Diamond Platnumz na manunuzi makubwa anayofanya

Diamond Platnumz na manunuzi makubwa anayofanya

Kwanini tusimuamini mzungumzaji mwenyewe tukuamini wewe ambae hujui ata moja ya biashara yake?
Logically Mtu haaminiwi kwasababu yeye kasema, bali ana aminiwa kulingana na evidence aliyoiweka

Na ndio maana huwezi kwenda benki kudai mkopo wa biion 500 kwa kusema kua una miliki mali na mijengo mikubwa ambayo itasimama kama dhamana bila kuweka uthibitisho wa nyaraka za umiliki wa hizo mali ukitegemea watakuamini kwasababu wewe umesema
 
labda unioneshe huo ubaya wa comment hiyo uko wapi
Haina haja ya kubishana,pia haina haja ya ushahid mkuu..I'm just talking from my experience..ndy maana nikakuambia nakurespect maana naonaga sn michango yako..ila ktk hiyohiyo mijadala km ni inshu inauomuhudu diamond Tu unakuwa so biased mkuu

Huyu jamaa Hana zuri lolote kwako[emoji16]
 
Haina haja ya kubishana,pia haina haja ya ushahid mkuu..I'm just talking from my experience..ndy maana nikakuambia nakurespect maana naonaga sn michango yako..ila ktk hiyohiyo mijadala km ni inshu inauomuhudu diamond Tu unakuwa so biased mkuu

Huyu jamaa Hana zuri lolote kwako[emoji16]
Kuuliza swali lenye mlengo wa kutaka kujua kumbe na reveal chuki?

Nikikubali kila kitu napo si mtaniita chawa?

Kuna uzi uliwekwa akionesha utu kipindi cha corona alilipia kodi wakazi wa tandale nilimpa shavu, ni vingi ambavyo kavifanya na humu nimevi-appreciate ila ni vile mtu ana uhuru wa kuchagua aina fulani ya maneno na kuyatumia kiujumla katika kila kitu
 
“15 seconds of fame za Diamond zimeshaisha” Angetumia huuu muda kupiga pesa kupitia Zuchu au Mbosso. Ndo maana hata tuzo hapewi, ni kwa sababu amekuwepo muda mrefu. Anapost picha eti na Snoop Dogg, lakini Snoop hata hapost picha yeyote nae. Hajui kwamba ana following kubwa Africa na anasaidia ku promote hao wasanii huku. Na hao wasanii wa nje wameshamuona mjinga anapenda sifa basi nao wanamtumia ipasavyo. Alitoa nyimbo na Alicia Keys kumbe yeye kamsaidia Alicia Keys kujipenyeza zaidi Africa. Yaani Diamond ukimwangalia vizuri utagundua jamaa ana depression sana. Too bad ana management mbovu sana
Alicia Keyz na Snoop Dogg wajipenyeze Tz kutafuta Nini zaidi!? Unahisi kipi hawana mpaka hapo walipofikia!?[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Kuuliza swali lenye mlengo wa kutaka kujua kumbe na reveal chuki?

Nikikubali kila kitu napo si mtaniita chawa?

Kuna uzi uliwekwa akionesha utu kipindi cha corona alilipia kodi wakazi wa tandale nilimpa shavu, ni vingi ambavyo kavifanya na humu nimevi-appreciate ila ni vile mtu ana uhuru wa kuchagua aina fulani ya maneno na kuyatumia kiujumla katika kila kitu
Hapana sujasema ukubali kila kitu asee..alafu uchawa unatoka wapi tena[emoji1787]
 
“15 seconds of fame za Diamond zimeshaisha” Angetumia huuu muda kupiga pesa kupitia Zuchu au Mbosso. Ndo maana hata tuzo hapewi, ni kwa sababu amekuwepo muda mrefu. Anapost picha eti na Snoop Dogg, lakini Snoop hata hapost picha yeyote nae. Hajui kwamba ana following kubwa Africa na anasaidia ku promote hao wasanii huku. Na hao wasanii wa nje wameshamuona mjinga anapenda sifa basi nao wanamtumia ipasavyo. Alitoa nyimbo na Alicia Keys kumbe yeye kamsaidia Alicia Keys kujipenyeza zaidi Africa. Yaani Diamond ukimwangalia vizuri utagundua jamaa ana depression sana. Too bad ana management mbovu sana
Mwanangu Una roho mbaya kinyama😃 , Acha kuvaa Suti za kichina mkuuu
 
Daaah Wabongo wanampangia mwenzake hadi matumizi ya Pesa ambazo kazitafuta peke yake bila kukushirikisha
 
“15 seconds of fame za Diamond zimeshaisha” Angetumia huuu muda kupiga pesa kupitia Zuchu au Mbosso. Ndo maana hata tuzo hapewi, ni kwa sababu amekuwepo muda mrefu. Anapost picha eti na Snoop Dogg, lakini Snoop hata hapost picha yeyote nae. Hajui kwamba ana following kubwa Africa na anasaidia ku promote hao wasanii huku. Na hao wasanii wa nje wameshamuona mjinga anapenda sifa basi nao wanamtumia ipasavyo. Alitoa nyimbo na Alicia Keys kumbe yeye kamsaidia Alicia Keys kujipenyeza zaidi Africa. Yaani Diamond ukimwangalia vizuri utagundua jamaa ana depression sana. Too bad ana management mbovu sana
Una chuki binafsi wewe, Alisha Keys huyu nnaemjua mimi au! Mlianza kujua miziki miaka ya 2000 mna tabu sana.
 
“15 seconds of fame za Diamond zimeshaisha” Angetumia huuu muda kupiga pesa kupitia Zuchu au Mbosso. Ndo maana hata tuzo hapewi, ni kwa sababu amekuwepo muda mrefu. Anapost picha eti na Snoop Dogg, lakini Snoop hata hapost picha yeyote nae. Hajui kwamba ana following kubwa Africa na anasaidia ku promote hao wasanii huku. Na hao wasanii wa nje wameshamuona mjinga anapenda sifa basi nao wanamtumia ipasavyo. Alitoa nyimbo na Alicia Keys kumbe yeye kamsaidia Alicia Keys kujipenyeza zaidi Africa. Yaani Diamond ukimwangalia vizuri utagundua jamaa ana depression sana. Too bad ana management mbovu sana
Umemdharau sana alicia keys


Yani mond ampe umaarufu keys africa???

Are you serious
 
“15 seconds of fame za Diamond zimeshaisha” Angetumia huuu muda kupiga pesa kupitia Zuchu au Mbosso. Ndo maana hata tuzo hapewi, ni kwa sababu amekuwepo muda mrefu. Anapost picha eti na Snoop Dogg, lakini Snoop hata hapost picha yeyote nae. Hajui kwamba ana following kubwa Africa na anasaidia ku promote hao wasanii huku. Na hao wasanii wa nje wameshamuona mjinga anapenda sifa basi nao wanamtumia ipasavyo. Alitoa nyimbo na Alicia Keys kumbe yeye kamsaidia Alicia Keys kujipenyeza zaidi Africa. Yaani Diamond ukimwangalia vizuri utagundua jamaa ana depression sana. Too bad ana management mbovu sana
duuu
 
Back
Top Bottom