Nilikuwa bado sijawahi kuiona Yanga ikicheza si unajua kipindi hiko nipo darasa la kwanza Tv kwa jirani kila siku nakuta mechi za Madunduka nikasema timu Yangu yenye rango nyekundu kwa vile walikuwa kama Maharage na watoto wanaenda wali harage.Kwnn ulihama mkuu.....Ili Makolo wajue
Umenena vyema Mkuu.Hakuwa anachangia chochote Simba. Hajawahi kutumia Ushawishi wake mashabiki wajae uwanjani. Hakuwahi kuchangia chochote.
Tunamtakia kila la kheri.
Anasepa na kijij
Anammotivate Nani?. Kwa uzinzi wake na kuzalisha wanawake hovyo.Motivation...... inspiration
Dah... Hii haijakaa poa..Diamond Platnumz ametangaza rasmi kujiunga katika klabu ya Yanga SC akitokea katika klabu ya Simba SC kama Shabiki na Mwanachama.
"Walimfanyia Fitina Manara, kwanza Manara ni ndugu yangu ukimfanyia Fitina Manara umenifitini na mimi"- Diamond Platnumz, Msanii wa muziki na Mkurugenzi Mtendaji wa Wasafi Media, WCB Wasafi.
#YangaParade #yangasc #daimambelenyumamwiko #timuyawananchi
NBC: Harmonize ( jeshi) Diamond Platinumz, (world superstar) alikiba (legend) vannboy (chui) marioo.
Wote ni wananchi
Wanasimba Sasa [emoji23][emoji23]
Kingwendu
Kitale
Mkojani
Tundamani
cocastic
View attachment 2656295
Basi inawezekana Kalpana yupo kwenye hii situationNilikuwa bado sijawahi kuiona Yanga ikicheza si unajua kipindi hiko nipo darasa la kwanza Tv kwa jirani kila siku nakuta mechi za Madunduka nikasema timu Yangu yenye rango nyekundu kwa vile walikuwa kama Maharage na watoto wanaenda wali harage.
Nilipoiona Young Africans kwa mara ya kwanza nikauliza hii timu gani ipo bongo kweli au Ulaya wakasema ya hapa hapa bongo , basi hapo hapo nikawahama Makolo mpaka leo.