JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
Anzisha kampuni na wewe,ulipe Kodi,uone utamu wake!!Kuna watu ni kenge sana,hv mnafikiri WCB ilianzishwa kirahisi kama kuanzisha group la Whatsapp!!huyu si ndio mpiga tarumbeta wa ccm kwenye kampen mpumbavu kabisa tena wamshughulikie mpaka atie adabu
Wengine hata genge hamna,mnatukana tu!!pesa anayotumia Mond kufanya birthday ya Binti yake,inazidi kiwango Cha mapato ya baba ake mtu kwa miaka 45 aliyofanya kazi!hapo chuki ndio uanzia!!