Diamond Ushakosa Tuzo, Jua Nafasi yako. Achana na Washamba

Diamond Ushakosa Tuzo, Jua Nafasi yako. Achana na Washamba

Eti "ili diamond awe msanii mkubwa Africa inabidi aache ulimbukeni"..unafiki wa Hali ya juu.Awe msanii mkubwa Africa mara ngapi?

Km kofia hata harmonize na alikiba walivalishwa,mbn nao waliimba majukwaa yote ya CCM? Hapo uwanja wa uhuru bongo muvi na bongo flavour karibia wote walikuwepo

Hivi ktk hili mnalomshututumu diamond,ukitoa Ney wa mitego na Roma mkatoliki kuna msanii mwingine yeyote anaweza kutoka hadharani akasema 'mimi nilikuwa mbele kupinga madhalimu ya utawala wa magufuli'

Mpoto aliwahi Kusema 'kama mnataka kuwafukuza wafukuzeni wote kisha majengo tufugie kuku'
Nami nakuambia ndugu mwaandishi Kama unakemea kemea wote ili km tunaanza upya tuanze upya pamoja_lkn km unamsema diamond peke yake na wengine unawaacha basi kauli yako ya kumsema diamond ni limbukeni na msanii mdogo na kuzidi kumpa ushauri wa sijui afanyaje ili awe msanii mkubwa,kauli hiyo ni upuuzi' na ya kinafiki

Mnasahau mapema sn; enzi ya magufuli kila aliyethubutu kukosoa hadharani chamoto alikiona,chadema wenyewe kibao walipambana mwwnzoni,baadae wakasanda wakaunga juhudi kinafiki,mnasahau?

Mkuu mambo Yakofia yametokea wapi??

Hakuna mahala nimemkataza kuwa na Chama Mkuu.

MANTIKI ya Uzi huu nafikiri hujanielewa.

Na pengine umeniingiza kwenye kundi la washabiki wa Kisiasa na haters wa Diamond
 
Mleta mada unaonekana wewe ni mjuaji wa kila kitu,haya tuambie wewe umelifanyia nini taifa au jamii iliyokuzunguka,au wewe ni mtaalamu wa maandishi tuu?

Naona unawakejeli watu kua kununua sijui simu wanaona wao ni kutusua maisha,mara kununua tv sio kutusua! nini maana ya kutusua kwa tafsiri yako? kama mtu alijiwekea malengo ya kununua kitu fulani na akafanikiwa kukinunua kwanini asione hayo ni mafanikio kwake? mafanikio ni safari isiyo na mwisho,

Uandishi wako umejaa chuki za kijinga dhidi ya jamii iliyokuzunguka,unayo nafasi ya kurekebisha uandishi wako,unamshauri Diamond huku nawe upo kwenye giza totoro!

Ulimbukeni ndio somo letu.

Lakini pia kupitia ulimbukeni nimeelezea Personal interest na Personal Position ndani ya jamii.

Huo ndio muhtasari wa nilichoandika.

Mengine yote uliyosema ninayaweka kwenye maoni yako.
Karibu
 
Ulimbukeni ndio somo letu.

Lakini pia kupitia ulimbukeni nimeelezea Personal interest na Personal Position ndani ya jamii.

Huo ndio muhtasari wa nilichoandika.

Mengine yote uliyosema ninayaweka kwenye maoni yako.
Karibu
Hujajibu nilicho kuuliza!

Nini maana ya ulimbukeni? nini maana ya ushamba?
Ushamba ni kushangaa jambo ambalo wenzako wanaliona ni la kawaida,
so,mtu akinunua simu ya ndoto zake na akafurahi ni kweli anakua mshamba ila akija kuizowea na kuona ni kawaida basi ushamba wake unaishia hapo,kila mtu ni mshamba kwa wakati wake,

Ina maana wewe ukitimiza ndoto zako za kukamilisha jambo fulani hutofurahia kisa usionekane mshamba? epuka uandishi wa kuikashifu jamii iliyokuzunguka kwani hayo maandishi yako walengwa ni hao hao unaowakashifu.
 
nyie wake diamond mna matatizo kweli kweli na bado tutamnyoosha na atanyooka tuuu,
 
Hujajibu nilicho kuuliza!

