Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Kabisa MkuuKabisa mkuu...bongo movie inahitaji support kubwa
Japo ni lesson kwetu hasa kwa wanaomiliki biashara na Kampuni kuwa na succession Plan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa MkuuKabisa mkuu...bongo movie inahitaji support kubwa
Weweeee achana kabisa na Mmakonde moto wake sio poa....But kimataifa itakuwa hatutakua na ushindani
Haya mashairi ya "" I go die fo u hayawezi kushindana na kina davido[emoji23]
Wewe utakuwa una miaka 18 sasa!Diamond Platnumz akifa mziki wa Tanzania unakufa.
-Harmonize atakosa mtu wa kumpa kiki za kuvumisha ngoma zake
-Alikiba atakosa mtu wa kushindana naye
-Rayvanny atakosa mtu wa ku mboost kwenye mziki
-Marioo atakosa mtu wa kujishindanisha kwake
-Tanzania itakosa mtu wa kuiwakilisha kimataifa na kushindana na wanaija
- Contents Creators wengi watakosa content ambazo hufanya kwa kumuiga Diamond (Eric Omondi na wengine)
Media zote zitakosa za online zitakosa Umbea wa kupost (Mange Tv,Sns,Rick media, Millard Ayo na kadhalika)
Kiufupi Nchi itakuwa imepoteza moja ya Kiungo Kikubwa kwenye maendeleo ya Nchi.
Unaonekana kichwani ni zero kabisa .......Je mzazi wako alivyokusomesha .....Ina maana huwezi kumzidi Mali [emoji23][emoji23]Wewe utakuwa una miaka 18 sasa!
Diamond aliukuta mziki wala hakuanzisha! Diamond alishikwa mkono na watu kwenye huu muziki na amefika hapo kwakuwa kuna watu walikuwa wanajua zaidi yake!
Hata akifa leo kila kitu kitaendelea! Alikuwepo Kanumba mkali wa Movie na sasa kuna wwngine wakali wa series!
Sasa Kijijini mtajua Nini kinachoendela town, endeleeni kula chipsi na parachichi za tukuyu😁😁😁Hata huku mbeya hatumjui [emoji23]
Kabisa MkuuSema ndo ivyo waafrica tunapenda umimi sana
Acha dharau Kijana....Konde huko kimataifa hajulikani kabisa
Na kwel mm toka aondoke kanumba sijawahi angalia hizo movies😳kumbe? Na kwa Kanumba walisema ivoivo
Hatuijui ssbabu siyo nzuriUnaijua safari ya gwaru??
Kwamba alikiba Hana mtv 🤣😂😂😁😁😁 unazingua ujue ujue kiba alibeba tuzo mbele ya wizkid au umesahauMTV...
Mi hata za kanumba sijawahiNa kwel mm toka aondoke kanumba sijawahi angalia hizo movies
Nakazia huyo haujui mzikiMziki ufe? Unaujua muziki kweli? Kama sio utoto basi lazima utakuwa bonge la sakara!