Diamond siku akifariki, muziki wa Tanzania utakufa

Diamond siku akifariki, muziki wa Tanzania utakufa

Diamond Platnumz akifa mziki wa Tanzania unakufa.
-Harmonize atakosa mtu wa kumpa kiki za kuvumisha ngoma zake
-Alikiba atakosa mtu wa kushindana naye
-Rayvanny atakosa mtu wa ku mboost kwenye mziki
-Marioo atakosa mtu wa kujishindanisha kwake
-Tanzania itakosa mtu wa kuiwakilisha kimataifa na kushindana na wanaija
- Contents Creators wengi watakosa content ambazo hufanya kwa kumuiga Diamond (Eric Omondi na wengine)
Media zote zitakosa za online zitakosa Umbea wa kupost (Mange Tv,Sns,Rick media, Millard Ayo na kadhalika)
Kiufupi Nchi itakuwa imepoteza moja ya Kiungo Kikubwa kwenye maendeleo ya Nchi.
😅Basi Bora iwe hivyo
 
Ni kama alivyoondoka Kanumba na maigizo yake.

Pamoja na kupata sapoti kubwa kutoka Azam Media lakini bado sekta ya Uigizaji Bongo imekosa mtu wa kuziba pengo lake.

Ushauri wangu;
Vyema Diamond Platinumz aanze kumuandaa Diamond mwingine kwaajili ya kuendeleza Mziki wa Bongo
 
Ni kama alivyoondoka Kanumba na maigizo yake.

Pamoja na kupata sapoti kubwa kutoka Azam Media lakini bado sekta ya Uigizaji Bongo imekosa mtu wa kuziba pengo lake.

Ushauri wangu;
Vyema Diamond Platinumz aanze kumuandaa Diamond mwingine kwaajili ya kuendeleza Mziki wa Bongo
Kabisa mkuu...bongo movie inahitaji support kubwa
 
Back
Top Bottom