Nini maana ya ulimbukeni? nini maana ya ushamba?
Ushamba ni kushangaa jambo ambalo wenzako wanaliona ni la kawaida,
so,mtu akinunua simu ya ndoto zake na akafurahi ni kweli anakua mshamba ila akija kuizowea na kuona ni kawaida basi ushamba wake unaishia hapo,kila mtu ni mshamba kwa wakati wake,

Ina maana wewe ukitimiza ndoto zako za kukamilisha jambo fulani hutofurahia kisa usionekane mshamba? epuka uandishi wa kuikashifu jamii iliyokuzunguka kwani hayo maandishi yako walengwa ni hao hao unaowakashifu.

Unajua kusoma au unajua kuandika tuu??

Kwenye Uzi, hujasoma maana ya ULIMBUKENI?

Hujasoma baadhi ya Aina za Ulimbukeni nilizoandika?

Kama na wewe unatabia za kishamba ndio uache, sio unapata kigari unaanza kusumbua watu..

Unanunua home theatre unapigia watu kelele.

Acha ushamba,

Utajua mwenyewe ukiona nakukashifu au nawakashifu shauri yako.
 
Hujajibu nilicho kuuliza!

Nini maana ya ulimbukeni? nini maana ya ushamba?
Ushamba ni kushangaa jambo ambalo wenzako wanaliona ni la kawaida,
so,mtu akinunua simu ya ndoto zake na akafurahi ni kweli anakua mshamba ila akija kuizowea na kuona ni kawaida basi ushamba wake unaishia hapo,kila mtu ni mshamba kwa wakati wake,

Ina maana wewe ukitimiza ndoto zako za kukamilisha jambo fulani hutofurahia kisa usionekane mshamba? epuka uandishi wa kuikashifu jamii iliyokuzunguka kwani hayo maandishi yako walengwa ni hao hao unaowakashifu.

Nani kakuambia kufurahia mafanikio yako ni Ulimbukeni??

Embu kaa usome vizuri maana ya ULIMBUKENI pale juu maana naona umekurupuka,
Ukisoma Jambo lazima utulize akili na macho Mkuu.

Nikusaidie kunukuu maana ya ULIMBUKENI?? Au unarudia mwenyewe kusoma?
 
Hujajibu nilicho kuuliza!

Nini maana ya ulimbukeni? nini maana ya ushamba?
Ushamba ni kushangaa jambo ambalo wenzako wanaliona ni la kawaida,
so,mtu akinunua simu ya ndoto zake na akafurahi ni kweli anakua mshamba ila akija kuizowea na kuona ni kawaida basi ushamba wake unaishia hapo,kila mtu ni mshamba kwa wakati wake,

Ina maana wewe ukitimiza ndoto zako za kukamilisha jambo fulani hutofurahia kisa usionekane mshamba? epuka uandishi wa kuikashifu jamii iliyokuzunguka kwani hayo maandishi yako walengwa ni hao hao unaowakashifu.

Kwa kukusaidia tuu

"Ulimbukeni ni kile kitendo cha mtu kupata kitu Kwa kizuri au cha thamani Kwa mara ya kwanza, kitu kile kikamfanya atende kinyume na desturi na maadili yanayomzunguka mtu huyo"
 
Nani kakuambia kufurahia mafanikio yako ni Ulimbukeni??

Embu kaa usome vizuri maana ya ULIMBUKENI pale juu maana naona umekurupuka,
Ukisoma Jambo lazima utulize akili na macho Mkuu.

Nikusaidie kunukuu maana ya ULIMBUKENI?? Au unarudia mwenyewe kusoma?
Kumbe umeandika kitu ambacho hata wewe mwenyewe hujakielewa!
 
