Tulia alichaguliwa na nani? Kwani 2020 kulikuwa na uchaguzi? Jiwe si ndio Mpuuzi wa wapuuzi wote?P did kamuharbu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia alichaguliwa na nani? Kwani 2020 kulikuwa na uchaguzi? Jiwe si ndio Mpuuzi wa wapuuzi wote?P did kamuharbu
Machawa ni vijana wadogo kina Mwijaku na Baba levo, mimi ni mtanzania ninayechangia mawazo mada za humu ndani.Wewe ni Chawa?
Diamond akapige shoo mbeya. Atapata tathmini vizuri tu.Msanii na mfanyabishara mkubwa sana nchini Tanzania, Diamond Platnumz amewataka watu wa Mbeya kujivunia Spika wa Tanzania na Duniani Madam Tulia Ackson. Diamond ameonekana kuvutiwa na namna Madame Tulia alivyoongoza mjadala mgumu wenye hisia kali kutoka kwa watu wenye weredi duniani aliongoza kwa ustadi mkubwa bila kuteteleka.
Sisi pia wazalendo wa nchi hii tunaungana na Diamond Platnumz kujivunia kuwa na mwanamama shupavu na kiongozi wa mfano ambaye dunia imezizima kwa uwezo alioonesha kwenye leadership, decision making, public speaking, influencing, supervision nk .
Ama kwa hakika hatupaswi kulipoteza ili jembe kwa sababu ya mihemko ya kisiasa.
Yule mvaa mlegezo anaejua kusoma, kuandika na kutukana matusi ya nguoni ni wakati sasa ajikite kwenye upishi kama mwenzie shilole maana kwenye muziki akiimba watoto wanamcheka.
Soma: Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin
Kwa kifupi ni msanii anayeangalia maslahi yake, What if anapewa msamaha wa kodi kwa makampuni yake kisiri, who knows?Mondi nina heshimu Hustle zake. Ila kwenye uhalisia lazima umuelewe hajasoma. Ni mwanamuziki mzuri na mfanyabiashara mkubwa lakini kutokusoma kuna impact kubwa kwake
Diamond akapige shoo mbeya. Atapata tathmini vizuri tu.
Ohoo... Diamond hajui kama ccm hawamtaki huyo 2lia..eheee!?!!!kajipalia makaa..Msanii na mfanyabishara mkubwa sana nchini Tanzania, Diamond Platnumz amewataka watu wa Mbeya kujivunia Spika wa Tanzania na Duniani Madam Tulia Ackson. Diamond ameonekana kuvutiwa na namna Madame Tulia alivyoongoza mjadala mgumu wenye hisia kali kutoka kwa watu wenye weredi duniani aliongoza kwa ustadi mkubwa bila kuteteleka.
Sisi pia wazalendo wa nchi hii tunaungana na Diamond Platnumz kujivunia kuwa na mwanamama shupavu na kiongozi wa mfano ambaye dunia imezizima kwa uwezo alioonesha kwenye leadership, decision making, public speaking, influencing, supervision nk .
Ama kwa hakika hatupaswi kulipoteza ili jembe kwa sababu ya mihemko ya kisiasa.
Yule mvaa mlegezo anaejua kusoma, kuandika na kutukana matusi ya nguoni ni wakati sasa ajikite kwenye upishi kama mwenzie shilole maana kwenye muziki akiimba watoto wanamcheka.
Soma: Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin
Tazama TV za Kenya utauona ukweli kuwa vijana wao wamepagawa haswa kwa hali za kimaisha.
Ohoo!!Msanii na mfanyabishara mkubwa sana nchini Tanzania, Diamond Platnumz amewataka watu wa Mbeya kujivunia Spika wa Tanzania na Duniani Madam Tulia Ackson. Diamond ameonekana kuvutiwa na namna Madame Tulia alivyoongoza mjadala mgumu wenye hisia kali kutoka kwa watu wenye weredi duniani aliongoza kwa ustadi mkubwa bila kuteteleka.
