Diamond tafadhali muache Zuchu huru mbakie kwenye biashara pekee

Diamond tafadhali muache Zuchu huru mbakie kwenye biashara pekee

Jay Z anamuheshimu Beyonce. Sio diamond anavyomfanyia Zuchu.

Zuchu na Diamond ni sawa na ‘Ike and Tina’ mpaka hiyo nyimbo 👇


View: https://m.youtube.com/watch?v=oGpFcHTxjZs&pp=ygUpdGluYSB0dXJuZXIgd2hhdCdzIGxvdmUgZ290IHRvIGRvIHdpdGggaXQ%3D

Sema Diamond anavuka mipaka anamu-exploit Zuchu kupitiliza. Age ya Zuchu na Bhoke wa Mangę ni sawa.

Zuchu ni katoto kenye talent ya kuimba tu na Diamond kaanza kukabemenda bado teenager. Kwa Zuchu, pengine Diamond ndio first serious love.

Astahili hizi fedhea Diamond anatakiwa aache, mapenzi na Zuchu abaki kama boss wake wa kazi.

Public negative news za Zuchu chanzo chake ni Diamond. Na Zuchu mwenyewe ni mtoto mdogo sana hana tofauti na mtoto wa rafiki yangu anaitwa Natalię anaishi U.K., Mama yake na mama-Dangote ni mashoga sasa sijui mipango yao ila Diamond ana mahusiano nako na kenyewe ni kadogo kama Zuchu (inadaiwa mama Dangote anataka Diamond amuoe Natalię).

Zuchu ni tunu ya taifa, Diamond amuache huyo mtoto tufaidi mziki wake; kuliko kumfanya kila siku aongelewe vibaya kisa yeye.

Bado naamini Zuchu ili kushamiri anahitaji kuwa chini ya wasafi, ila bila ya mahusiano na Diamond.

Diamond ni toxic kwa Zuchu, waachane kimapenzi. Wabaki msanii na boss.

Yaan Zuchu alingane na Bhoke??we Zuchu kadumaa ni mkubwa yule
 
Sasa nimeelewa kwanini unapendwa hivi.
Watu wanakuita kila Uzi.
"Ona
Toto lina roho nzuri sana.
Toto halibanii vitu vya mjini mitandaoni".
Hapo juu soma in Mondi's voice.
Ila nakuomba ubanie naniliu tu uwe wa kijana wangu pekee. Huyo mtarajiwa wako.
Hadi wanaume mnapenda udaku.
 
Hadi wanaume mnapenda udaku.
Sasa tunaona Mondi kafanya hivi.
Mara video zile.... Hatuelewi what's going on?
Then, curiosity gets the best of me! Natamani kuelewa kuna nini.
I barely socialize with random people in social medias. The only place I can get current news is JF and somehow YouTube. Nafikiri nimeanza kuzeeka Sasa.
 
Sasa tunaona Mondi kafanya hivi.
Mara video zile.... Hatuelewi what's going on?
Hatujui video gani za nani kafanya nini.
Then, curiosity gets the best of me! Natamani kuelewa kuna nini.
I barely socialize with random people in social medias. The only place I can get current news is JF and somehow YouTube. Nafikiri nimeanza kuzeeka Sasa.
Yeah ndio hivyo, mond alikua anamsaliti zuchu na huyo mrembo rita hadi mimba akampatia.
ila wameshaachana baada ya mond kua mbahili hatumi hata hela ya kula kwa rita.😂
 
Yaan Zuchu alingane na Bhoke??we Zuchu kadumaa ni mkubwa yule
Dar ni kijiji kidogo sana watu wengi wanajuana (kweli sio kwa hadithi) za kusimuliwa. Japo simjui Zuchu vizuri sana, ila nilikuwa namjua mama yake vizuri sana kama sister.

Kwa sababu nishaandika mengine sitaki kusema namjua vipi Khadija kopa, watu waunganishe kutokana na maandishi ya awali.

Kwa kifupi ni kwamba, marehemu Kaka yake Zuchu (Omary), kakulia upanga (Mathurudas Road). Khadija Kopa hakuwa mama mzuri alimbwaga tu huyo mtoto kwa jamaa yake.

Zuchu ni katoto kadogo sana, hata kwa muonekano si unakaona.

Wasafi wenyewe wanakwambia kalikuwa background singer kakiwa kana miaka 16. Ka Zuchu ni katoto.

Zuchu ni mtoto mdogo mno, hasta hili stress anazopewa.

Dar ni mji mdogo sana, na kuna wenye mji wao. Mfano mtu kama Mangę kama anataka umbea wote wa mjini kuhusu mastaa wa Dar mtu kama Junaitha hakuna asilojua hapo (waliokulia hapo wanaitana watoto wa kijiweni).

Ni kamji kadogo
 
Hadi wanaume mnapenda udaku.
Zamani tulikuwa busy na mambo ya siasa na uchumi humu JF na mitaani.
Sasa unaona watu wengi humu wanajadili petty issues.
Wanasiasa nao wanakatisha tamaa, pia hatari kwa maisha yako ukijiingiza Sana kwenye siasa.
Unaweza kupotea au kukosa deals au kazi.
Trust me, humu unachangia unadhani hujulikani. Ila tunajulikana na wenye kuhitaji kutujua. Unaweza kupata au kupoteza maisha(deals) kwa comments zako humu.
 
Katika wanamuziki wenye uwezo halisi wa kuimba melody binafsi niliowakubali ni Ruby na Zuchu.

Zuchu angekuwa juu zaidi kama sio Mangę kutwa anamsinga na kumuharibia brand yake.

Zuchu anaimba sio mchezo, ila kwa bongo sidhani kama kuna mtu anamuweza Ruby angekuwa chini ya ABBA au Diamond; Ruby ana vocal range sio ya mchezo.

There's more to music than solely the voice. Character, physique, public image, relationship with stakeholders etc. Hata mondi sio muimbaji Bora kwa maana ya sauti ila anawaacha mbali wengi sana wenye sauti kumzidi.
 
There's more to music than voice. Character, physique, public image, relationship with stakeholders etc. Hata mondi sio muimbaji Bora kwa maana ya sauti ila anawaacha mbali wengi sana wenye sauti kumzidi.
Kabisa ila numbers don’t lie.

Kuna mwanamuziki Tanzania, ukitoa Diamond; anaemzidi Zuchu kwa YouTube views.

Na kwenye video pekee ata ukimuweka na Diamond. Kuna mwanamuziki Tanzania anaemzidi Zuchu kwenye nyimbo ambazo msanii kaimba mwenyewe au featuring zenye 50 million views YouTube.

Embu mtaje (hata Diamond, amfikii Zuchu kwa nyimbo zilizozidi 50m views YouTube).
 
Back
Top Bottom