DIAMOND ACHANA NA WASHAMBA/MALIMBUKENI. TAMBUA NAFASI YAKO.

Na, Robert Heriel

Kitu ambacho kinakwamisha Watanzania tuliowengi ni USHAMBA/ULIMBUKENI.

Ulimbukeni ni like kitendo cha mtu kupata kitu Kwa kizuri au cha thamani Kwa mara ya kwanza, kitu kile kikamfanya atende kinyume na desturi na maadili yanayomzunguka mtu huyo.

Kwa Kiswahili cha kisasa neno Limbukeni ni USHAMBA.

Watanzania wengi ni MALIMBUKENI.
Wengi hatuna Exposure ya mambo yalivyo.

Tuna ulimbukeni karibu kwenye kila Nyanja za maisha.

Yapo malimbukeni ya Madaraka, unakuta jitu likipata uongozi tuu linafanya mambo ya hovyo kabisa. Tumeshayaona hayo malimbukeni, Washamba wa Madaraka.

Wapo Malimbukeni wa Michezo Kama mpira, hayo tumeyaona hata kwenye mashindano ya Club bingwa.
Maneno mengi uwezo mdogo, sifa moja wapo ya Limbukeni au mshamba utaiona kwenye maneno.
Limbukeni hujiinua zaidi kwenye mdomo kuliko vitendo.

Yapo malimbukeni wa Muziki na Umaarufu, haya mengi tunayaona kwa hawa Wasanii WA muziki na maigizo.
Kwa vile mtu hajawahi kuwa Maarufu haya alipokuwa shuleni basi akiwa mkubwa akiwa Maarufu sio ajabu akafanya mambo ya ajabu.

Sio ajabu jitu kuonyesha uchi wake mitandaoni, huo ndio ushamba WA umaarufu, sio ajabu mtu kuvujisha video za uchi au akinyonya denda akiwa anajirekodi. Huo ni Ulimbukeni.

Yapo Malimbukeni ya Fasheni, hawa wengi wao ni Wale waliotoka kijijini kwenda mjini, au waliotoka Tanzania wakaenda ng'ambo huko Ughaibuni.
Hawa wanajikuta wakitoboa masikio na pua ilhali wao ni wanaume.
Wengine wakitoa Marinda Kama Fasheni.

Diamond ni Msanii wa kawaida Kwa wanaoijua Dunia. Ila hapa Nchini ni Msanii Mkubwa.
Diamond ili awe Msanii Mkubwa Duniani lazima aache Ulimbukeni na ushamba.

Asifuate maneno ya Malimbukeni na Washamba ambao Kwa hapa TANZANIA ni zaidi ya 80% ambao ni Washamba.

Ogopa kushabikiwa au kufuata maneno ya watu ambao wanaona kuwa na simu Janja kamaiPhone ndio ujanja.

Ogopa kuwasikiliza watu wanaoona kuwa na Ghetto lenye Flat screen ya inchi 32 ndio kutusua maisha.

Ogopa kushabikiwa na kusikiliza maneno ya washabiki ambao kuwa na Gari ndio kutusua maisha.

Ogopa kushabikiwa na Mashabiki ambao hawataki kununua kazi zako Kwa njia Halali isipokuwa wanaenda Kuburn CD au kurushiwa kwenye muziki library ambazo hazijasajiliwa.

Ukitaka ujue Watanzania wengi ni Limbukeni ni siku uonekane kwenye TV utashangaa ndugu zako na marafiki watakavyokupigia simu na kukusifu.

Ulimbukeni unaitesa nchi hii karibu kwenye kila Nyanja za maisha.
Kiongozi akijenga Ka-Flyover utaona atakavyopiga kelele. Ulimbukeni mtupu!

Limbukeni hatajuagi nafasi zao ndani ya jamii.

