Diamond: Simba byebye walimhujumu ndugu yangu Manara

Diamond: Simba byebye walimhujumu ndugu yangu Manara

Kwnn ulihama mkuu.....Ili Makolo wajue
Nilikuwa bado sijawahi kuiona Yanga ikicheza si unajua kipindi hiko nipo darasa la kwanza Tv kwa jirani kila siku nakuta mechi za Madunduka nikasema timu Yangu yenye rango nyekundu kwa vile walikuwa kama Maharage na watoto wanaenda wali harage.

Nilipoiona Young Africans kwa mara ya kwanza nikauliza hii timu gani ipo bongo kweli au Ulaya wakasema ya hapa hapa bongo , basi hapo hapo nikawahama Makolo mpaka leo.
 
Diamond Platnumz ametangaza rasmi kujiunga katika klabu ya Yanga SC akitokea katika klabu ya Simba SC kama Shabiki na Mwanachama.

"Walimfanyia Fitina Manara, kwanza Manara ni ndugu yangu ukimfanyia Fitina Manara umenifitini na mimi"- Diamond Platnumz, Msanii wa muziki na Mkurugenzi Mtendaji wa Wasafi Media, WCB Wasafi.

#YangaParade #yangasc #daimambelenyumamwiko #timuyawananchi

NBC: Harmonize ( jeshi) Diamond Platinumz, (world superstar) alikiba (legend) vannboy (chui) marioo.

Wote ni wananchi

Wanasimba Sasa [emoji23][emoji23]
Kingwendu
Kitale
Mkojani
Tundamani
cocastic

View attachment 2656295
Dah... Hii haijakaa poa..
I'm Young Africkeeiinzz..
I'm Diamond's fan..

Ila hii sio poa..
 
Mzee wa kiki anataka watu wamuongelee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]jamaa anajikuta Sakho,chama,kapombe kwamba akiondoka watu wataumia,kwenda huko
 
Ila Manara aliwaharibia simba kuwasogeza kwa Diamond na sasa Yanga imeshapotea mondi huwa ana nuksi akiwa karibu na kitu.
 
Diamond hana Ushawishi Simba. Club alizikuta alivyozaliwa na zilikua na mashabiki wengi tu
 
Nilikuwa bado sijawahi kuiona Yanga ikicheza si unajua kipindi hiko nipo darasa la kwanza Tv kwa jirani kila siku nakuta mechi za Madunduka nikasema timu Yangu yenye rango nyekundu kwa vile walikuwa kama Maharage na watoto wanaenda wali harage.

Nilipoiona Young Africans kwa mara ya kwanza nikauliza hii timu gani ipo bongo kweli au Ulaya wakasema ya hapa hapa bongo , basi hapo hapo nikawahama Makolo mpaka leo.
Basi inawezekana Kalpana yupo kwenye hii situation
 
Mzee wa kiki anataka watu wamuongelee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]jamaa anajikuta Sakho,chama,kapombe kwamba akiondoka watu wataumia,kwenda huko
[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom