Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Sisi uvccm hadi 50 ni vijana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha hahaSisi uvccm hadi 50 ni vijana
40 bado ni kijanaKaribu sana Mdogo wangu Diamond katika Umri wa utu uzima, Sasa wewe jijuwe sio Kijana Tena, Kwa maana Umri wa ujana mwisho ni miaka 35. Kama ilivyo Kwa mwanamama Jokate ambaye naye si kijana Tena.
Hivyo, kwenye makongamani ya vijana diamond ataalikwa kama mtumbuizaji, na si kama Kijana wa mfano, yeye Sasa ni mtu wa Makamo. Na anastaili kupewa shikamoo nyingi, na Kwa Umri wake wa utu uzima ni vema akaona.
Jambo la kutoka kwenye ujana , c jambo rahisi kulikubali, lakini Kila kitu unapaswa Kumshukuru Mungu. Vijana wa kwenye game Sasa ni kina harmonize, marioo, we diamond ni Mzee mwenzetu Asante na popote ulipo ujumbe ukufikie
Ni 45 sio 40 rekebisha haporika rasmi la vijana ni mpaka miaka 40
45 mpaka 50 ni kijana kabisaHadi
40 bado ni kijana
45 mpaka 50 ni kijana kabisa
Sijui kwanini taswira ya mhe. Wasira imenijia ghafla niliposoma hiyo 70-100...70-100 Kikongwe master
Ukaona uweke na master kuonyesha msisitizo 😹😹18-35 kijana
35-45- Mtu mazima
45-60 MTU wa makamu
60-70 mzee
70-100 Kikongwe master.
jidanganyeOyaaa,uzee unaanzia 45 huko..
Seven wassirana jakaya kikwete ni vikongwe pro max18-35 kijana
35-45- Mtu mazima
45-60 MTU wa makamu
60-70 mzee
70-100 Kikongwe master.
Kikongwe masterWasira yuko wapi hapo?
Kula chumaView attachment 3219054
Master anakucheki kwa pozi😂