Diamond sio Msanii wa Kimataifa kama anavyoaminisha watu

Diamond sio Msanii wa Kimataifa kama anavyoaminisha watu

Kuitwa wa kimataifa maana yake ni kutoka nje ya mipaka yako
Diamond,Alikiba,Harmonize wamekuwa wakipata show sehem tofaut tofaut kwenye bara hili la Africa hicho pekee ni kigezo cha kuitwa wa kimataifa
Diamond,Harmonize, Alikiba na wengine wamekuwa wakishindana kwenye tuzo South,Nigeria hilo pia ni kimataifa

Conclusion ; Acha upunguani unajisharirisha kuonesha chuki na msanii kutoka ndani ya nchi yako(we una nn zaid ya kubeba mabox huko? Kwa roho yako hii utarud nchini baada ya miaka ukiwa huna hata laki moja takataka wewe)

Wasanii wanapokuambia nataka mziki wetu ufike kimataifa, huwa hawamaanisha kufika kenye na uganda. naona wewe huelewi chochote, nenda ukawaulize.

Second: achane kujifariji kuwa marekani kuna maisha maguu. siri hiyo nimekupa kaa nayo akilini mwako.
 
Hizo 02 Arena wanajaza robo tatu wa naija wenzao . kama we ulivyoenda kwenye show ya daimond, sema mkawa wa Tanzania wachache . Mngekuwa wengi mbona mnajaza 02 Arena kabisa

hapana mkuu sio wanigeria tu, show zao ni watu wote, diamond ni watu wa east africa tu, ambao kwenye state moja hawawezi kufika 200.
 
Diamond wa Tandale bado kuwa msaani wa kimataifa au hajatoboa mipaka ya Dunia kama ilivyo kwa wasanii wa Nigeria.

Vigezo changu kikubwa hana Show kubwa za kimataifa kama Davido na Wizikid. Hana hit song ya iliyopenya kama vile ya Love mwantiti au On the low.

Show zake za marekani bado sana, wateja wake ni baadhi ya wacongomani, warundi, wakenya na wanyarwanda ndo wanaingia show zake. idadi kama watu 300 hivi, niliwahi kuwepo show yake moja ya louisville, kentucky. Tofauti na wazake wanajaza kumbi za 02 arena.

Diamond ni msanii wa africa pekee.
Unayajua makampuni matatu makubwa ya muziki hapa duniani?(big three Recording Labels)
Boss tuelewana, unafikiri diamond anaposema natafuta soko la kimataifa ana maanisha hilo soko la uganda na kenya?.

sikupigi uko sahihi ila wasanii wanapotumia neno wa kimataifa ndo ujue leo ni kwamba kujulikana kama vile nchi ya
 
Sio wa Kimataifa and he's 31st years old. Ila anaweza kupiga show sehemu nyingi Africa na nje ya Africa akapata audience yake and he's richer than you.
Hivi 1989 Hadi Leo Ni miaka 31 kweli?
 
Diamond wa Tandale bado kuwa msaani wa kimataifa au hajatoboa mipaka ya Dunia kama ilivyo kwa wasanii wa Nigeria.

Vigezo changu kikubwa hana Show kubwa za kimataifa kama Davido na Wizikid. Hana hit song ya iliyopenya kama vile ya Love mwantiti au On the low.

Show zake za marekani bado sana, wateja wake ni baadhi ya wacongomani, warundi, wakenya na wanyarwanda ndo wanaingia show zake. idadi kama watu 300 hivi, niliwahi kuwepo show yake moja ya louisville, kentucky. Tofauti na wazake wanajaza kumbi za 02 arena.

Diamond ni msanii wa africa pekee.
Kashawajibu leo Haters
 
Boss tuelewana, unafikiri diamond anaposema natafuta soko la kimataifa ana maanisha hilo soko la uganda na kenya?.

sikupigi uko sahihi ila wasanii wanapotumia neno wa kimataifa ndo ujue leo ni kwamba kujulikana kama vile nchi ya USA
Weka ushahidi kuthibitisha kama anaposema kimataifa hamaani nchi za Kiafrika bali anamaanisha USA na England.
 
Sijawahi kuperuzi JF siku mbili mfulilizo bila kukutana na nyuzi mpya kumuhusu Diamond Platnumz, iwe ni kwa uzuri au kwa ubaya.
Hii inadhihirisha ukubwa wake(kimuziki) pamoja na impact liyonayo katika music industry.
 
Diamond wa Tandale bado kuwa msaani wa kimataifa au hajatoboa mipaka ya Dunia kama ilivyo kwa wasanii wa Nigeria.

Vigezo changu kikubwa hana Show kubwa za kimataifa kama Davido na Wizikid. Hana hit song ya iliyopenya kama vile ya Love mwantiti au On the low.

Show zake za marekani bado sana, wateja wake ni baadhi ya wacongomani, warundi, wakenya na wanyarwanda ndo wanaingia show zake. idadi kama watu 300 hivi, niliwahi kuwepo show yake moja ya louisville, kentucky. Tofauti na wazake wanajaza kumbi za 02 arena.

Diamond ni msanii wa africa pekee.
Maana ya kimataifa nini?
 
Diamond wa Tandale bado kuwa msaani wa kimataifa au hajatoboa mipaka ya Dunia kama ilivyo kwa wasanii wa Nigeria.

Vigezo changu kikubwa hana Show kubwa za kimataifa kama Davido na Wizikid. Hana hit song ya iliyopenya kama vile ya Love mwantiti au On the low.

Show zake za marekani bado sana, wateja wake ni baadhi ya wacongomani, warundi, wakenya na wanyarwanda ndo wanaingia show zake. idadi kama watu 300 hivi, niliwahi kuwepo show yake moja ya louisville, kentucky. Tofauti na wazake wanajaza kumbi za 02 arena.

Diamond ni msanii wa africa pekee.
Si msanii wa Afrika bali Afrika Mashariki tu, shoo zake za kijinga mno na hazina mshiko.

Alipiga shoo Canada watu hata mia 2 hawakufika, shoo iliboa kishenzi.
 
Back
Top Bottom