Diamond Platnumz uwe na utu!

Mwenyewe ananikera sana siku hizi huyu mondi. Najaribu kuto mix maisha yake ya kazi na binafsi lakin nashindwa

Ndio maana zari anamuita mwanae Tiffah Hassan.

Sent from my MI NOTE LTE using JamiiForums mobile app

Ha ha haaaa

Hajui tu ameshaanza kuboa wengi sana sana haupo peke yako.

Nimeiona hiyo ya jina leo.
 
Duuu kwel we ni pumzihaiuzwi
 
Mara Diamond...
Mara Baba Tiffah...
Mara Dogo..!
Povu juu ya Povu...

Sent from my Iphone-7 plus using JamiiForums Mobile App
 
Mwenyewe ananikera sana siku hizi huyu mondi. Najaribu kuto mix maisha yake ya kazi na binafsi lakin nashindwa

Ndio maana zari anamuita mwanae Tiffah Hassan.

Sent from my MI NOTE LTE using JamiiForums mobile app
Bahati mbaya hauwezi maana wakati anayachanganya mlimsifia na kumpa support kwa alichokuwa anakifanya. Kwa sasa kutenganisha maisha binafsi ya diamond na kazi zake ni ngumu sana. Pole sana.

Sent from my LG-K520 using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo wewe unavyoona mawasiliano yao yote yapo mitandaoni ....... Usipoona kaandika chochote kuhusu Zari au mtu yeyote basi unahisi kalala hakuna anachokifanya si ndio .......... Kwa hiyo kwa akili yako ilivyo ndogo unaona yale ya mitandao ndio maisha yake kuanzia asubui mpaka jioni .....???
 
Kwahiyo huyo member incase amefiwa na mwanae inakuwaje?

Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
 
acheni shobo ww mtoa mada ndugu zako na rafik zako kibao wameumwa na hujawah kwenda

Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
 
Tuilete Video ili iweje?
 
Mama chi... hi! Pole kwa povu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…