Sisi pia wazalendo wa nchi hii tunaungana na Diamond Platnumz kujivunia kuwa na mwanamama shupavu na kiongozi wa mfano ambaye dunia imezizima kwa uwezo alioonesha kwenye leadership, decision making, public speaking, influencing, supervision nk .
Ama kwa hakika hatupaswi kulipoteza ili jembe kwa sababu ya mihemko ya kisiasa.
Yule mvaa mlegezo anaejua kusoma, kuandika na kutukana matusi ya nguoni ni wakati sasa ajikite kwenye upishi kama mwenzie shilole maana kwenye muziki akiimba watoto wanamcheka.
Soma: Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin
Sadc wamemkubali 👇👇Msanii na mfanyabishara mkubwa sana nchini Tanzania, Diamond Platnumz amewataka watu wa Mbeya kujivunia Spika wa Tanzania na Duniani Madam Tulia Ackson. Diamond ameonekana kuvutiwa na namna Madame Tulia alivyoongoza mjadala mgumu wenye hisia kali kutoka kwa watu wenye weredi duniani aliongoza kwa ustadi mkubwa bila kuteteleka.
Sisi pia wazalendo wa nchi hii tunaungana na Diamond Platnumz kujivunia kuwa na mwanamama shupavu na kiongozi wa mfano ambaye dunia imezizima kwa uwezo alioonesha kwenye leadership, decision making, public speaking, influencing, supervision nk .
Ama kwa hakika hatupaswi kulipoteza ili jembe kwa sababu ya mihemko ya kisiasa.
Yule mvaa mlegezo anaejua kusoma, kuandika na kutukana matusi ya nguoni ni wakati sasa ajikite kwenye upishi kama mwenzie shilole maana kwenye muziki akiimba watoto wanamcheka.
Soma: Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin
Sinza nayoijua Mimi,Ina wajinga siku izi??Tunatakiwa tuwe na watu smart kama Tulia kwenye uongozi, mtu anaejua nchi inatakiwa kupita njia zipi kupata maendeleo.
Kama anaona ni jembe ampeleke kwa P Didi asituletee uchizi wake. Aje Mbeya aone na aseme ujinga wake. Zuchu tulimpopoa kwa chupa za plastic yeye tutampopoa kwa maweHakika! Kabla ya kutushauri siye wanambeya amalizane na Diddy kwanza 😁😁😁😁
Kichwa 🍆 kilikufanyaje how comes mwanaume upende kichwa...?Acha hasira wewe , Tulia ni kichwa sana
Correction… mbeya ni ng’ombe ya suguNimekusikia CHAWA, utaelewa siku utakapotoa akili zako za KUVUKIA barabara mfukoni.
Nazijua siasa za Mbeya vizuri, Mbeya pagumu sana, Mbeya ni ngome ya CHADEMA!!!
Mbeya mjini voter's wanaojitambua.
We naona utakuwa mgeni Tanzania/ mgeni Mbeya.
Sugu alikuwa the Most Voted member of Parliament Mbeya kabla ya UCHAFUZI MKUU 😃 wa 2020, alipimpiga mpinzani wake range ya kura 60,0000 upo wewe Mwanamke??
Unaibaje hapo kura?? Subirini mtaona shughuli mwakani!!!
👊👊
Alifanya kwa ridhaa yake akiaminishwa kuwa anapewa upako wa kumfanya kujakuwa tajiri namba moja duniani...kwanini Diamond hamdai fidia Pdidy? Au walifanya kwa hiyari bila kulazimishwa wala kurubuniwa?
Mkuu unauliza mate kinywani wakati ndiyo nyumbani kwake?Wewe ni Chawa?
Tulia ni mwanaume? dogo acha kujaza takataka kwenye akili yakoKichwa 🍆 kilikufanyaje how comes mwanaume upende kichwa...?
Hii post ya kidwanzi sana,wewe huijui mbeya vizuri husasani Tanzania Kwa ujumlaMbeya inahitajika kuongozwa na watu wenye uwezo sio kuokota okota watu wenye vibe alafu wanaishia kutukana matusi