Diamond siku akifariki, muziki wa Tanzania utakufa

Diamond siku akifariki, muziki wa Tanzania utakufa

Mungu anahusika vipi hapo na music wa wavaa vichupi na matusi..?
Hivi kipaji chochote nani anampa mwanadamu nani kakuambia Mungu anaangalia mavazi sawa tuseme anaangalia mavazi ila ni Mungu ndio anatoa vipaji vya kila kitu mawazo mengi ni roho mtakatifu anakupa yale mazuri . Yale mabaya ni shetani anakupa , halafu unapewa kipaji chako ambacho ni talanta yako halafu unakuwa na heshima mwanzoni unaanza kuvaa kiajabu,unaanza kuvuta madawa mwisho unajiua kwa maana unashauriwa na shetani umfuate.

Utajulikana dunia yote , utapewa kila kitu utakuwa maarufu ila kuna masharti, unayapitia ambayo sio lazima . Ungeomba Mungu tu angesaidia ukatae tamaa
 
Diamond Platnumz akifa mziki wa Tanzania unakufa.

-Harmonize atakosa mtu wa kumpa kiki za kuvumisha ngoma zake
-Alikiba atakosa mtu wa kushindana naye
-Rayvanny atakosa mtu wa ku mboost kwenye mziki
-Marioo atakosa mtu wa kujishindanisha kwake
-Tanzania itakosa mtu wa kuiwakilisha kimataifa na kushindana na wanaija
- Contents Creators wengi watakosa content ambazo hufanya kwa kumuiga Diamond (Eric Omondi na wengine)

Media zote zitakosa za online zitakosa Umbea wa kupost (Mange Tv,Sns,Rick media, Millard Ayo na kadhalika)
Kiufupi Nchi itakuwa imepoteza moja ya Kiungo Kikubwa kwenye maendeleo ya Nchi.

Nature abhors a vacuum.
 
Nature abhors a vacuum.
empty spaces or voids tend to be filled by matter spontaneously.

Inaonekana ulikuwa vizuri kwenye physics
Ni kweli ...pengo la mtu huzibika ..... although inaweza chukua muda .....au. Mziba pengo asikie uwezo wa mzibiwa pengo
 
sema diamond angekua mjanja angekufa miaka minne ilioyopita alikua wamoto sana kipindi hicho msiba wake ungekua mkubwa kuliko wa kanumba ungetikisa afrika nzima kama msiba wa mwalimu pia pengo lake lisingezibika
ila kwa sasa jamaa hana jambo barani afrika nyumbani pia anakimbizana na madogo na wanamkalisha kiufupi kaua brand ila atabaki kua icon wa mzik wa bongo
 
sema diamond angekua mjanja angekufa miaka minne ilioyopita alikua wamoto sana kipindi hicho msiba wake ungekua mkubwa kuliko wa kanumba ungetikisa afrika nzima kama msiba wa mwalimu pia pengo lake lisingezibika
ila kwa sasa jamaa hana jambo barani afrika nyumbani pia anakimbizana na madogo na wanamkalisha kiufupi kaua brand ila atabaki kua icon wa mzik wa bongo
Hamna anayependa kukimbia Duniani hapa mkuu[emoji23]
 
Yaan huyu gagula ni mweupee kila Angle, nkajua kwenye mpira tyuuh kumbe hadi kwa music, tobaaaah wee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani bunaboy aache kufanya show mwenye majukwaa makubwa London huko aanze kuumizwa na show za sumbawanga broo unawajua wanigeria au umetoka usingizini
Media za Nigeria zinatumia nguvu nyingi kumzima mondi
 
Yaan huyu gagula ni mweupee kila Angle, nkajua kwenye mpira tyuuh kumbe hadi kwa music, tobaaaah wee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Music umeanza kuujua?
 
Back
Top Bottom