Diamond siku akifariki, muziki wa Tanzania utakufa

Diamond siku akifariki, muziki wa Tanzania utakufa

Diamond Platnumz akifa mziki wa Tanzania unakufa.

-Harmonize atakosa mtu wa kumpa kiki za kuvumisha ngoma zake
-Alikiba atakosa mtu wa kushindana naye
-Rayvanny atakosa mtu wa ku mboost kwenye mziki
-Marioo atakosa mtu wa kujishindanisha kwake
-Tanzania itakosa mtu wa kuiwakilisha kimataifa na kushindana na wanaija
- Contents Creators wengi watakosa content ambazo hufanya kwa kumuiga Diamond (Eric Omondi na wengine)
Media zote zitakosa za online zitakosa Umbea wa kupost (Mange Tv,Sns,Rick media, Millard Ayo na kadhalika)
Kiufupi Nchi itakuwa imepoteza moja ya Kiungo Kikubwa kwenye maendeleo ya Nchi.
Wewe utakuwa una miaka 18 sasa!
Diamond aliukuta mziki wala hakuanzisha! Diamond alishikwa mkono na watu kwenye huu muziki na amefika hapo kwakuwa kuna watu walikuwa wanajua zaidi yake!
Hata akifa leo kila kitu kitaendelea! Alikuwepo Kanumba mkali wa Movie na sasa kuna wwngine wakali wa series!
 
Wewe utakuwa una miaka 18 sasa!
Diamond aliukuta mziki wala hakuanzisha! Diamond alishikwa mkono na watu kwenye huu muziki na amefika hapo kwakuwa kuna watu walikuwa wanajua zaidi yake!
Hata akifa leo kila kitu kitaendelea! Alikuwepo Kanumba mkali wa Movie na sasa kuna wwngine wakali wa series!
Unaonekana kichwani ni zero kabisa .......Je mzazi wako alivyokusomesha .....Ina maana huwezi kumzidi Mali [emoji23][emoji23]

Hao watu ni kweli walimshika mkono ...but jamaa kapaa zaidi

Ni sawa na Albert Einstein alifundishwa darasani na mwalimu.....but hio haikumzuia Einstein kuwa kipanga zaidi ya huyo mwalimu
 
Back
Top Bottom