Diamond Platnumz sio Kijana Tena, ni mtu wa makamo 37 years

Diamond Platnumz sio Kijana Tena, ni mtu wa makamo 37 years

Hadi
Karibu sana Mdogo wangu Diamond katika Umri wa utu uzima, Sasa wewe jijuwe sio Kijana Tena, Kwa maana Umri wa ujana mwisho ni miaka 35. Kama ilivyo Kwa mwanamama Jokate ambaye naye si kijana Tena.

Hivyo, kwenye makongamani ya vijana diamond ataalikwa kama mtumbuizaji, na si kama Kijana wa mfano, yeye Sasa ni mtu wa Makamo. Na anastaili kupewa shikamoo nyingi, na Kwa Umri wake wa utu uzima ni vema akaona.

Jambo la kutoka kwenye ujana , c jambo rahisi kulikubali, lakini Kila kitu unapaswa Kumshukuru Mungu. Vijana wa kwenye game Sasa ni kina harmonize, marioo, we diamond ni Mzee mwenzetu Asante na popote ulipo ujumbe ukufikie
40 bado ni kijana
 
Afrika tuu ndio wanatishana kwa umri, nchi zilizoendelea watu hawana time n aumri, wanakumbia umri namba tuu, fikra zako ndio mpango mzima

Ndil maana jamaa kugonga 90 100 kawaida tuu.
 
1002365759.jpg
 
Hapa sijaelewa kinachokupa shida ni nini. Ilisemwa wakati ni ukuta huwezi kushindana nao,itafika tu wakati Mtoto ataitwa Mtu wa makamo baadae Mzee,kikongwe n.k. Jamii wanaona, sasa kama wao bado wanamuona Kijana Mtoto au Mzee Kijana waulize wao wakupe sababu.
 
Back
Top Bottom