Diamond Platnumz na manunuzi makubwa anayofanya

Diamond Platnumz na manunuzi makubwa anayofanya

Ana management mbaya kweli au unaongea kinyume [emoji3][emoji3][emoji3]
1.Management ambayo imemfanya apige shows zaidi ya 90%,ya nchi za kusini mwajangwa la Sahara ukitoa za kiaarab na mwezi wa kumi na moja ana show Gambia.

2.Management iliyompa tuzo kubwa MTV EUROPE mbili, MTV MAMA 1,Channel O tuzo 3,3 nomination BET.

3.Management ilimfanya asaini mikataba ya ubalozi na Voda, PePsi na kuwa balozi wa Itel nchi tano (Togo, Kenya, Uganda, Ivory Coast,Tanzania).

4.Management iliyompa deal Universal na Warner.

5.Management ili mfanya leo hii kufanya kazi na Netflix na mwezi huu anaelekea South kwa ajili wa uzinduzi wa show yake.

6.Management iliyomfanya aandae tamasha kubwa la Wasafi Festival chini ya wadhamini wakubwa Pepsi na sasa Tigo.

Hebu nitajie Management yoyote Afrika Mashariki na kati iliyofikia robo aliyo yafikia Diamond na Management yake.
Hawa watu Wana mimba za chuki..sijui watazaa lini
 
Huu ushauri unampa mtu anayeingiza million 50 kwa wiki ama unamzungumzia nani? Dogo kanunua gari atembelee sio kwa ajili ya Rentals mzee!
Mtu ambaye analala ndani akiwa anacheza mdako na Tiffa kwa mwezi zinaingia zaidi ya 200m.
Leo akakodishe gari kwa ajili ya Harusi za kihaya?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Tuna idea za kimaskin sana za kuingiza pesa wallahi.
A 40% share holder wa Music Label yenye wanamuziki wa 3 kati ya wa 5 walioshika soko la music Tanzania na Africa Mashariki na Kati?

Zuchu
Mbosso
Rayvanny( forget about the NWL crap)
Wote hawa wapo kwake, leo afilisike kwa kutokodisha gari kwa Bijampora?

Mxxxxxxxiiiieee
 
“15 seconds of fame za Diamond zimeshaisha” Angetumia huuu muda kupiga pesa kupitia Zuchu au Mbosso. Ndo maana hata tuzo hapewi, ni kwa sababu amekuwepo muda mrefu. Anapost picha eti na Snoop Dogg, lakini Snoop hata hapost picha yeyote nae. Hajui kwamba ana following kubwa Africa na anasaidia ku promote hao wasanii huku. Na hao wasanii wa nje wameshamuona mjinga anapenda sifa basi nao wanamtumia ipasavyo. Alitoa nyimbo na Alicia Keys kumbe yeye kamsaidia Alicia Keys kujipenyeza zaidi Africa. Yaani Diamond ukimwangalia vizuri utagundua jamaa ana depression sana. Too bad ana management mbovu sana
Unaweza kutuambia nan ana management nzur labda?
 
Kanunua used ya Milion Mia 3 anawafunga kamba View attachment 1854456View attachment 1854457
Screenshot_20210715-093817.jpg
 
“15 seconds of fame za Diamond zimeshaisha” Angetumia huuu muda kupiga pesa kupitia Zuchu au Mbosso. Ndo maana hata tuzo hapewi, ni kwa sababu amekuwepo muda mrefu. Anapost picha eti na Snoop Dogg, lakini Snoop hata hapost picha yeyote nae. Hajui kwamba ana following kubwa Africa na anasaidia ku promote hao wasanii huku. Na hao wasanii wa nje wameshamuona mjinga anapenda sifa basi nao wanamtumia ipasavyo. Alitoa nyimbo na Alicia Keys kumbe yeye kamsaidia Alicia Keys kujipenyeza zaidi Africa. Yaani Diamond ukimwangalia vizuri utagundua jamaa ana depression sana. Too bad ana management mbovu sana
Kunywa maji utulize nafsi mkuu, umeongea kwa uchungu as if wewe uncle Stamte....aisee
 
Mtu ambaye analala ndani akiwa anacheza mdako na Tiffa kwa mwezi sijaingia 200m.
Leo akakodishe gari kwa ajilinya Harusi za kihaya?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Tuna idea za kimaskin sana za kuingiza pesa wallahi.
A 40%share holder wa Music Label yenye wanamuziki wa 3 kati ya wa 5 walioshika soko la music Tanzania na Africa Mashariki na Kati?

