Diamond: Simba byebye walimhujumu ndugu yangu Manara

Diamond: Simba byebye walimhujumu ndugu yangu Manara

Sina hakika na hilo . Ila ninachojua mimi mwakani Malalamiko kwa tff na Karia lazima yawe mengi baada ya kupumzika kwa miaka hii miwili
Ungejua kuwa kadri muda unaenda .....ndivyo GSM anakuwa Unstoppable [emoji23]
 
Diamond Platnumz ametangaza rasmi kujiunga katika klabu ya Yanga SC akitokea katika klabu ya Simba SC kama Shabiki na Mwanachama.

"Walimfanyia Fitina Manara, kwanza Manara ni ndugu yangu ukimfanyia Fitina Manara umenifitini na mimi"- Diamond Platnumz, Msanii wa muziki na Mkurugenzi Mtendaji wa Wasafi Media, WCB Wasafi.

#YangaParade #yangasc #daimambelenyumamwiko #timuyawananchi

NBC: Harmonize ( jeshi) Diamond Platinumz, (world superstar) alikiba (legend) vannboy (chui) marioo.

Wote ni wananchi

Wanasimba Sasa [emoji23][emoji23]
Kingwendu
Kitale
Mkojani
Tundamani
cocastic
View attachment 2656295

Huyu ni msaka ugali tu.... sio shabiki wa simba!!! Manara mwenyewe yupo yanga kimwili, kiakili na kiroho ni simba
 
Diamond Platnumz ametangaza rasmi kujiunga katika klabu ya Yanga SC akitokea katika klabu ya Simba SC kama Shabiki na Mwanachama.

"Walimfanyia Fitina Manara, kwanza Manara ni ndugu yangu ukimfanyia Fitina Manara umenifitini na mimi"- Diamond Platnumz, Msanii wa muziki na Mkurugenzi Mtendaji wa Wasafi Media, WCB Wasafi.

#YangaParade #yangasc #daimambelenyumamwiko #timuyawananchi

NBC: Harmonize ( jeshi) Diamond Platinumz, (world superstar) alikiba (legend) vannboy (chui) marioo.

Wote ni wananchi

Wanasimba Sasa [emoji23][emoji23]
Kingwendu
Kitale
Mkojani
Tundamani
cocastic

View attachment 2656295
354131882_126508643793179_3334217766888971459_n.jpg

imagine PAPA alituma mwakilishi kupokea parade la WANANCHI we KOLO ni nani mpk ubishe 🤣
 
Diamond Platnumz ametangaza rasmi kujiunga katika klabu ya Yanga SC akitokea katika klabu ya Simba SC kama Shabiki na Mwanachama.

"Walimfanyia Fitina Manara, kwanza Manara ni ndugu yangu ukimfanyia Fitina Manara umenifitini na mimi"- Diamond Platnumz, Msanii wa muziki na Mkurugenzi Mtendaji wa Wasafi Media, WCB Wasafi.

#YangaParade #yangasc #daimambelenyumamwiko #timuyawananchi

NBC: Harmonize ( jeshi) Diamond Platinumz, (world superstar) alikiba (legend) vannboy (chui) marioo.

Wote ni wananchi

Wanasimba Sasa [emoji23][emoji23]
Kingwendu
Kitale
Mkojani
Tundamani
cocastic
View attachment 2656295
Hakuna mshabiki anahama tusidanganyane, kama yeye ni Yanga basi hajawahi kuwa shabiki wa Simba labda alikuja kudanga tu kama Manara alivyokwenda kudanga Yanga. Halafu mtu unahama kwa kushawishiwa na mdangaji huo ni wetu.
 
Hakuna mshabiki anahama tusidanganyane, kama yeye ni Yanga basi hajawahi kuwa shabiki wa Simba labda alikuja kudanga tu kama Manara alivyokwenda kudanga Yanga. Halafu mtu unahama kwa kushawishiwa na mdangaji huo ni wetu.
Kuna wengine mpira wanaujua ukubwani
 
Yanga ni kituo cha kupumzika, ukiwa na stress zako huko ulipo ukija Yanga unapewa tabasamu. Kwa hiyo wanamsimbazi mnakaribishwa kurest in peace huku.
 
Back
Top Bottom