Mbona ngoma zake za Yatapita na Zuwena zimefanya vizuri na zimekuwa hits songs?Mimi ni shabiki wa mondi tangu anatoka bro mondi wa enzi za nyuma si sawa na wa sasa hata kidogo. Mondi alikua balaa akitoa nyimbo huwa nyimbo ya taifa tena itatrend si chini ya miezi sita, mfano Utanipenda, Eneka, African beuty, kwangwaru, kidogo, halleluyah, iyena, ntampata wapi, Marry you na nyinginezo halafu fananisha na hizi za sasa hivi Gidi, kwenye FOA ukiitoa mtasubiri nyingne sio za level yake, zuwena, my baby, Jugni, kanyaga na nyingnezo. Kama utafikiria bila ushabiki utaona ukweli ulivo.
Amesema kinachombeba umaarufu tu pinga hoja sio blababla🏃🏃Pale unapo lazimisha mawazo yako kuwa ni ya watu wote lkn namba kwenye digital platforms zinakushangaa. Mwamba anakimbiza digital platforms zote, hapo ndipo ujue kama umemchoka ni wewe.
Isemee nafsi yako sio tumemchoka,halfu unavyozidi kuwa na wivu,roho mbaya ndivyo unavyozidi kuwa masikini take it from meInawezekana ni mwandishi mzuri, ana nyimbo zenye melody Kali, ila tatizo sauti yake tumeichoka sana , sana yani kama tulivozichoka sauti za kina mbdogg na Juma nature.
Kiukweli kinachombeba ni Jina tu, kwasasa awaachie kina Mario, harmonize, jay melody, sauti zao hatujazichoka. Yaani nikisikia sauti ya diamond na Ile staile yake very old fashioned, aache muziki awe mwandishi.
Jamaa kiufupi ameisha
Inakusaidia niniMimi ni mshabiki wa diamond kindaki ndaki, nazungumzia uhalisia. Jamaa kaisha
Kwani umaarufu unaletwa na nini? na nini kina maintain umaarufu?Amesema kinachombeba umaarufu tu pinga hoja sio blababla🏃🏃
Sasa kuna hoja zinazidi number? Mimi nimeongea kwa number,kama una hoja based on quantity ziweke hapa. Mnaendeshwa na hisia zenu binafsi huku mkibishana na uhalisia na uhalisia ndio hizo number na nyimbo hazina hata mwezi. Halafu uzuri hata ukimchukia wewe binafsi haumpunguzii kitu.Amesema kinachombeba umaarufu tu pinga hoja sio blababla🏃🏃
Kawaida sana nature ya Binadamu yeyote akishatumia kitu kimoja kile kile kila siku kwa miaka nenda miaka rudi hukichoka na kukikinai mazima.Ngoma ikivuma hatimaye hupasuka
Wapumbavu wanamshambulia mleta mada kama kweli ana chuki na huyo Msanii, akili zingine bhana [emoji3]Muziki ndio uko hivyo. Ni kama umemsikilize Usher Raymond. Sasa anaweza kutoa wimbo mzuri lakini ile shauku ya wasikilizaji inakuwa haipo kama zamani.
Acha kumsikiliza Diamond, msikilize Ally Kiba...!Inawezekana ni mwandishi mzuri, ana nyimbo zenye melody Kali, ila tatizo sauti yake tumeichoka sana , sana yani kama tulivozichoka sauti za kina mbdogg na Juma nature.
Kiukweli kinachombeba ni Jina tu, kwasasa awaachie kina Mario, harmonize, jay melody, sauti zao hatujazichoka. Yaani nikisikia sauti ya diamond na Ile staile yake very old fashioned, aache muziki awe mwandishi.
Jamaa kiufupi ameisha
kwanini uwasamehe wengi kwani kuna mtu kakwmbia uwasemehe auInawezekana ni mwandishi mzuri, ana nyimbo zenye melody Kali, ila tatizo sauti yake tumeichoka sana , sana yani kama tulivozichoka sauti za kina mbdogg na Juma nature.
Kiukweli kinachombeba ni Jina tu, kwasasa awaachie kina Mario, harmonize, jay melody, sauti zao hatujazichoka. Yaani nikisikia sauti ya diamond na Ile staile yake very old fashioned, aache muziki awe mwandishi.
Jamaa kiufupi ameisha
Sasa zuwena utafananisha na lala salama, utanikumbuka, salome, moyo wangu au nimpende nani ???Sema unapenda nyimbo za matusi, mlilalamika kaamua kutulia na kuonyesha uwezo bado uchawiiii huo
Ni kweli hakuna mji udumuo milele.. kila jambo lina wakati wake..Inawezekana ni mwandishi mzuri, ana nyimbo zenye melody Kali, ila tatizo sauti yake tumeichoka sana , sana yani kama tulivozichoka sauti za kina mbdogg na Juma nature.
Kiukweli kinachombeba ni Jina tu, kwasasa awaachie kina Mario, harmonize, jay melody, sauti zao hatujazichoka. Yaani nikisikia sauti ya diamond na Ile staile yake very old fashioned, aache muziki awe mwandishi.
Jamaa kiufupi ameisha
Kuuza anauza tena kuliko wasanii wote tanznia, ila kwenye kuuza inategemea na wateja ulio nao, kwa diamond ameshajitengenezea loyal fanbase kubwaa kuliko msanii yeyote Tanznia na east africa. Ila mwisha wa siku tunarudi pale pale uwezo wake umepungua sana nyimbk anazoimba nowdays ni za kawaida.Una uhakika hauzi kuliko hao ambao Sauti hazijachokwa ?
Nadhani utaona jibu hapo juu lina-contradict hitimisho lako.....
Kwahio hao hawajamchoka ?Kuuza anauza tena kuliko wasanii wote tanznia, ila kwenye kuuza inategemea na wateja ulio nao, kwa diamond ameshajitengenezea loyal fanbase kubwaa kuliko msanii yeyote Tanznia na east africa. Ila mwisha wa siku tunarudi pale pale uwezo wake umepungua sana nyimbk anazoimba nowdays ni za kawaida.