Zunchu
Mbosso
Rayvanny( forget about the NWL crap)
Wote hawa wapo kwake, leo afilisike law kutokodisha gari kwa Bijampora?

Mxxxxxxxiiiieee
Akili za kimasikini hizi ndio zimefanya kila mtu afungue biashara ya Mpesa niliwahi kusema humu biashara zetu wengi wabongo ni biashara za wavivu wa kufikiri wakaninanga kweli! Wajanja wanafungua kampuni za kibiashara ndio zenye hela ukijiset vizuri ndani ya muda mchache tu we ni mtu mpya kiuchumi! Dogo ana pesa sahizi wala hilo halina utata!

Mtu anawaza akope 200M akajenge nyumba 4 za kupanga returns ni after 20 years ahead huku deni linamtesa eti nyumba ni asset wakati kuna mtu anaanzisha estates zake za mipunga kwa hio hela ndani ya miaka mitano anazungumzia 1B plus!

Tumeegama sana kwenye uchuuzi ndio maana watu wanaishia kipato cha kati hawawi matajiri unless uwe unazungusha mtaji mkubwa sana!

Diamond hata akistaafu mziki bado atamenya tu sababu ana uwekezaji wa kueleweka.
 
Situation kama hiyo inakua rahisi wewe ku spot uwongo wake kwasababu haina kificho ipo wazi kwa umma hata mashuleni unaweza kwenda ukacheki

Sasa swala la M50 kwa week wewe utalithibitisha vipi kua ni kweli?

Utatumia mali kama uthibitisho ambazo nazo hukuwahi kuzithibitisha before kua ni zake?
Kwanini tusimuamini mzungumzaji mwenyewe tukuamini wewe ambae hujui ata moja ya biashara yake?
 
Akili za kimasikini hizi ndio zimefanya kila mtu afungue biashara ya Mpesa niliwahi kusema humu biashara zetu wengi wabongo ni biashara za wavivu wa kufikiri wakaninanga kweli! Wajanja wanafungua kampuni za kibiashara ndio zenye hela ukijiset vizuri ndani ya muda mchache tu we ni mtu mpya kiuchumi!

Mtu anawaza akope 200M akajenge nyumba 4 za kupanga returns ni after 20 years ahead huku deni linamtesa eti nyumba ni asset wakati kuna mtu anaanzisha estates zake za mipunga kwa hio hela ndani ya miaka mitano anazungumzia 1B plus!

Tumeegama sana kwenye uchuuzi ndio maana watu wanaishia kipato cha kati hawawi matajiri unless uwe unazungusha mtaji mkubwa sana!
Yani kuna aina flan ya mifumo ya pesa, migumuuuuuuu imerithiwa vizazi hadi vizazi.
Hata maisha tu kwa jumla yani.
 
Tafuta pesa zako ndo uzipangie matumizi acha kupangia matumizi za wengine, Diamond acha atumie pesa zake maana anapambana usiku kucha kuzitafuta,

Unataka afe hajazifaidi ujinga mtupu, maisha ni mara moja tu duniani
Nashangaa unampangiaje mtu matumizi ya pesa zake! Pangia family yako... kila mtu apambane na hali yake
 
Unakataa au unakubali?
kiukweli kama ni mtu mgeni na hawa wasanii wa bongo fleva basi utaona swali langu limekaa ki wack

Sio diamond tu kuna siku moja humu ilikuja mada kua muigizaji wa filamu za bongo movie anaoga kwa kutumia maziwa 3 times per day na sio maji.

Mimi nilipinga na kwa bahati mbaya uyo msanii hakua na tiotle kubwa ya kumiliki mashabiki wengi huku jf wa kumtetea hivyo zile comment za kuitwa mimi mchawi, hater, au mtu ambaye hapendi maendeleo ya watu hazikuwepo

Wapo wajinga walioenda mbali kabisa kudhani kwamba nam criticize diamond kwasababu mimi ni shabiki wa alikiba
 
Yani kuna aina flan ya mifumo ya pesa, migumuuuuuuu imerithiwa vizazi hadi vizazi.
Hata maisha tu kwa jumla yani.
Hizo sio rahisi mtu ku copy na hakuna ushindani sana! Ila hivi vibiashara vya kubadilishia hela ya mboga kama maduka sijui na mpesa! Kila mtu anafanya hizi na sustainability ni ngumu ukiyumbishwa kimtaji unaanguka!

Ila imagine una mikataba ya watu wanakuingizia pesa tu! Kila mmoja kwa issue yake mnakuwa patners kibiashara 😅😅😅 mifumo imara ambayo hata usipokuwepo ina operate hela inaingia tu!
 
Back
Top Bottom