Pre GE2025 Diamond Platnumz: Wana Mbeya mnatakiwa kutembea kifua mbele kwa kumchagua Tulia, tusikubali kulipoteza hili jembe

Pre GE2025 Diamond Platnumz: Wana Mbeya mnatakiwa kutembea kifua mbele kwa kumchagua Tulia, tusikubali kulipoteza hili jembe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Msanii na mfanyabishara mkubwa sana nchini Tanzania, Diamond Platnumz amewataka watu wa Mbeya kujivunia Spika wa Tanzania na Duniani Madam Tulia Ackson. Diamond ameonekana kuvutiwa na namna Madame Tulia alivyoongoza mjadala mgumu wenye hisia kali kutoka kwa watu wenye weredi duniani aliongoza kwa ustadi mkubwa bila kuteteleka.

Sisi pia wazalendo wa nchi hii tunaungana na Diamond Platnumz kujivunia kuwa na mwanamama shupavu na kiongozi wa mfano ambaye dunia imezizima kwa uwezo alioonesha kwenye leadership, decision making, public speaking, influencing, supervision nk .

Ama kwa hakika hatupaswi kulipoteza ili jembe kwa sababu ya mihemko ya kisiasa.

Yule mvaa mlegezo anaejua kusoma, kuandika na kutukana matusi ya nguoni ni wakati sasa ajikite kwenye upishi kama mwenzie shilole maana kwenye muziki akiimba watoto wanamcheka.

Soma: Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin
Diamond akapige shoo mbeya. Atapata tathmini vizuri tu.
 
Mondi nina heshimu Hustle zake. Ila kwenye uhalisia lazima umuelewe hajasoma. Ni mwanamuziki mzuri na mfanyabiashara mkubwa lakini kutokusoma kuna impact kubwa kwake
Kwa kifupi ni msanii anayeangalia maslahi yake, What if anapewa msamaha wa kodi kwa makampuni yake kisiri, who knows?
 
Msanii na mfanyabishara mkubwa sana nchini Tanzania, Diamond Platnumz amewataka watu wa Mbeya kujivunia Spika wa Tanzania na Duniani Madam Tulia Ackson. Diamond ameonekana kuvutiwa na namna Madame Tulia alivyoongoza mjadala mgumu wenye hisia kali kutoka kwa watu wenye weredi duniani aliongoza kwa ustadi mkubwa bila kuteteleka.

Sisi pia wazalendo wa nchi hii tunaungana na Diamond Platnumz kujivunia kuwa na mwanamama shupavu na kiongozi wa mfano ambaye dunia imezizima kwa uwezo alioonesha kwenye leadership, decision making, public speaking, influencing, supervision nk .

Ama kwa hakika hatupaswi kulipoteza ili jembe kwa sababu ya mihemko ya kisiasa.

Yule mvaa mlegezo anaejua kusoma, kuandika na kutukana matusi ya nguoni ni wakati sasa ajikite kwenye upishi kama mwenzie shilole maana kwenye muziki akiimba watoto wanamcheka.

Soma: Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin
Ohoo... Diamond hajui kama ccm hawamtaki huyo 2lia..eheee!?!!!kajipalia makaa..
Diamond anapaswa kumsifu kizimkazi tuu.. kapotoka.
 
Tazama TV za Kenya utauona ukweli kuwa vijana wao wamepagawa haswa kwa hali za kimaisha.

Sio ugumu wa maisha ila pia ukifuatili historia ya Kenya walipata uhuru kupitia armed struggle,

Pia wamepitia vipindi kama vya moi ambapo watu walipambana ili kuirejesha Kenya wanayoitaka kwa hiyo hadi hapo unaona, wakati sisi tukiwa na akili ya kidumu chama ama neno la kiongozi ndio final, wao waliishi kwa kuamini katika uhuru wao wa kufikiri na kuamua. Na pale wanapodharauliwa, huwa hawalii mitandaoni, huwa wanaenda front kama ulivyoiona generation Z ya Kenya ambavyo haikuogopa mabomu

Kwa hiyo Tanzania wala sio wepesi wa maisha ila watu tunaishi ili mradi tunapumua, kodi zinapandishwa hatujui

