Diamond Ushakosa Tuzo, Jua Nafasi yako. Achana na Washamba

Nafikiri mshamba wa kwanza ni huyo kaka Yako. Mtu ukikosa ulichotaka alaf ukaanza kuhamaki pia NI u shamba.
 
Dogo kakosa tuzo achaneni naye.....mwacheni apambane na maisha yake halisi ya Tandale ya kupiga watu majungu. Watanzania hawakutaka ashinde, yeye akabisha akaenda Marekani baada ya kufanyiwa kafara na Mama yake ili ashinde.
 
ipo hivi, hakuna anaye furahia anguko la mwenzake, na walla diamond bado hajaanguka, tena mondi bado ni kijana mdogo hivyo bado ana nafasi ya kujisahihisha pale alipo jikwaa, wakosoaji wake tunamlaumu kwa kushinda kwake kukosoa maovuna mabaya yanayo tendeka na yaliyo tendekeka ktk jamii ambayo yeye anaishi na alipo tokea, yeye kama msanii aliyechomoza na kutokea ktk familia / jamii ya kimaskini ameshindwa kupaza sauti yake nzuri tuu ktk kuitetea jamii aliyotoka kama walivyo fanya manguli wezake kama vile Bob Marley, Luck Dube, Snoopy, Fella Kuti, etc tena yeye alikuwa na nafasi ya kuuwa ndege wawili kwa jiwe mmoja maana bado anakumbatiwa na watawala madhalimu hivyo angeweza kuwatupia jiwe mmoja tuu jepesi japesi ktk kukemea mateso /manyanyaso wanayo / waliyo pata pata hata wasanii wenzake au hata jamii aliyotokea ya tandale kwa mtogole n.k………………….
 

πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘

Kujifunza ndio kufanikiwa.

Hakuna mwisho wa kujifunza
 
Watu hawakupangii maisha Ila interest na position ya mtu ndio humpangia maisha mtu
Interest yes (mtu anafanya kile anachopenda ili mradi asivunje sheria)..., Position inategemea kama unaomba position yenye sheria fulani (mfano ya sheikh, padri n.k.) inabidi ufuate hizo sheria sababu position requires it na hutaki kufuata hizo sheria unaachia position.

Tukija kwenye huyu dogo ni msanii / muimbaji (first and far most ni kutoa kazi zake) na sababu watu wanazinunua basi he is doing something right..., anakidhi matakwa yake (ambayo ni kupeleka mkono kinywani na kuwahudumia jamii yake) hayo mengine ni extras ambayo sio obligation yake (anaweza akafanya au asifanye)...

Hizi pressure na life of stress (kuishi maisha ya watu wanataka nini na sio unataka nini) ndio yanapelekea stars wengi worldwide kuwa na maisha yenye stress na wanaishia kwenye addiction and sadness
 
Dogo kakosa tuzo achaneni naye.....mwacheni apambane na maisha yake halisi ya Tandale ya kupiga watu majungu. Watanzania hawakutaka ashinde, yeye akabisha akaenda Marekani baada ya kufanyiwa kafara na Mama yake ili ashinde.

Kwenye maisha kuna makundi mawili;
Maadui na Marafiki

Maadui hukuimarisha

Marafiki wapo Aina mbili;
Rafiki mnafiki
Rafiki WA kweli.

Rafiki mnafiki huyu ni Kama informer WA maadui ambaye kazi yake ni kutoa taarifa zako Kwa maadui ili ukwame.

Maadui mara nyingi huwa Real
Ila marafiki huwa wanafiki.

Hata hivyo washindi wote hujichunga wawapo mbele za Rafiki zao kuliko wawapo mbele za adui zao
 

DIamond position yake unaijua kwenye Muziki Mkuu?
 
DIamond position yake unaijua kwenye Muziki Mkuu?
Yeye mwenyewe ndio anaijua kuliko hata mimi na wewe..., Let the Boy enjoy his time in the limelight.... It will come the time when he will be yesterdays news..., And the best consolation will be I did enjoy the ride....

Watanzania tupunguze kuwavika mizigo watu.., mfano Samatta amekwenda England kila mtu anamvika matarajio yake...., tuwaache hawa wasanii wa-enjoy maisha yao (its hard enough bila kuwaongezea matarajio yetu)
 
Kuna almasi ilijidai kua juu ya mungu, ika try kuwa juu kizungu

Mwisho wa siku ikaja kubebwa kama nyanya iliyo juu ya fungu
 
Burna boy yuko ndani mond ni mlinzi, ingia kwenye BET mond mshindani burna boy ndo mshindi.../

ukimuona burna sizi usimchukulie kipimbi, Wakati niger master anaheshimika kama dingi.../
 
Yeye yupo taifa la mvomero kule USA ya turiani
 
Yeye yupo taifa la mvomero kule USA ya turiani
ana fanya nini sasa shughuli ishaeleweka sio yake?

Ama kweli ningelua mtoa tuzo wa hiyo tuzo ningemchagua diamond ndo amkabidhi burna boy tuzo yake

Yap naye angalau hata aishike aone ni namna gani inavutia ikowezekana hata picha apigie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…