eti na Snoop Dogg, lakini Snoop hata hapost picha yeyote nae. Hajui kwamba ana following kubwa Africa na anasaidia ku promote hao wasanii huku. Na hao wasanii wa nje wameshamuona mjinga anapenda sifa basi nao wanamtumia ipasavyo. Alitoa nyimbo na Alicia Keys kumbe yeye kamsaidia Alicia Keys kujipenyeza zaidi Africa. Yaani Diamond ukimwangalia vizuri utagundua jamaa ana depression sana. Too bad ana management mbovu sana
wewe ni mchawi“15 seconds of fame za Diamond zimeshaisha” Angetumia huuu muda kupiga pesa kupitia Zuchu au Mbosso. Ndo maana hata tuzo hapewi, ni kwa sababu amekuwepo muda mrefu. Anapost picha eti na Snoop Dogg, lakini Snoop hata hapost picha yeyote nae. Hajui kwamba ana following kubwa Africa na anasaidia ku promote hao wasanii huku. Na hao wasanii wa nje wameshamuona mjinga anapenda sifa basi nao wanamtumia ipasavyo. Alitoa nyimbo na Alicia Keys kumbe yeye kamsaidia Alicia Keys kujipenyeza zaidi Africa. Yaani Diamond ukimwangalia vizuri utagundua jamaa ana depression sana. Too bad ana management mbovu sana
Yes neno Rolls Royce lipo kwenye bio yake toka enzi za Number 1 na Davido.Diamond ana dream ya kumiliki gari ya type hii tokea 2015 na alitamka hili ktk mahijiano na Millard Ayo. Hajanunua kumkomoa Mange kwani Mondi hana time na Mange, ila Mange chuki zake mwenyewe ndizo zinazomuumiza pamoja na wenzake akina H baba na Mwijaku.
Then hela yake mwache mwenyewe aitumie
Yaan Daimond kamsaidia alicia keys na snoop kujipenyeza Africa? trust me umezingua kinyama“15 seconds of fame za Diamond zimeshaisha” Angetumia huuu muda kupiga pesa kupitia Zuchu au Mbosso. Ndo maana hata tuzo hapewi, ni kwa sababu amekuwepo muda mrefu. Anapost picha eti na Snoop Dogg, lakini Snoop hata hapost picha yeyote nae. Hajui kwamba ana following kubwa Africa na anasaidia ku promote hao wasanii huku. Na hao wasanii wa nje wameshamuona mjinga anapenda sifa basi nao wanamtumia ipasavyo. Alitoa nyimbo na Alicia Keys kumbe yeye kamsaidia Alicia Keys kujipenyeza zaidi Africa. Yaani Diamond ukimwangalia vizuri utagundua jamaa ana depression sana. Too bad ana management mbovu sana
Ha ha ha mzee hapa ndio umejipinda mwenyewe 😂. Wacha ni-enjoy JF raha sana!“15 seconds of fame za Diamond zimeshaisha” Angetumia huuu muda kupiga pesa kupitia Zuchu au Mbosso. Ndo maana hata tuzo hapewi, ni kwa sababu amekuwepo muda mrefu. Anapost picha eti na Snoop Dogg, lakini Snoop hata hapost picha yeyote nae. Hajui kwamba ana following kubwa Africa na anasaidia ku promote hao wasanii huku. Na hao wasanii wa nje wameshamuona mjinga anapenda sifa basi nao wanamtumia ipasavyo. Alitoa nyimbo na Alicia Keys kumbe yeye kamsaidia Alicia Keys kujipenyeza zaidi Africa. Yaani Diamond ukimwangalia vizuri utagundua jamaa ana depression sana. Too bad ana management mbovu sana
Maisha yake hayo kwann tumjadili?Manunuzi makubwa anayofanya Diamond kwa sasa yamekua na Gumzo kubwa mtandaoni kukiwa na pande mbili zinavutana. Wako wanaosifu na wanapata kazi ya kukandia.
Kwa namna yeyote ikitokea negative impact sio kwa Pande hizo mbili, bali ni direct kwa Diamond
At this point kuna mawili
1) Kama anafanya kuflex kwa hao wanaomchukia ajue tu kwamba kwa hizi mbwembwe akiflop watamcheka sana.
People will hate when you have something and will laugh at you when you loose it. Hawa wanaomchukia leo na kusema hawezi leta 0KM hao hao watamcheka na kusema kwani si angenunua Range Rover tu atulie.
2) Haya magari hayanaga thaman baada ya kununuliwa. In short Exotic cars(items) nyingi huwa na bei nzuri zikiwa mpya. Kwenye kuiuza lazima upoteze hela kibao. Kama amenunua kwa ajili ya investment asee mbona kama hii investment imekaa kushoto.
Ushauri wangu
Wasanii bongo wanapenda sana kuvimba, pia Kuna wabongo wanapenda sana kuvimba. Anaweza fanya VVVIP car Rental
Imagine with 20,000,000 mtu unapewa msafara wa Escalade 2 na Rolls Royce plus ushers, bodyguards, media coverage, Celebrity appearance na makorokoro kibao
Am sure wapo watu watataka hii kitu hasa kwenye maharusi ya wahaya
But kuyaweka parking pale chini ya maturubai asee soon atalia kijana wetu.
