Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Shukrani Mkuu kwa utayari wako...All the best mkuu
Ukiwa serious kuna contact nayoweza kukupa ambayo ipo kwenye hiyo industry mkuu
Kwasasa nataka nistudy japo kujua abc za hiyo biashara ili hata kama nitaingia Benki kuongeza nguvu niwe na uhakika kama hela ya watu itarudi
Ubarikiwe sana 🙏