DIamond huenda alikuwa hana interest za kutetea Haki za watu ndani ya jamii lakini Nafasi aliyonayo kimuziki ndani ya nchi unanilazimisha kutetea Haki za jamii Apende asipende.

Sasa unakuta jitu Limbukeni linakuambia sio lazima Diamond ajiingize kwenye mambo ya Siasa na uanaharakati hapo ndio unajua mtu huyo Hana Uelewa wowote wa jinsi Dunia inavyoenda.

Mtu unaweza usiwe na interest ya mambo ya Siasa lakini Nafasi yako ndani ya jamii ikakulazimisha kuingia huko.

DIamond wewe ni Msanii Mkubwa hapa Afrika Mashariki, bado unatakiwa ujitahidi uwe Msanii Mkubwa Afrika, ndipo uende Duniani.

Diamond ulichofanikiwa ni katika Propaganda Kwa Limbukeni wa TANZANIA kuwaaminisha kuwa wewe ni Msanii Mkubwa Duniani nao wanaamini hivyo.

Lakini unaowaaminisha ni watu ambao hata hawajui Duniani ni wapi licha ya kuwa wanaishi sehemu ya Dunia.

Hata hivyo sitaacha kukupongeza Kwa hatua uliyoipiga kimuziki kwani sio haba. Ila zingatia kuwa bado unasafari ndefu kuwa Msanii Mkubwa wa Afrika na hatimaye Msanii wa Dunia.

Ulimbukeni ndio kikwazo kikubwa

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Kwa sasa Mvomero, Morogoro
Wewe unataka kuwa chawa pro max hadi unaweka namba ya simu
Acha kujikomba kwa mwanaume mwenzio mavimavi ww
 
Unajua kusoma au unajua kuandika tuu??

Kwenye Uzi, hujasoma maana ya ULIMBUKENI?

Hujasoma baadhi ya Aina za Ulimbukeni nilizoandika?

Kama na wewe unatabia za kishamba ndio uache, sio unapata kigari unaanza kusumbua watu..

Unanunua home theatre unapigia watu kelele.

Acha ushamba,

Utajua mwenyewe ukiona nakukashifu au nawakashifu shauri yako.
Mimi sijakupinga kama mimi bali nimeisemea jamii unayoikashifu kupitia hili bandiko lako la hovyo na lisilo na manufaa kwa jamii,huna lolote la maana uliloliandika hapa kijana,kama na wewe unajiita ni muandishi basi hii ni hasara kubwa kwa jamii.
 
Mimi sijakupinga kama mimi bali nimeisemea jamii unayoikashifu kupitia hili bandiko lako la hovyo na lisilo na manufaa kwa jamii,huna lolote la maana uliloliandika hapa kijana,kama na wewe unajiita ni muandishi basi hii ni hasara kubwa kwa jamii.

Hiyo jamii unayoisema hapa ndio iache ULIMBUKENI,

Kitu chochote kibaya unataka kirembwe rembwe.

Kitu kibaya siku zote kinakashifiwa.

Vijana wa siku hizi ndio mmezoea mambo ya kipuuzi, ufanye kitu kibaya alafu usikashifiwe, ajabu Sana hii.

Nashukuru Kwa mtazamo wako.
 
Ni mda mrefu nasoma maandishi yako nilikua nakuona mtu wa maana sana na mwenye akili lakini leo nimekuona wa hovyo sana,na unaonekana umejaa chuki ambazo hazina maana
 
Ni mda mrefu nasoma maandishi yako nilikua nakuona mtu wa maana sana na mwenye akili lakini leo nimekuona wa hovyo sana,na unaonekana umejaa chuki ambazo hazina maana

Ni mtazamo wako tuu.

Hata ulivyoniona WA maana haikunifanya niwe WA maana au nisiwe WA maana.

Na hata sasa ni hivyo hivyo.
Unaniona sio wa maana KULINGANA na Uelewa na mtazamo wako.

Karibu
 
Back
Top Bottom