Diamond: TRA wananifanya kama mkimbizi

Diamond: TRA wananifanya kama mkimbizi

Awaache TRA wamkague, nyie si ndio mnaliaga eti mama anakopa, Sasa mama ameamua kukusanya.

TRA wanatembea mpaka manzese, kwenye maduka, yeye nani asitembelewe?

Na anajua kwamba serikali imeshajua kitu katika makampuni yake. Don't mess na Serikali inapokuwa kazini
Mkuu kwani umemuelewa kijana yeye hajapinga suala zima la kulipa na amesema ni mlipaji mzuri wa kodi anacholalamikia ni namna njia wanayotumia TRA kuvamia ofisi as if yeye ni kibaka
 
Mkuu kwani umemuelewa kijana yeye hajapinga suala zima la kulipa na amesema ni mlipaji mzuri wa kodi anacholalamikia ni namna njia wanayotumia TRA kuvamia ofisi as if yeye ni kibaka
TRA Wana haki ya kuingia mahali popote, na wakiingia, si wavamizi, wanaitumia haki yao kisheria.

Hivi unamtaarifu kibaka kwamba nakuja kukukamata?

Ukitaka mke mrembo, kaoe msibani akiwa analia, au muwahi asubuhi bado hajapaka maunga ya urembo.
 
TRA wamekaa kibabe Sana nimemsikia Diamond akilalamikia kwamba kama wanashida nae number ya simu yake wanao wampigie au kama lolote lipo yupo teyari kuruhusu majadiliano kuliko kumvamia kwenye ofisi yake kama vile ni kibaka binafsi jamaa kaeleza vizuri Sana kwa Huu upuuzi wa TRA watamchafulia Mama sifa
Unaipangije mamlaka ya kiserikali namna ya kufanya kazi?
 
Awaache TRA wamkague, nyie si ndio mnaliaga eti mama anakopa, Sasa mama ameamua kukusanya.

TRA wanatembea mpaka manzese, kwenye maduka, yeye nani asitembelewe?

Na anajua kwamba serikali imeshajua kitu katika makampuni yake. Don't mess na Serikali inapokuwa kazini

Kwani wenye sifa mbaya kwa jamii ni Hawa tu?

Wengine wako huku:

Mamlaka zinapotumika kukandamiza watu

Bure kabisa.

NInakazia: Simba alitukera wengine na kale ka wimbo chake tU. Ila kwenye hili, big No!
 
Ali
View attachment 2463774

“Kuna wakati sipendi kuongea ila TRA wamekaa kama wanataka kuiua WASAFI, sio sawa nadhani viongozi waliangalie hii kwa namna nyingine”

“Kama juzi account zangu zote zilishikiliwa bila hata sababu maalumu inaumiza” Diamona

View attachment 2463774

“Kuna wakati sipendi kuongea ila TRA wamekaa kama wanataka kuiua WASAFI, sio sawa nadhani viongozi waliangalie hii kwa namna nyingine”

“Kama juzi account zangu zote zilishikiliwa bila hata sababu maalumu inaumiza” Diamond
Alizoea kubebwa anatakiwa alipe kodi sa hivi hakuna tena kulipa kodi kwa mtindo wa kutumbuiza kwenye campaign
 
Back
Top Bottom