Diamond siku akifariki, muziki wa Tanzania utakufa

Diamond siku akifariki, muziki wa Tanzania utakufa

Binadamu Hauna Cha kuipa Dunia na Dunia Haina haja nawewe. Utaondoka watakuja wakazi wengine na wao wataenda, Dunia itabaki
Sahihi ila Kuna magep Huwa ni ngumu kuya jaza ....
 
Binadamu Hauna Cha kuipa Dunia na Dunia Haina haja nawewe. Utaondoka watakuja wakazi wengine na wao wataenda, Dunia itabaki
Bora wewe umempa makavu sasa huyu shudu anaropoka mashudu tu kabla ya Diamond kulikua na Marijani Rajabu Jabari la Muziki vipi una cha kuongeza?
 
Media za Nigeria zinatumia nguvu nyingi kumzima mondi
Wala hazimuzimi kwani ukiondoa tz ni wapi pengine mond anaweza kufanya show akajaza nyomi?? Make wakienda kama marekani unakuta waliopo ni watz watupu,,,sasa kaangalie wasanii wa nigeria wakienda huko nje,,,,,,yaani unataka kusema wiz kid anazidiwa na mond???
 
Muziki tayari wana online platforms na zinawalipa. Film ni hizo streaming service kama Netflix lakini huko ubora ujazingatiwa kwa hiyo kidogo inakuwa ngumu

Inavyoonekana investment inayohitajika kwenye distribution ni kubwa ndio maana movie kama Vuta nkuvute imeishia cinemas tu mkuu
Kumbe kuna fursa kwenye distribution industries

Ngoja nilifanyie study nione kama naweza kuwa dealer kwenye hiyo sekta

Hopefully tunaweza kupata vimia 2 mbili
 
Wala hazimuzimi kwani ukiondoa tz ni wapi pengine mond anaweza kufanya show akajaza nyomi?? Make wakienda kama marekani unakuta waliopo ni watz watupu,,,sasa kaangalie wasanii wa nigeria wakienda huko nje,,,,,,yaani unataka kusema wiz kid anazidiwa na mond???
Wako ligi moja
 
Diamond Platnumz akifa mziki wa Tanzania unakufa.

-Harmonize atakosa mtu wa kumpa kiki za kuvumisha ngoma zake
-Alikiba atakosa mtu wa kushindana naye
-Rayvanny atakosa mtu wa ku mboost kwenye mziki
-Marioo atakosa mtu wa kujishindanisha kwake
-Tanzania itakosa mtu wa kuiwakilisha kimataifa na kushindana na wanaija
- Contents Creators wengi watakosa content ambazo hufanya kwa kumuiga Diamond (Eric Omondi na wengine)

Media zote zitakosa za online zitakosa Umbea wa kupost (Mange Tv,Sns,Rick media, Millard Ayo na kadhalika)
Kiufupi Nchi itakuwa imepoteza moja ya Kiungo Kikubwa kwenye maendeleo ya Nchi.

Erick Omond was Before Diamond Son..
Tangu akiwa Churchill He was the best
 
Diamond Platnumz akifa mziki wa Tanzania unakufa.

-Harmonize atakosa mtu wa kumpa kiki za kuvumisha ngoma zake
-Alikiba atakosa mtu wa kushindana naye
-Rayvanny atakosa mtu wa ku mboost kwenye mziki
-Marioo atakosa mtu wa kujishindanisha kwake
-Tanzania itakosa mtu wa kuiwakilisha kimataifa na kushindana na wanaija
- Contents Creators wengi watakosa content ambazo hufanya kwa kumuiga Diamond (Eric Omondi na wengine)

Media zote zitakosa za online zitakosa Umbea wa kupost (Mange Tv,Sns,Rick media, Millard Ayo na kadhalika)
Kiufupi Nchi itakuwa imepoteza moja ya Kiungo Kikubwa kwenye maendeleo ya Nchi.

Sorry Una miaka Mingapi?
 
Jibu hoja
Hoja hiyo Inajibiwa kutokana na Umri wa Mtoa Mada miaka kadhaa Nyuma Juma nature alikuwa msanii Mkubwa sana Pamoja na Kina AY..
Walifanya show South afrika na nchi nyingi za Nje but unfortunately Hawako tena kwenye Ramani...

Kuna miaka Chidbenz alifanya Kollabu zaidi ya 30 na alikuwa na pesa Mbaya sana lakini kwa sasa ni mtu anayeomba..

Nimeuliza miaka ili nijue una experience gani kwenye Mziki Je Mziki umeanza kuujua Juzi miaka ya 2015s au kutoka miaka ya 90s Kipindi Bongofleva inaanza..
 
"We Zombi, Haujui"

Jamaa ana maana kubwa sana kuusema huo msemo Ila mazombi hamjawahi kumuelewa sio Zombi S2kiz anawazungumzia mazombi km nyinyi msiojua
Simba la masimba dangote [emoji23]
 
Back
Top Bottom