Simba ! Pole sana. Ila ukitaka ukwamuke hapo! Hebu mtoae kwanza Kwa muda Zuchuu! Uone yatakayoendelea! Kuna jambo hapo. Utakuja nishukuru!!View attachment 2463774
“Kuna wakati sipendi kuongea ila TRA wamekaa kama wanataka kuiua WASAFI, sio sawa nadhani viongozi waliangalie hii kwa namna nyingine.”
“Kama juzi account zangu zote zilishikiliwa bila hata sababu maalumu inaumiza,” Diamond.
Pia soma;
TRA: Taarifa kuhusu madai ya Diamond Platnumz kwa TRA
Hio kiboko mzee 🤣🤣🤣 jamaa kashindikanaSossy huwa ni shida sana na vyuma vyake, chombo Tourage 2.5m alafu ya mdada 😂😂😂😂
c.c RRONDO
Extrovert
wa kupuliza
ni rahisi kusema hivyo ila msubirie mabadiliko na nyieHuna akili pimbi wewe
Hahahaha 🤣🤣🤣🤣Wait a minute, hii issue ndio ilompelekea kuwekewa dripu??
View attachment 2463774
“Kuna wakati sipendi kuongea ila TRA wamekaa kama wanataka kuiua WASAFI, sio sawa nadhani viongozi waliangalie hii kwa namna nyingine.”
“Kama juzi account zangu zote zilishikiliwa bila hata sababu maalumu inaumiza,” Diamond.
Pia soma;
TRA: Taarifa kuhusu madai ya Diamond Platnumz kwa TRA
Amekudanganya nani kuwa mboowe sio ccmHujiulizi matajiri woote Tanzania ni wanaccm ispokuwa Mbowe tu
Pasipokujua hiki kikombe wafanyabiashara wote tunanywea....tatizo ujuaji mwingi...hapo unakuta kawazingua sana maofisa, tena huyu atakuwa yule wa "hapa hawalambi hata kumi"
Aiseee. Wengine tukajuwa kuhodhi macheni ya 500m/= na kujigamba nayo basi hata TRA wakileta zao siyo issue?!
Analalamika kama sisi?! Kumbe kabwela tu Diamond. Kujimwambafayi kumbe hamna kitu.
Maisha ya social media fake sana sana aise
Mwajiriwa alioridhika na laki 9 yakeWaajiriwa maofisini wasiokuwa na mpango wa kujipatia kipato vinginevyo kwa namna nyingine yoyote iliyo halali wanajulikana kwa comments zao.
Umesikika mkuu.
Hahahahah safari hii haponi mtu, mabilionea wakibongo watakamuka kishenziMkiambiwa hiyo serikali ni broke na inaelemewa na madeni amuelewi.
Walau zama za Magufuli walikuwa wanafuata sheria kabla ya kufunga account. Unafuatwa, toa ushirikiano, toa vielelezo (yes sheria inataka utunze ushahidi miaka 5) wanakufanyia bank reconciliation, uko poa unaachwa, kuna shida (huna invoices) wanazuia account kwa upelelezi zaidi, uchunguzi ukiisha unapewa new tax bill. Ukubaliani na kodi mnaenda kubishana mahakamani kama ile shule ya Arusha na unashinda kesi if you are innocent.
That’s the law ila wahuni na wakwepa kodi wakapindisha ukweli kwa kumtukuna Magufuli kwa kutumia TRA kupora wafanyabiashara na baadhi ya wakwepa kodi wamekimbilia NEC sasa.
Desperation ya serikali ya sasa ndio wameanza kupora kweli bila ya kuheshimu sheria, account inashikiliwa bila ya mwenyewe kupewa taarifa kwanza si ndio uporaji wenyewe huo; ina maana muhusika ata ujashirikishwa kuelewa wanataka nini ndio kodi inavyodaiwa hivyo au huu ni uporaji.
Na bado akili zitakaa sawa tu, chezea madeni. Ila safari hii wakituletea tozo za ajabu tutawahamishia wao kuelekea Burundi kwa kuanza na Mwigulu.
Hapo kwny kutunza Siri za walipa Kodi TRA wako sahihi,kwny Taxpayer Charter kwny Right mojawapo ya Taxpayer Ni Privacy and confidentiality kwa taarifa za mteja.Mbona kama kuna harufu ya Kiki.. hii nchi ina maigizo na movie nyingi sana.. wanaunda ka movie ili ionekana wanasikiliza sana View attachment 2463830
😄😄 huyo mwamba hakunaga bei hana 😄Sossy huwa ni shida sana na vyuma vyake, chombo Tourage 2.5m alafu ya mdada 😂😂😂😂
c.c RRONDO
Extrovert
wa kupuliza
kwa hiyo kufunga account ulitaka iwe siri? sasa imejulikana!Hapo kwny kutunza Siri za walipa Kodi TRA wako sahihi,kwny Taxpayer Charter kwny Right mojawapo ya Taxpayer Ni Privacy and confidentiality kwa taarifa za mteja.
Umeambiwa SA wanataka wakwep Kodi kw mgongo wa ukada?Kwani ye si alikuwa kazini? Hajazitaka siasa zao.
Wakimzingua akafungue biashara zake hata Kenya au SA mbona wanamtaka sana tu.
Kugombana na diamond ni kugombana na wapiga kura.