Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
We jamaa una umama mwingi sana aiseeeh.Kampuni gani?
Hizo assets unazosema zake una proof?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa una umama mwingi sana aiseeeh.Kampuni gani?
Hizo assets unazosema zake una proof?
Hoja inajibiwa kwa hojaWe jamaa una umama mwingi sana aiseeeh.
Chuki kaka.Sisi waswahili wengi wetu tuna roho mbaya mno kiasi kwamba mafanikio ya mtu mwingine yantuumiza roho mpaka kutetemeka.Ana management mbaya kweli au unaongea kinyume 😀😀😀
1.Management ambayo imemfanya apige shows zaidi ya 90%,ya nchi za kusini mwajangwa la Sahara ukitoa za kiaarab na mwezi wa kumi na moja ana show Gambia.
2.Management iliyompa tuzo kubwa MTV EUROPE mbili, MTV MAMA 1,Channel O tuzo 3,3 nomination BET.
3.Management ilimfanya asaini mikataba ya ubalozi na Voda, PePsi na kuwa balozi wa Itel nchi tano (Togo, Kenya, Uganda, Ivory Coast,Tanzania).
4.Management iliyompa deal Universal na Warner.
5.Management ili mfanya leo hii kufanya kazi na Netflix na mwezi huu anaelekea South kwa ajili wa uzinduzi wa show yake.
6.Management iliyomfanya aandae tamasha kubwa la Wasafi Festival chini ya wadhamini wakubwa Pepsi na sasa Tigo.
Hebu nitajie Management yoyote Afrika Mashariki na kati iliyofikia robo aliyo yafikia Diamond na Management yake.
Anamsikiliza sana Mange,ndo tatizo lake 🤣We usinitie njaa bana pelekesha ujinga document ya Tra inasoma Naseeb Abdul we unaleta utoto hapa
Mkuu Extrovert hapo kwenye biashara umegusa penyewe kabisa, me nafikiri ni kwakua wabongo wengi hawana elimu ya kibiashara hivyo wanaishia tu kuwaza biashara za mboga.Akili za kimasikini hizi ndio zimefanya kila mtu afungue biashara ya Mpesa niliwahi kusema humu biashara zetu wengi wabongo ni biashara za wavivu wa kufikiri wakaninanga kweli! Wajanja wanafungua kampuni za kibiashara ndio zenye hela ukijiset vizuri ndani ya muda mchache tu we ni mtu mpya kiuchumi! Dogo ana pesa sahizi wala hilo halina utata!
Mtu anawaza akope 200M akajenge nyumba 4 za kupanga returns ni after 20 years ahead huku deni linamtesa eti nyumba ni asset wakati kuna mtu anaanzisha estates zake za mipunga kwa hio hela ndani ya miaka mitano anazungumzia 1B plus!
Tumeegama sana kwenye uchuuzi ndio maana watu wanaishia kipato cha kati hawawi matajiri unless uwe unazungusha mtaji mkubwa sana!
Diamond hata akistaafu mziki bado atamenya tu sababu ana uwekezaji wa kueleweka.
Yaani kama kwa mkwanya na ukwasi alionao Mond,ana management mbaya na msongo wa Mawazo,basi hebu onesha hao wenye management nzuri na furaha.“15 seconds of fame za Diamond zimeshaisha” Angetumia huuu muda kupiga pesa kupitia Zuchu au Mbosso. Ndo maana hata tuzo hapewi, ni kwa sababu amekuwepo muda mrefu. Anapost picha eti na Snoop Dogg, lakini Snoop hata hapost picha yeyote nae. Hajui kwamba ana following kubwa Africa na anasaidia ku promote hao wasanii huku. Na hao wasanii wa nje wameshamuona mjinga anapenda sifa basi nao wanamtumia ipasavyo. Alitoa nyimbo na Alicia Keys kumbe yeye kamsaidia Alicia Keys kujipenyeza zaidi Africa. Yaani Diamond ukimwangalia vizuri utagundua jamaa ana depression sana. Too bad ana management mbovu sana
We jamaa ina maana huwezi hata kujiongeza kidogo tu. Unafikiria ni watu wangapi wameajiriwa na Mond na wanalipwa kiasi gani kwa ujumla wao?Kiukweli mkuu mi sijui na ndio maana nimeuliza kwa kwa lengo la kutaka nijue, ila nimekutana tu na madai kua anaingiza 50M kwa week ambapo kwa mwezi anacheza around 350M
Vipi wewe hivyo vitu ulivyovitaja hapo juu unavjua ni kiasi gani vinamuingizia pesa?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Hamornize chini ya Hbaba
We unahisi kama ameafford gari la billioni moja na mawili ya millioni mia mia ndani ya mwaka mmoja anapokea shingap?Milion 50 kwa week?
Hii habari imetoka kwenye chanzo gani?
Utaskia ni yeye mwenyewe alisema
Yani mimi nawaza hapa kwa huu umri wangu usikute ni lijibaba afu natamani nngemtandika hata vibokoKuna jamaa Mtuflani Official kaandika pumba mpaka macho yangu yameuma [emoji23].
WORD.Mi nimeshasema hawa raia wanakosa pembe na vibuyu tu ila ukiwapa kaniki na ungo wanapaa mchana kweupe
WORD.Ujumbe wa Leo...
Hate or Be Inspired...
Consider it a show-off or motivational...
Kigogo kwisha habari yake.
Sasahivi wakupambana na mondi!!!
Kalale kijana unajua maana ya DIAMOND [emoji184] au unalia boya sana“15 seconds of fame za Diamond zimeshaisha” Angetumia huuu muda kupiga pesa kupitia Zuchu au Mbosso. Ndo maana hata tuzo hapewi, ni kwa sababu amekuwepo muda mrefu. Anapost picha eti na Snoop Dogg, lakini Snoop hata hapost picha yeyote nae. Hajui kwamba ana following kubwa Africa na anasaidia ku promote hao wasanii huku. Na hao wasanii wa nje wameshamuona mjinga anapenda sifa basi nao wanamtumia ipasavyo. Alitoa nyimbo na Alicia Keys kumbe yeye kamsaidia Alicia Keys kujipenyeza zaidi Africa. Yaani Diamond ukimwangalia vizuri utagundua jamaa ana depression sana. Too bad ana management mbovu sana
Tena hizo Ni ndogo 100m kwa sikuMilion 50 kwa week?
Hii habari imetoka kwenye chanzo gani?
Utaskia ni yeye mwenyewe alisema
pale mwanadamu anapojaribu kuaminisha akili yake iwe kwenye uhalisia. Tunajua kabisa kuwa snoop Dogg kitambo anajulikana afrika kama si ulimwengu mzima at the same kwa Alicia key, anachokifanya Diamond its not bad, jamaa anajaribu kumove kule ambapo wasanii wengi bongo wanataka wafike.“15 seconds of fame za Diamond zimeshaisha” Angetumia huuu muda kupiga pesa kupitia Zuchu au Mbosso. Ndo maana hata tuzo hapewi, ni kwa sababu amekuwepo muda mrefu. Anapost picha eti na Snoop Dogg, lakini Snoop hata hapost picha yeyote nae. Hajui kwamba ana following kubwa Africa na anasaidia ku promote hao wasanii huku. Na hao wasanii wa nje wameshamuona mjinga anapenda sifa basi nao wanamtumia ipasavyo. Alitoa nyimbo na Alicia Keys kumbe yeye kamsaidia Alicia Keys kujipenyeza zaidi Africa. Yaani Diamond ukimwangalia vizuri utagundua jamaa ana depression sana. Too bad ana management mbovu sana
Kenge mzingaNi kenge