Diamond siku akifariki, muziki wa Tanzania utakufa

Diamond siku akifariki, muziki wa Tanzania utakufa

Wewe inaonekana ni kizazi cha 2000-2005 na kama ni chini ya hapo bhasi hata muziki huujui

Hujaona kipindi TID, Mr. Nice, MB Dog, Marlaw, CP, AY, Lady Jay Dee, Ray C, wakiwa kwenye peak

Muziki wa bongo umeanza kufanya Domination East Africa na Eastern Congo kitambo sana. I rest my case

Huna unalolijua kwenye mziki zaidi ya ushabiki wa WCB
Bila shaka wewe akili zako zimeyumba .....hao wasanii uliowataja ...Wana mchango Gani mkubwa Kwa muziki wa TZ

Mchango wa La masimba

Katoa wasanii wakubwa tz ...rayvanny ... harmonize....zuchu....Dvoice

Kaleta tuzo mbali mbali za kimataifa hivyo kuitangaza nchi

Kaleta ajira kupitia media zake
 
Muziki wa TZ haiwezi kufa kwa sababu ya kifo cha Diamond imeandikwa amelaaniwa mtu amtumainie binadamu mwenzake!!
Lakini hiyo isikufanye uwe muoga ku appreciate
 
Kina mwishee wamepumzika lakini mziki unaendelea tu, na wao ndio manguli wa zamani , na mziki wao unaburudisha mpaka leo, mziki utaendelea tu hata huyo mtoto wa tandale akiondoka.
 
Kina mwishee wamepumzika lakini mziki unaendelea tu, na wao ndio manguli wa zamani , na mziki wao unaburudisha mpaka leo, mziki utaendelea tu hata huyo mtoto wa tandale akiondoka.
Soko lake vipi ...la huo mziki wao
 
Kufa kwa bongo movies ni kutokana na kukosekana kwa msambazaji haswa baada ya steps kuyumba ila sio kwa sababu ya Steven kanumba

Na hata ukifuatilia, game first quality bado aliendelea kuuzaa na JB bado aliendelea kutoa movies zilizohit kama chausiku na kuna ile kigodoro ya zamaradi. So, soko halikufa ila msambazaji nae alianguka around the same time

By the way, kwa sasa kuna watu kama Napoleon na seko shamte ambao wanatengeneza movies za kwenda kwenye global audience na zinafanya vizuri. Issue ni msambazaji na bahati nzuri serikali yenu unaijua, ingekuwa nchi zingine, serikali ingeshaingia chap maana hapo ni ajira za watu zinazungumziwa
Mbona ni kama niliona msambazaji wa steps entertainment naye ameanza kuigiza nowadays au ndiyo kusema kazi ya distributions imekuwa ngumu ....

Muhimu hiyo sekta ya Muziki nao wajifanyie tathmini ili nayo isije ikaanguka kama sekta ya filamu
 
Mbona ni kama niliona msambazaji wa steps entertainment naye ameanza kuigiza nowadays au ndiyo kusema kazi ya distributions imekuwa ngumu ....

Muhimu hiyo sekta ya Muziki nao wajifanyie tathmini ili nayo isije ikaanguka kama sekta ya filamu
Labda ameona waigizaji hawa fit ( wanazingua)
 
Mziki ukidondoka wee utaathirika nn
Au una faida nao wewe

Ova
 
Mbona ni kama niliona msambazaji wa steps entertainment naye ameanza kuigiza nowadays au ndiyo kusema kazi ya distributions imekuwa ngumu ....

Muhimu hiyo sekta ya Muziki nao wajifanyie tathmini ili nayo isije ikaanguka kama sekta ya filamu
Muziki tayari wana online platforms na zinawalipa. Film ni hizo streaming service kama Netflix lakini huko ubora ujazingatiwa kwa hiyo kidogo inakuwa ngumu

Inavyoonekana investment inayohitajika kwenye distribution ni kubwa ndio maana movie kama Vuta nkuvute imeishia cinemas tu mkuu
 
Alikiba anaimba mashairi mazuri

Mondi haimbi mashairi mazuri

Je nani Yuko mbali kimafanikio[emoji23][emoji23]

.....msanii anaimba kulingana na hadhira inahitaji Nini
Dunia ya sasa ukiimba ujinga ujinga ushog ushog lazima upewe support

Ova
 
Bila shaka wewe akili zako zimeyumba .....hao wasanii uliowataja ...Wana mchango Gani mkubwa Kwa muziki wa TZ

Mchango wa La masimba

Katoa wasanii wakubwa tz ...rayvanny ... harmonize....zuchu....Dvoice

Kaleta tuzo mbali mbali za kimataifa hivyo kuitangaza nchi

Kaleta ajira kupitia media zake
Ndio maana nimekuambia wewe muziki hujui

Wenzio tumeanza kufuatilia tuzo za Kora na msanii kama Lady jay dee alishapata toka first album

Diamond ni commercial artist hivyo ana impact kibiashara ila kwenye genre ya bongo flava hajaweka impact yoyote zaidi ya kuwa copy cat

Nikikuambia uniletee Diamond platinumz sound unaweza nionesha, vipi kuhusu mb dog, chillah, Juma Nature au TID

Respect the OGs kijana
 
Back
Top Bottom