WE LIKE IT OR NOT, DIAMOND IS ON ANOTHER LEVEL. HATA KAMA HIO GARI NI USED SAWA, BEI YAKE SIO SAWA NA SUBARU, BUT KAMA ANAYAFANYA HAYA KUWAKOMOA KINA MANGE, HAO HAO KINA MANGE WATAKUJA KUMCHEKA
IMEANDIKWA NA FELIXRED
Yani mnaongeaga vitu kwa uhakika na matambo jamaaaani.“15 seconds of fame za Diamond zimeshaisha” Angetumia huuu muda kupiga pesa kupitia Zuchu au Mbosso. Ndo maana hata tuzo hapewi, ni kwa sababu amekuwepo muda mrefu. Anapost picha eti na Snoop Dogg, lakini Snoop hata hapost picha yeyote nae. Hajui kwamba ana following kubwa Africa na anasaidia ku promote hao wasanii huku. Na hao wasanii wa nje wameshamuona mjinga anapenda sifa basi nao wanamtumia ipasavyo. Alitoa nyimbo na Alicia Keys kumbe yeye kamsaidia Alicia Keys kujipenyeza zaidi Africa. Yaani Diamond ukimwangalia vizuri utagundua jamaa ana depression sana. Too bad ana management mbovu sana
Huwezi jua labda Smartphone kaanza kumiliki mwaka huu,so tusimlaumu sana.Yes neno Rolls Royce lipo kwenye bio yake toka enzi za Number 1 na Davido.
Wala hashindani na yeyote.
Kuhusu kujipendekeza Kwa wasanii wa marekani,ndugu mwaandishi we ulitaka afanyaje? Kule ndy dunia ilipo,kufanya hivyo inamkuza zaidi kuliko kushuka km unavyotabiri,tukumbuke David aliwahi kufanya hivi Kwa kina chriss Brown,hata Wiz kid pia..lkn why Kwa diamond imekuwa nongwa mazee?“15 seconds of fame za Diamond zimeshaisha” Angetumia huuu muda kupiga pesa kupitia Zuchu au Mbosso. Ndo maana hata tuzo hapewi, ni kwa sababu amekuwepo muda mrefu. Anapost picha eti na Snoop Dogg, lakini Snoop hata hapost picha yeyote nae. Hajui kwamba ana following kubwa Africa na anasaidia ku promote hao wasanii huku. Na hao wasanii wa nje wameshamuona mjinga anapenda sifa basi nao wanamtumia ipasavyo. Alitoa nyimbo na Alicia Keys kumbe yeye kamsaidia Alicia Keys kujipenyeza zaidi Africa. Yaani Diamond ukimwangalia vizuri utagundua jamaa ana depression sana. Too bad ana management mbovu sana
Hawa watu wanapenda sn wote tuwe masikini..Wana elements za uchawi..siku wakipata formula ya uchawi wakaikariri basi wanapaaHuu ushauri unampa mtu anayeingiza million 50 kwa wiki ama unamzungumzia nani? Dogo kanunua gari atembelee sio kwa ajili ya Rentals mzee!
Huyu mtoto sie wazee tunaomjua alikoanzia, acha tu tuwe mashabiki zake.Huwezi jua labda Smartphone kaanza kumiliki mwaka huu,so tusimlaumu sana.
Mi nimeshasema hawa raia wanakosa pembe na vibuyu tu ila ukiwapa kaniki na ungo wanapaa mchana kweupeHawa watu wanapenda sn wote tuwe masikini..Wana elements za uchawi..siku wakipata formula ya uchawi wakaikariri basi wanapaa
Kiukweli mkuu mi sijui na ndio maana nimeuliza kwa kwa lengo la kutaka nijue, ila nimekutana tu na madai kua anaingiza 50M kwa week ambapo kwa mwezi anacheza around 350MUnajua kiasi gani Wasafi inaingiza pesa kwa wiki? Vipi kuhusu WCB? Unafahamu ni kiasi gani mond kalipwa kwa kufanya matangazo na Coca-Cola?, Pepsi je? na makampuni mengine kibao, Shows anazofanya ?
Maisha ni wewe ulivyoamua kuishi sio mtu mwingine anavyokupangia. Nenda YouTube kaangalie wimbo wake wa kwanza kbs kipindi anaanza ku- hustle alikuwa anamiliki nini na leo anamiliki nini.
Bado hatujachelewa, amka tafakari kisha chukua hatua
Mkuu Scars huwa nakurespect sn,Ila linapaokuja swala la diamond,wewe hujawahi kuwa na comment yoyote nzuri kwake..alikufanya nini huyu jamaa?Milion 50 kwa week?
Hii habari imetoka kwenye chanzo gani?
Utaskia ni yeye mwenyewe alisema