Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅Basi Bora iwe hivyoDiamond Platnumz akifa mziki wa Tanzania unakufa.
-Harmonize atakosa mtu wa kumpa kiki za kuvumisha ngoma zake
-Alikiba atakosa mtu wa kushindana naye
-Rayvanny atakosa mtu wa ku mboost kwenye mziki
-Marioo atakosa mtu wa kujishindanisha kwake
-Tanzania itakosa mtu wa kuiwakilisha kimataifa na kushindana na wanaija
- Contents Creators wengi watakosa content ambazo hufanya kwa kumuiga Diamond (Eric Omondi na wengine)
Media zote zitakosa za online zitakosa Umbea wa kupost (Mange Tv,Sns,Rick media, Millard Ayo na kadhalika)
Kiufupi Nchi itakuwa imepoteza moja ya Kiungo Kikubwa kwenye maendeleo ya Nchi.
Unachekesha sii angewaua basi na asingewapa vipajiMungu hapendelei mziki wa kidunia
Jeje kutuku jejeje, nyege nyegezi...ni upuuzi ambao hata vichaa hushangaa kuwa aliyeimba na wasikilizaji wa hizo nyimbo wana utimamu?Anachoimbaga nini hasa
Kweli kabisa ....tz Ina wasanii zaidi ya 50Keki ya mziki ni kubwa Kila msanii anakipande chake akifa watakujua wengine watakuwa wa kalii sana
Kabisa mkuu...bongo movie inahitaji support kubwaNi kama alivyoondoka Kanumba na maigizo yake.
Pamoja na kupata sapoti kubwa kutoka Azam Media lakini bado sekta ya Uigizaji Bongo imekosa mtu wa kuziba pengo lake.
Ushauri wangu;
Vyema Diamond Platinumz aanze kumuandaa Diamond mwingine kwaajili ya kuendeleza Mziki wa Bongo
Mungu anahusika vipi hapo na music wa wavaa vichupi na matusi..?Mungu ataupandisha nakuleta wasanii wapya mpaka dunia iishe alimleta hata na yeye
Lakini ndo anaongoza nyimbo zake kuwa streamed hapa east AfricaJeje kutuku jejeje, nyege nyegezi...ni upuuzi ambao hata vichaa hushangaa kuwa aliyeimba na wasikilizaji wa hizo nyimbo wana utimamu?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Movie Bora ya mwaka Africa mashariki tuzo zilitolewa Lagos NigeriaYaaah ....tuzo Gani kimataifa imepata
Ni tuzo ipi mondi kachukua alikiba Hana 🤣😂😁Kweli kabisa ....tz Ina wasanii zaidi ya 50
Unadhani Kwann Kila nomination za kimataifa Huwa ni mondi tu Kanda ya east Africa hutokea??