Pre GE2025 Diamond Platnumz: Wana Mbeya mnatakiwa kutembea kifua mbele kwa kumchagua Tulia, tusikubali kulipoteza hili jembe

Pre GE2025 Diamond Platnumz: Wana Mbeya mnatakiwa kutembea kifua mbele kwa kumchagua Tulia, tusikubali kulipoteza hili jembe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwan yye mpango wake wa kuwa Tajiri namba moja umeanza au bado maana sie hatutakubili kumpoteza kijana kwa kwanza tajir dunian
 
Wajinga ni hao waliouliza maswali ya mtego, Dr Tulia kawajibu vizuri tu.Usikubali hata siku moja ile dhana ya mzungu kwamba wewe mwafrika ni second class citizen, lazima uonyeshe kuwa unayo haki ya kukalia kiti ulichopewa.

RIP Mandela aliulizwa swali la kijinga kama aliloliuzwa Tulia, kwanini Afrika ya kusini ipo karibu na Muamar Ghadhaffi, akawajibu kwamba adui wa USA sio lazima awe adui wa Afrika ya kusini.
Tulia kafanya vibaya kudhani maswali kaulizwa eti kwa vile yeye ni mwafrika au anatoka poor country, that is inferiority complex, ni SELF STIGMA kajinyanyaapaa mwenyewe!!

Halafu pitch and intonation inaonyesha alivurugwa na maswali, akajibu kwa jazba, asifikiri yupo Bunge la Tanzania ,alizadhani muuliza swali ni LUHAGA MPINA, BABU TALE na Mzee Halima Mdee na Easter Bulaya.

Kujinyanyapaa ni kosa kubwa sana kati ya makosa aliyoyafanya.

Ana lack of confidence, anatumia pia uafrika kujitetetea, alipata nafasi by chance tu!!
 
Huna lolote la kumzuia Tulia asigombee hapo Mbeya mjini, JPM na Samia ni watu wa chama kimoja. Kama JPM alikuwa anafoka na kutumia nguvu kumbuka Samia anatumia lugha laini lakini lengo lake ni lazima litimizwe.

Tafuta uelewa wa masuala ya mkataba wa TPA kabla hujaongelea kitu usichokifahamu vyema.
Nimekusikia CHAWA, utaelewa siku utakapotoa akili zako za KUVUKIA barabara mfukoni.

Nazijua siasa za Mbeya vizuri, Mbeya pagumu sana, Mbeya ni ngome ya CHADEMA!!!
Mbeya mjini voter's wanaojitambua.

We naona utakuwa mgeni Tanzania/ mgeni Mbeya.

Sugu alikuwa the Most Voted member of Parliament Mbeya kabla ya UCHAFUZI MKUU 😃 wa 2020, alipimpiga mpinzani wake range ya kura 60,0000 upo wewe Mwanamke??

Unaibaje hapo kura?? Subirini mtaona shughuli mwakani!!!
👊👊
 
Msanii na mfanyabishara mkubwa sana nchini Tanzania, Diamond Platnumz amewataka watu wa Mbeya kujivunia Spika wa Tanzania na Duniani Madam Tulia Ackson. Diamond ameonekana kuvutiwa na namna Madame Tulia alivyoongoza mjadala mgumu wenye hisia kali kutoka kwa watu wenye weredi duniani aliongoza kwa ustadi mkubwa bila kuteteleka.

Sisi pia wazalendo wa nchi hii tunaungana na Diamond Platnumz kujivunia kuwa na mwanamama shupavu na kiongozi wa mfano ambaye dunia imezizima kwa uwezo alioonesha kwenye leadership, decision making, public speaking, influencing, supervision nk .

Ama kwa hakika hatupaswi kulipoteza ili jembe kwa sababu ya mihemko ya kisiasa.

Yule mvaa mlegezo anaejua kusoma, kuandika na kutukana matusi ya nguoni ni wakati sasa ajikite kwenye upishi kama mwenzie shilole maana kwenye muziki akiimba watoto wanamcheka.

Soma: Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin

Kwanini asibaki hukohuko uswiss
 
Ondoa upuuzi hapa. Madam Spika amelikoroga, acheni kusifia mediocre.
In international diplomacy. Rule no 1. Never go bananas at the podium. In other words do not over react. Do not show your anger even when justified. Keep calm.

Jibu sahihi kwa uzoefu wangu lingekuwa simply

Regrettably President Zelenskys schedule made it difficult when I asked to visit. I look forward to visiting Ukraine at his earliest convenience.

Ila kutoa direct answers kwenye forums hizo ni hatari... you are always walking
Mkuu, upo sawa maana wale ni wabunge wenziwe, hakuoaswa kuwajibu kama wanafunzi,japo kuwa majibu yake yalikjwa sawa. Ali panic katika kuyajibu.
 