CAG anatangaza ubadhirifu, tupo tu na hata liongeleke lipi kila mtu anafikiria nikifa itakiwaje lakini wenzetu wanawaza, tukiyaruhusu haya, vizazi vyetu vijavyo vitaishije. Huo ndio utofauti

So sio kwamba watu hawana sababu ila hawana guts za kutoa reaction
 
Msanii na mfanyabishara mkubwa sana nchini Tanzania, Diamond Platnumz amewataka watu wa Mbeya kujivunia Spika wa Tanzania na Duniani Madam Tulia Ackson. Diamond ameonekana kuvutiwa na namna Madame Tulia alivyoongoza mjadala mgumu wenye hisia kali kutoka kwa watu wenye weredi duniani aliongoza kwa ustadi mkubwa bila kuteteleka.

Sisi pia wazalendo wa nchi hii tunaungana na Diamond Platnumz kujivunia kuwa na mwanamama shupavu na kiongozi wa mfano ambaye dunia imezizima kwa uwezo alioonesha kwenye leadership, decision making, public speaking, influencing, supervision nk .

Ama kwa hakika hatupaswi kulipoteza ili jembe kwa sababu ya mihemko ya kisiasa.

Yule mvaa mlegezo anaejua kusoma, kuandika na kutukana matusi ya nguoni ni wakati sasa ajikite kwenye upishi kama mwenzie shilole maana kwenye muziki akiimba watoto wanamcheka.

Soma: Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin
Ohoo!!
 
Msanii na mfanyabishara mkubwa sana nchini Tanzania, Diamond Platnumz amewataka watu wa Mbeya kujivunia Spika wa Tanzania na Duniani Madam Tulia Ackson. Diamond ameonekana kuvutiwa na namna Madame Tulia alivyoongoza mjadala mgumu wenye hisia kali kutoka kwa watu wenye weredi duniani aliongoza kwa ustadi mkubwa bila kuteteleka.

Sisi pia wazalendo wa nchi hii tunaungana na Diamond Platnumz kujivunia kuwa na mwanamama shupavu na kiongozi wa mfano ambaye dunia imezizima kwa uwezo alioonesha kwenye leadership, decision making, public speaking, influencing, supervision nk .

Ama kwa hakika hatupaswi kulipoteza ili jembe kwa sababu ya mihemko ya kisiasa.

Yule mvaa mlegezo anaejua kusoma, kuandika na kutukana matusi ya nguoni ni wakati sasa ajikite kwenye upishi kama mwenzie shilole maana kwenye muziki akiimba watoto wanamcheka.

Soma: Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin
Sadc wamemkubali 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DBOiLW-qWt5/?igsh=ZHgzNm1pYmZwNzky
 
Hakika! Kabla ya kutushauri siye wanambeya amalizane na Diddy kwanza 😁😁😁😁
Kama anaona ni jembe ampeleke kwa P Didi asituletee uchizi wake. Aje Mbeya aone na aseme ujinga wake. Zuchu tulimpopoa kwa chupa za plastic yeye tutampopoa kwa mawe
 
Nimekusikia CHAWA, utaelewa siku utakapotoa akili zako za KUVUKIA barabara mfukoni.

Nazijua siasa za Mbeya vizuri, Mbeya pagumu sana, Mbeya ni ngome ya CHADEMA!!!
Mbeya mjini voter's wanaojitambua.

We naona utakuwa mgeni Tanzania/ mgeni Mbeya.

Sugu alikuwa the Most Voted member of Parliament Mbeya kabla ya UCHAFUZI MKUU 😃 wa 2020, alipimpiga mpinzani wake range ya kura 60,0000 upo wewe Mwanamke??

Unaibaje hapo kura?? Subirini mtaona shughuli mwakani!!!
👊👊
Correction… mbeya ni ng’ombe ya sugu
 
Watanzania waongeleshe kiinglish tu basi, umewamaliza watakuona wewe ni bonge la msomiii

Wajinga ndio waliwao
 
Mbeya inahitajika kuongozwa na watu wenye uwezo sio kuokota okota watu wenye vibe alafu wanaishia kutukana matusi
Hii post ya kidwanzi sana,wewe huijui mbeya vizuri husasani Tanzania Kwa ujumla
 
Back
Top Bottom