Mkuu kwani umemuelewa kijana yeye hajapinga suala zima la kulipa na amesema ni mlipaji mzuri wa kodi anacholalamikia ni namna njia wanayotumia TRA kuvamia ofisi as if yeye ni kibakaAwaache TRA wamkague, nyie si ndio mnaliaga eti mama anakopa, Sasa mama ameamua kukusanya.
TRA wanatembea mpaka manzese, kwenye maduka, yeye nani asitembelewe?
Na anajua kwamba serikali imeshajua kitu katika makampuni yake. Don't mess na Serikali inapokuwa kazini
Dogo maneno ni mawili tu “LIPA KODI”Ila ujamuelewa alichozungumza wala sio issue yeye kulipa kodi
C uliwaambia Samia mam lao auView attachment 2463774
“Kuna wakati sipendi kuongea ila TRA wamekaa kama wanataka kuiua WASAFI, sio sawa nadhani viongozi waliangalie hii kwa namna nyingine”
“Kama juzi account zangu zote zilishikiliwa bila hata sababu maalumu inaumiza” Diamond
TRA Wana haki ya kuingia mahali popote, na wakiingia, si wavamizi, wanaitumia haki yao kisheria.Mkuu kwani umemuelewa kijana yeye hajapinga suala zima la kulipa na amesema ni mlipaji mzuri wa kodi anacholalamikia ni namna njia wanayotumia TRA kuvamia ofisi as if yeye ni kibaka
Mpaka TRA wafunge acaunt zake ujue kuna mgogoro wa kikodi.Ila ujamuelewa alichozungumza wala sio issue yeye kulipa kodi
Unaipangije mamlaka ya kiserikali namna ya kufanya kazi?TRA wamekaa kibabe Sana nimemsikia Diamond akilalamikia kwamba kama wanashida nae number ya simu yake wanao wampigie au kama lolote lipo yupo teyari kuruhusu majadiliano kuliko kumvamia kwenye ofisi yake kama vile ni kibaka binafsi jamaa kaeleza vizuri Sana kwa Huu upuuzi wa TRA watamchafulia Mama sifa
Mkuu ngoja na wewe yakupate tuone utacomment niniUnaipangije mamlaka ya kiserikali namna ya kufanya kazi?
Awaache TRA wamkague, nyie si ndio mnaliaga eti mama anakopa, Sasa mama ameamua kukusanya.
TRA wanatembea mpaka manzese, kwenye maduka, yeye nani asitembelewe?
Na anajua kwamba serikali imeshajua kitu katika makampuni yake. Don't mess na Serikali inapokuwa kazini
View attachment 2463774
“Kuna wakati sipendi kuongea ila TRA wamekaa kama wanataka kuiua WASAFI, sio sawa nadhani viongozi waliangalie hii kwa namna nyingine”
“Kama juzi account zangu zote zilishikiliwa bila hata sababu maalumu inaumiza” Diamona
Alizoea kubebwa anatakiwa alipe kodi sa hivi hakuna tena kulipa kodi kwa mtindo wa kutumbuiza kwenye campaignView attachment 2463774
“Kuna wakati sipendi kuongea ila TRA wamekaa kama wanataka kuiua WASAFI, sio sawa nadhani viongozi waliangalie hii kwa namna nyingine”
“Kama juzi account zangu zote zilishikiliwa bila hata sababu maalumu inaumiza” Diamond
TRA endeleeni kumshika makalio huyu Fala mpaka Aache kuishabikia CCM
Usiwafundishe kazi
Si mlisema hatutagongeana kulipa?Apeleke ujinga wake huko, deni la nchi lzm tulipe wote
Unaipangije mamlaka ya kiserikali namna ya kufanya kazi?
Hujiulizi matajiri woote Tanzania ni wanaccm ispokuwa Mbowe tuKumbe huwa anawakatikia ccm wakati wa kampeni ili akwepe kodi!!!?
Shetani huwa hana rafiki.
Makonda Baba laomajaliwa baba lao samia mama lao.