Diamond sio Msanii wa Kimataifa kama anavyoaminisha watu

Diamond sio Msanii wa Kimataifa kama anavyoaminisha watu

mtu kama Babu Tale au Mama Dangote hawawezi kumsaidia Diamond kujulikana Australia

handlers wake ni tatizo pia
 
Wasanii wanapokuambia nataka mziki wetu ufike kimataifa, huwa hawamaanisha kufika kenye na uganda. naona wewe huelewi chochote, nenda ukawaulize.

Second: achane kujifariji kuwa marekani kuna maisha maguu. siri hiyo nimekupa kaa nayo akilini mwako.
kamuulize diamond unataka soko lipi la kimataifa wakati kenye ni kimataifa.
Samahani mkuu, hii "kenye" ndio "Kenya" au!?
 
Hizo 02 Arena wanajaza robo tatu wa naija wenzao . kama we ulivyoenda kwenye show ya daimond, sema mkawa wa Tanzania wachache . Mngekuwa wengi mbona mnajaza 02 Arena kabisa
Kama vipi Mondi atafute wadau iandaliwe show pale O2 arena, kisha atupatie tiketi wabongo tutimbe hapo London tukaijaze.

Si itakuwa poa?

Au!?
 
Si msanii wa Afrika bali Afrika Mashariki tu, shoo zake za kijinga mno na hazina mshiko. Alipiga shoo Canada watu hata mia 2 hawakufika, shoo iliboa kishenzi.
Samahani kidogo, hapo kwenye shoo kuboa, ilisababishwa na nini!? Ni watu kuwa wachache ukumbi ukapwaya? Au ni yeye kupiga shoo mbovu!?
 
😂😂😂kumbe na ww ulikuwepo kwenye show ya louiS ville.

Ndo ww ulivaa T-shirt ya blue na ndala za Za kimasai...?
 
Jamaa ana makelele mengi ila bado sana...
 
Kajitahidi sana, nenda kaangalie interview ya Trevor Noah na Davido ndio utajua jinsi gani wamefika pale. Anasema the support from their own people till the world agreed with it.

Lakini sisi watu wa Tandika ni negativity ndio zimetukaa kichwani.

Mimi nimepita madukani Brussels nikasikia nyimbo ya Diamond inachezwa, sasa hiyo cha mtoto kuna mji mmoja unaitwa Zootermeer, ni karibu na The Hague, nimeingia shopping mall nikasikia yale maspika ya juu yanapiga nyimbo ya Diamond.

Can you imagine the mall playing the song that they don't understand the language? I was so proud to hear that. Sio lazima awe kama wanaijeria, as long as he's doing good, kuddo👍
 
Diamond wa Tandale bado kuwa msaani wa kimataifa au hajatoboa mipaka ya Dunia kama ilivyo kwa wasanii wa Nigeria.

Vigezo changu kikubwa hana Show kubwa za kimataifa kama Davido na Wizikid. Hana hit song ya iliyopenya kama vile ya Love mwantiti au On the low.

Show zake za marekani bado sana, wateja wake ni baadhi ya wacongomani, warundi, wakenya na wanyarwanda ndo wanaingia show zake. idadi kama watu 300 hivi, niliwahi kuwepo show yake moja ya louisville, kentucky. Tofauti na wazake wanajaza kumbi za 02 arena.

Diamond ni msanii wa africa pekee.
Kwa hiyo ni wa Gongolamboto???

Wabongo mna wivu na hampendi vya kwenu
 
Yani Diamond sio msanii kubwa kwa mujibu wa vigezo vyako?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wakati mtu ni Top 3 African Musician

kwa kigezo gani, ana tuzo gani, ana hit gani?
 
Kajitahidi sana, nenda kaangalie interview ya Trevor Noah na Davido ndio utajua jinsi gani wamefika pale. Anasema the support from their own people till the world agreed with it. Lakini sisi watu wa Tandika ni negativity ndio zimetukaa kichwani. Mimi nimepita madukani Brussels nikasikia nyimbo ya Diamond inachezwa, sasa hiyo cha mtoto kuna mji mmoja unaitwa Zootermeer, ni karibu na The Hague, nimeingia shopping mall nikasikia yale maspika ya juu yanapiga nyimbo ya Diamond. Can you imagine the mall playing the song that they don't understand the language? I was so proud to hear that. Sio lazima awe kama wanaijeria, as long as he's doing good, kuddo[emoji106]

Achana na hizo story mkuu
 
Diamond wa Tandale bado kuwa msaani wa kimataifa au hajatoboa mipaka ya Dunia kama ilivyo kwa wasanii wa Nigeria.

Vigezo changu kikubwa hana Show kubwa za kimataifa kama Davido na Wizikid. Hana hit song ya iliyopenya kama vile ya Love mwantiti au On the low.

Show zake za marekani bado sana, wateja wake ni baadhi ya wacongomani, warundi, wakenya na wanyarwanda ndo wanaingia show zake. idadi kama watu 300 hivi, niliwahi kuwepo show yake moja ya louisville, kentucky. Tofauti na wazake wanajaza kumbi za 02 arena.

Diamond ni msanii wa africa pekee.
una IQ ndogo sana
 
Sio wa Kimataifa and he's 31st years old. Ila anaweza kupiga show sehemu nyingi Africa na nje ya Africa akapata audience yake and he's richer than you.
kwani mleta nada amedai anamzidi jamaaa Hela😀😀
 
Back
Top Bottom