Diamond: TRA wananifanya kama mkimbizi

Sasa babalevo watu hawataki kulipia Kodi Kwa hiari tufanye vipi eti fundi manyumba?
 
Aendelee kukatia mauno CCM. He is having a taste of his own medicine. Kwani wakereketwa na wanachama wa chama tawala na wao wanalalamika 'barabarani' kama wapinzani? Si akalalamike ndani ya vikao vya chama huko?
 
Aendelee kukatia mauno CCM. He is having a taste of his own medicine. Kwani wakereketwa na wanachama wa chama tawala na wao wanalalamika 'barabarani' kama wapinzani? Si akalalamike ndani ya vikao vya chama huko?
Namimi nashangaa
 
Shetani hana Rafiki , Wewe umetumika mara kadhaa kuibeba CCM , sasa laana ya Mungu imekushukia .

Utavuna ulichopanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…