mwanamabadiliko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 938
- 1,540
Karibu sana Mdogo wangu Diamond katika Umri wa utu uzima, Sasa wewe jijuwe sio Kijana Tena, Kwa maana Umri wa ujana mwisho ni miaka 35. Kama ilivyo Kwa mwanamama Jokate ambaye naye si kijana Tena.
Hivyo, kwenye makongamani ya vijana diamond ataalikwa kama mtumbuizaji, na si kama Kijana wa mfano, yeye Sasa ni mtu wa Makamo. Na anastaili kupewa shikamoo nyingi, na Kwa Umri wake wa utu uzima ni vema akaona.
Jambo la kutoka kwenye ujana , c jambo rahisi kulikubali, lakini Kila kitu unapaswa Kumshukuru Mungu. Vijana wa kwenye game Sasa ni kina harmonize, marioo, we diamond ni Mzee mwenzetu Asante na popote ulipo ujumbe ukufikie
😅😅😅 si kikongwe tu inatosha mpaka na master tena 😀😀😀70-100 Kikongwe master.
Hii ni dharau kwa wasira18-35 kijana
35-45- Mtu mazima
45-60 MTU wa makamu
60-70 mzee
70-100 Kikongwe master.
Hakuna Kijana wa Miaka 40, mtu wa miaka 18, 20 hawezi kukaa siti moja na mtu mzima wa miaka 40rika rasmi la vijana ni mpaka miaka 40
kua na nidhamu ndugu18-35 kijana
35-45- Mtu mazima
45-60 MTU wa makamu
60-70 mzee
70-100 Kikongwe master.
18-35 kijana
35-45- Mtu mazima
45-60 MTU wa makamu
60-70 mzee
70-100 Kikongwe master.
😆kikongwe master, noma bob18-35 kijana
35-45- Mtu mazima
45-60 MTU wa makamu
60-70 mzee
70-100 Kikongwe master.
Mikongwe Masta, hatuondoki MadarakaniView attachment 3219054
Master anakucheki kwa pozi😂
Haaah wewe utakuwa Mzee mwenzangusasa unamtisha nani anaejali? kibongo bongo UJANA ni mpaka 39-40.
41-->> ndio utu uzima, BATA lazima liendelee.
we vp aloo, eboh!
a.k.a MzeeKaribu sana Mdogo wangu Diamond katika Umri wa utu uzima, Sasa wewe jijuwe sio Kijana Tena, Kwa maana Umri wa ujana mwisho ni miaka 35. Kama ilivyo Kwa mwanamama Jokate ambaye naye si kijana Tena.
Hivyo, kwenye makongamani ya vijana diamond ataalikwa kama mtumbuizaji, na si kama Kijana wa mfano, yeye Sasa ni mtu wa Makamo. Na anastaili kupewa shikamoo nyingi, na Kwa Umri wake wa utu uzima ni vema akaona.
Jambo la kutoka kwenye ujana , c jambo rahisi kulikubali, lakini Kila kitu unapaswa Kumshukuru Mungu. Vijana wa kwenye game Sasa ni kina harmonize, marioo, we diamond ni Mzee mwenzetu Asante na popote ulipo ujumbe ukufikie
Mzee Nasibua.k.a Mzee
Huyu ni yupi?Wamangomeni ama Mananyamala?Mzee Nasibu
Wasira yuko wapi hapo?18-35 kijana
35-45- Mtu mazima
45-60 MTU wa makamu
60-70 mzee
70-100 Kikongwe master.