Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Nakuomba kwenye hii list mtoe Millard Ayo. TafadhaliMedia zote zitakosa za online zitakosa Umbea wa kupost (Mange Tv,Sns,Rick media, Millard Ayo na kadhalika)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuomba kwenye hii list mtoe Millard Ayo. TafadhaliMedia zote zitakosa za online zitakosa Umbea wa kupost (Mange Tv,Sns,Rick media, Millard Ayo na kadhalika)
Alikufa tupac,mbaraka mwinshehe,michael jackson,tafakariDiamond Platnumz akifa mziki wa Tanzania unakufa.
-Harmonize atakosa mtu wa kumpa kiki za kuvumisha ngoma zake
-Alikiba atakosa mtu wa kushindana naye
-Rayvanny atakosa mtu wa ku mboost kwenye mziki
-Marioo atakosa mtu wa kujishindanisha kwake
-Tanzania itakosa mtu wa kuiwakilisha kimataifa na kushindana na wanaija
- Contents Creators wengi watakosa content ambazo hufanya kwa kumuiga Diamond (Eric Omondi na wengine)
Media zote zitakosa za online zitakosa Umbea wa kupost (Mange Tv,Sns,Rick media, Millard Ayo na kadhalika)
Kiufupi Nchi itakuwa imepoteza moja ya Kiungo Kikubwa kwenye maendeleo ya Nchi.
Duuuuh kumbe ya kitambo tuKabisa Mkuu
Wenzetu Wazungu wamepiga hatua sana, angalia Kampuni ya Chakula ya McDonald's pamoja na kuanzishwa miaka mingi iliyopita lakini ipo hadi leo hii na ndiyo kwanza inazidi kufungua branches kila siku hadi kwetu huku Bongo
😂🤣😁😁😁😁Hatuijui ssbabu siyo nzuri
Sio kweli kakaBado haijavunjs rekodi ya steven
Ile tuzo Kuna msanii alipew .....but after mwezi mmoja ikachukuliwa ndo akapewa kiba...Kwamba alikiba Hana mtv [emoji1787][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16] unazingua ujue ujue kiba alibeba tuzo mbele ya wizkid au umesahau
Nasemaje acha dharau,hakuna ngoma Konde katoa haija hit usijizime dataTwende Kwa fact
Baada ya kutoka wasafi konde ni collabo Gani ya kimataifa kafanya na ika hit
Hivi unajua Millard ayo zaman hkuwah ku post info zozote za mond ....lkn Baada ya kuanza kumuandika mond ...ndipo aliposhuhudia mafuriko ya views na subscribers Kwa account akeNakuomba kwenye hii list mtoe Millard Ayo. Tafadhali
Ndiyo, nimesoma Mtandaoni taarifa inaonesha Kampuni hii ilianzishwa mwaka 1940.Duuuuh kumbe ya kitambo tu
Naunga mkono hojaAlikufa tupac,mbaraka mwinshehe,michael jackson,tafakari
Duuuh kweli ni hatariNdiyo, nimesoma Mtandaoni taarifa inaonesha Kampuni hii ilianzishwa mwaka 1940.
Hii ina maana kufikia mwaka huu 2024 Kampuni imefikisha miaka 84 toka kuanzishwa kwake.
Wabongo tukiacha Umimi tunaweza kufika mbali
Angalia Kampuni ya Mzee Mengi ya IPP, asingekuwa ameweka succession plan pengine kufikia mwaka huu ingekuwa imeshajifia baada ya kifo cha Mzee mwaka 2019
Sio kweli 😂🤣🤣😁😁nenda kagoogle utapata majibuIle tuzo Kuna msanii alipew .....but after mwezi mmoja ikachukuliwa ndo akapewa kiba...
We bwana endelea kula parachichi...Achana na kibongo bongo ....twende kimataifa ( nje ya tz)