Nimekusikia CHAWA, utaelewa siku utakapotoa akili zako za KUVUKIA barabara mfukoni.

Nazijua siasa za Mbeya vizuri, Mbeya pagumu sana, Mbeya ni ngome ya CHADEMA!!!
Mbeya mjini voter's wanaojitambua.

We naona utakuwa mgeni Tanzania/ mgeni Mbeya.

Sugu alikuwa the Most Voted member of Parliament Mbeya kabla ya UCHAFUZI MKUU 😃 wa 2020, alipimpiga mpinzani wake range ya kura 60,0000 upo wewe Mwanamke??

Unaibaje hapo kura?? Subirini mtaona shughuli mwakani!!!
👊👊
Tatizo lenu ni ushujaa wa nyuma ya keyboard, kuna watu humu ukiwasoma unaweza kudhani huko mtaani moto mkubwa unawaka.

Siasa za kutimiza malengo yanayowekwa kwenye ilani ya uchaguzi siku zote zinashinda, usiwaamini sana wale wahuni waliomzomea Zuchu jukwaani, wale hawapigi kura hata siku moja.
 
Mkuu, upo sawa maana wale ni wabunge wenziwe, hakuoaswa kuwajibu kama wanafunzi,japo kuwa majibu yake yalikjwa sawa. Ali panic katika kuyajibu.
Aliwaweka sawa kwa kuwakumbusha kuwa wao kutoka mataifa makubwa na tajiri hawana kibali cha kumnyanyasa spika kutoka nchi maskini ya Tanzania.

Walitaka kum-bully lakini akawageuzia kibao katika majibu ya maswali yao.
 
Tatizo lenu ni ushujaa wa nyuma ya keyboard, kuna watu humu ukiwasoma unaweza kudhani huko mtaani moto mkubwa unawaka.

Siasa za kutimiza malengo yanayowekwa kwenye ilani ya uchaguzi siku zote zinashinda, usiwaamini sana wale wahuni waliomzomea Zuchu jukwaani, wale hawapigi kura hata siku moja.
Duuu, MBEYA JK Msafara wake ulivurumushwa mawe akiwa Rais, ....Mbeya sio rahis ndugu Joel, tutakuja kutafutana na kuuulizananhapa hapa jukwaani!!

Ya zuchu ni sign ndogo sana utaniambia wakati ukifika!!
 
Tatizo lenu ni ushujaa wa nyuma ya keyboard, kuna watu humu ukiwasoma unaweza kudhani huko mtaani moto mkubwa unawaka.

Siasa za kutimiza malengo yanayowekwa kwenye ilani ya uchaguzi siku zote zinashinda, usiwaamini sana wale wahuni waliomzomea Zuchu jukwaani, wale hawapigi kura hata siku moja.
Wewe ni Chawa?
 
Msanii na mfanyabishara mkubwa sana nchini Tanzania, Diamond Platnumz amewataka watu wa Mbeya kujivunia Spika wa Tanzania na Duniani Madam Tulia Ackson. Diamond ameonekana kuvutiwa na namna Madame Tulia alivyoongoza mjadala mgumu wenye hisia kali kutoka kwa watu wenye weredi duniani aliongoza kwa ustadi mkubwa bila kuteteleka.

Sisi pia wazalendo wa nchi hii tunaungana na Diamond Platnumz kujivunia kuwa na mwanamama shupavu na kiongozi wa mfano ambaye dunia imezizima kwa uwezo alioonesha kwenye leadership, decision making, public speaking, influencing, supervision nk .

Ama kwa hakika hatupaswi kulipoteza ili jembe kwa sababu ya mihemko ya kisiasa.

Yule mvaa mlegezo anaejua kusoma, kuandika na kutukana matusi ya nguoni ni wakati sasa ajikite kwenye upishi kama mwenzie shilole maana kwenye muziki akiimba watoto wanamcheka.

Soma: Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin
Hili liko wazi,Ukiwa na akili timamu huwezi mpigia kura Sugu ukamuacha Tulia unless una shida mahala 😆😆

Wazungu wanamjua vyema Tulia
 
Tulia kafanya vibaya kudhani maswali kaulizwa eti kwa vile yeye ni mwafrika au anatoka poor country, that is inferiority complex, ni SELF STIGMA kajinyanyaapaa mwenyewe!!

Halafu pitch and intonation inaonyesha alivurugwa na maswali, akajibu kwa jazba, asifikiri yupo Bunge la Tanzania ,alizadhani muuliza swali ni LUHAGA MPINA, BABU TALE na Mzee Halima Mdee na Easter Bulaya.

Kujinyanyapaa ni kosa kubwa sana kati ya makosa aliyoyafanya.

Ana lack of confidence, anatumia pia uafrika kujitetetea, alipata nafasi by chance tu!!
Sahihi
 
Back
Top Bottom