Diamond Platnumz na manunuzi makubwa anayofanya

Diamond Platnumz na manunuzi makubwa anayofanya

Ana management mbaya kweli au unaongea kinyume 😀😀😀
1.Management ambayo imemfanya apige shows zaidi ya 90%,ya nchi za kusini mwajangwa la Sahara ukitoa za kiaarab na mwezi wa kumi na moja ana show Gambia.

2.Management iliyompa tuzo kubwa MTV EUROPE mbili, MTV MAMA 1,Channel O tuzo 3,3 nomination BET.

3.Management ilimfanya asaini mikataba ya ubalozi na Voda, PePsi na kuwa balozi wa Itel nchi tano (Togo, Kenya, Uganda, Ivory Coast,Tanzania).

4.Management iliyompa deal Universal na Warner.

5.Management ili mfanya leo hii kufanya kazi na Netflix na mwezi huu anaelekea South kwa ajili wa uzinduzi wa show yake.

6.Management iliyomfanya aandae tamasha kubwa la Wasafi Festival chini ya wadhamini wakubwa Pepsi na sasa Tigo.

Hebu nitajie Management yoyote Afrika Mashariki na kati iliyofikia robo aliyo yafikia Diamond na Management yake.
Chuki kaka.Sisi waswahili wengi wetu tuna roho mbaya mno kiasi kwamba mafanikio ya mtu mwingine yantuumiza roho mpaka kutetemeka.
Usikute kuna watu wanaogopa hata kugusa simu zao toka jana kisa dogo kanunua gari kali.
Huyu ananiponda management yake bila hata kujua imemfanyia mangapi msanii wake.
 
Akili za kimasikini hizi ndio zimefanya kila mtu afungue biashara ya Mpesa niliwahi kusema humu biashara zetu wengi wabongo ni biashara za wavivu wa kufikiri wakaninanga kweli! Wajanja wanafungua kampuni za kibiashara ndio zenye hela ukijiset vizuri ndani ya muda mchache tu we ni mtu mpya kiuchumi! Dogo ana pesa sahizi wala hilo halina utata!

Mtu anawaza akope 200M akajenge nyumba 4 za kupanga returns ni after 20 years ahead huku deni linamtesa eti nyumba ni asset wakati kuna mtu anaanzisha estates zake za mipunga kwa hio hela ndani ya miaka mitano anazungumzia 1B plus!

Tumeegama sana kwenye uchuuzi ndio maana watu wanaishia kipato cha kati hawawi matajiri unless uwe unazungusha mtaji mkubwa sana!

Diamond hata akistaafu mziki bado atamenya tu sababu ana uwekezaji wa kueleweka.
Mkuu Extrovert hapo kwenye biashara umegusa penyewe kabisa, me nafikiri ni kwakua wabongo wengi hawana elimu ya kibiashara hivyo wanaishia tu kuwaza biashara za mboga.

Mungu anibariki, ipo siku watu watanielewa.
 
“15 seconds of fame za Diamond zimeshaisha” Angetumia huuu muda kupiga pesa kupitia Zuchu au Mbosso. Ndo maana hata tuzo hapewi, ni kwa sababu amekuwepo muda mrefu. Anapost picha eti na Snoop Dogg, lakini Snoop hata hapost picha yeyote nae. Hajui kwamba ana following kubwa Africa na anasaidia ku promote hao wasanii huku. Na hao wasanii wa nje wameshamuona mjinga anapenda sifa basi nao wanamtumia ipasavyo. Alitoa nyimbo na Alicia Keys kumbe yeye kamsaidia Alicia Keys kujipenyeza zaidi Africa. Yaani Diamond ukimwangalia vizuri utagundua jamaa ana depression sana. Too bad ana management mbovu sana
Yaani kama kwa mkwanya na ukwasi alionao Mond,ana management mbaya na msongo wa Mawazo,basi hebu onesha hao wenye management nzuri na furaha.
Mi hapa nashauri wote wawe na "management mbaya na msongo,maana utapata pesa,
Pesa yake,katafuta kwa nguvu zake,wewe kinakuuma nini?kapambane na madaladala yako
 
Kiukweli mkuu mi sijui na ndio maana nimeuliza kwa kwa lengo la kutaka nijue, ila nimekutana tu na madai kua anaingiza 50M kwa week ambapo kwa mwezi anacheza around 350M

Vipi wewe hivyo vitu ulivyovitaja hapo juu unavjua ni kiasi gani vinamuingizia pesa?
We jamaa ina maana huwezi hata kujiongeza kidogo tu. Unafikiria ni watu wangapi wameajiriwa na Mond na wanalipwa kiasi gani kwa ujumla wao?

Fanya tour Marekani kaweke Kambi uhangaikie kukutana na masupastaa wa kule uone itakugharimu kiasi gani boss
 
Mwacheni mtoto wa watu mmemkalia kooni sana mpk mnatuambukiza na sisi tuanze kuchunguza vitu vyake. Mpk naona kama amekonda ameisha kabisa nuru imepotea ama kweli maneno yanaumiza sana yawe ya kweli aau uongo.
 
“15 seconds of fame za Diamond zimeshaisha” Angetumia huuu muda kupiga pesa kupitia Zuchu au Mbosso. Ndo maana hata tuzo hapewi, ni kwa sababu amekuwepo muda mrefu. Anapost picha eti na Snoop Dogg, lakini Snoop hata hapost picha yeyote nae. Hajui kwamba ana following kubwa Africa na anasaidia ku promote hao wasanii huku. Na hao wasanii wa nje wameshamuona mjinga anapenda sifa basi nao wanamtumia ipasavyo. Alitoa nyimbo na Alicia Keys kumbe yeye kamsaidia Alicia Keys kujipenyeza zaidi Africa. Yaani Diamond ukimwangalia vizuri utagundua jamaa ana depression sana. Too bad ana management mbovu sana
Kalale kijana unajua maana ya DIAMOND [emoji184] au unalia boya sana

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
“15 seconds of fame za Diamond zimeshaisha” Angetumia huuu muda kupiga pesa kupitia Zuchu au Mbosso. Ndo maana hata tuzo hapewi, ni kwa sababu amekuwepo muda mrefu. Anapost picha eti na Snoop Dogg, lakini Snoop hata hapost picha yeyote nae. Hajui kwamba ana following kubwa Africa na anasaidia ku promote hao wasanii huku. Na hao wasanii wa nje wameshamuona mjinga anapenda sifa basi nao wanamtumia ipasavyo. Alitoa nyimbo na Alicia Keys kumbe yeye kamsaidia Alicia Keys kujipenyeza zaidi Africa. Yaani Diamond ukimwangalia vizuri utagundua jamaa ana depression sana. Too bad ana management mbovu sana
pale mwanadamu anapojaribu kuaminisha akili yake iwe kwenye uhalisia. Tunajua kabisa kuwa snoop Dogg kitambo anajulikana afrika kama si ulimwengu mzima at the same kwa Alicia key, anachokifanya Diamond its not bad, jamaa anajaribu kumove kule ambapo wasanii wengi bongo wanataka wafike.

unamtaja jamaa anadrepression yea uenda ni kweli lakini nadhani imekaa zaidi kwenye kiu ya kuvuka hapo alipofika. Hizi social media ndo zinatufanya tuongeze chuki sababu ukinunua ka vitz wewe hapo tutaiona kwenye status. kikubwa jamaa anajiproud himself. Everyone needs the good things, stop hate...tutajipa mastress kwa ndinga za wenzetu.
 
Back
Top Bottom