Diamond pumzika muziki kwa muda pepo mchafu apite!

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™‰
Kwamba let her mute
 
Mond anatakiwa atumie vizuri huu upepo kujulikana zaidi na kufikia lile wazo lake la kua tajiri namba moja duniani japo upepo ni mchafu.
 
Let her or Him?
 
Let her mute ndo nini? Kwani we jamaa ungeandika kiswahili mwanzo mwisho ungeanguka kifafa au?
 
Diamond aache shughuli zake kisa wapiga kelele?
 
marinda yatarudi? na muziki wao mchafu huu wanachafua hadi nafsi za watoto na kuambukiza ujinga wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…