MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Aende TRAB na TRAT kushitaki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TRA wako kazini, na hiyo ni sehemu ya majukumu yao. Mbona wanatembelea maduka yetu mitaani, nini huyo mkata mauno!?View attachment 2463774
“Kuna wakati sipendi kuongea ila TRA wamekaa kama wanataka kuiua WASAFI, sio sawa nadhani viongozi waliangalie hii kwa namna nyingine”
“Kama juzi account zangu zote zilishikiliwa bila hata sababu maalumu inaumiza” Diamond
TRA tasisi ya kukusanya kodi imfate kwa ajiri ya Sanaa??Ila ujamuelewa alichozungumza wala sio issue yeye kulipa kodi
Anazuga tu hao wanajuanaWacha anyolewe hadi vuzi la mwisho wanakata mauno na kutingisha chura sana nyakati za kampeni.
Mawazo yamemtinga ikabidi afakamie vilevi.Wait a minute, hii issue ndio ilompelekea kuwekewa dripu??