Diamond usiwapuuze wanaokuandama sasa, hao sio shilawadu au Konde Gang. Chukua hoja zao

Diamond ana mashabiki MAZEZETA sana

Ndio maana petition yake imeishia kupata kura 49 kwa saa 13

Ndio maana hawezi tumia Twitter anajua kule wenye akili ni wengi

Hili daraja hapiti
Hoja ya kuwa Twitter ina watu wengi wenye akili ni hoja ya kizamani mzee, imeshapitwa na wakati. Siku hizi Twitter kuna wajinga na vilaza wa kumimina.
 
Mjifunze kuwa na vipaumbele.
Pambaneni kuhusu katiba mpya, pambaneni kuhusu tume huru ya uchaguzi, mkishayapata haya amieni kwa wasanii. Hakuna mtu mwenye akili timamu ambaye anaweza kupigana vita ambayo anajua kabisa anaenda kupoteza.
 
Yani unamuinea huruma Mondi aliekuzidi kila kila kitu?

Kwa nini usiuonee huruma ukoo wako unaotafunwa na umasikini?
Punguza hasira chief, hawa watu ni wa kwenda nao taratibu kwanza!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wanang'ang'ana tu Diamond amechagua upande ambao sio "sahihi". Hakuna mtu timamu anapigana vita anayojua kabisa kuwa matokeo yake ni kupigwa. Watengeneze kwanza mazingira ya akina Diamond "wajao" kuweza kuwa huru kuchagua upande "sahihi". Wakifanikisha hilo watakuwa na haki ya kuwahukumu wale ambao wanashindwa kuchagua upande "sahihi".
Wanalazimisha kumfanya Diamond mwanaharakati, mambo ya ajabu kabisa yaani!
 
Atuondokee tu bwana, huyu dogo kwa sasa hana issue tena tushajuwa biashara zake.....kaishiwa kimuziki, anaganga tu kwa biashara haramu za kina Salim SK na kundi lake nani asiyejuwa hili?
 
Mtu anashauriwa namna ya kuwa Bora wewe unaleta akili za mende hapa.
Diamond hawezi kuomba radhi wala kuikosoa CCM kwani anajuwa fika akifanya hivyo tu yuko chini ya mamlaka kutokana na biashara zake haramu anazofanya na kina Salim SK na kundi zima limzungukalo. In short, the guy is finished and fucked.
 
Halafu nyie watu aisee! Eti atauona mwisho wake!!!
Kwahiyo unataka kusema Diamond angesimama dhidi ya serikali mnayoituhumu kuwa ni serikali dharimu angekubalika zaidi na "karia" yake ingekuwa na mwisho mzuri?
 
Chadema bwana, wao demokrasia ni kila mtu kuwa chadema na kuisapoti chadema kwenye kila jambo lao hata kama jambo hilo hukubaliani nalo[emoji2297][emoji2297]
 
Tatizo mondi mwenyewe Sasa hivi skendo ndo zina beba kuliko mziki wake. Yaani nyimbo wiki watu washaisahau.
So hata akiomba msamaha... Yule ni mtu wakujali tumbo lake kama most of wanasiasa. So usitegemee akiona ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu au hata za mziki bado atauchuna akisubiria wengine waongee....ni opportunist akusbiri wengine waumie Yeye aneemeke.
Halafu wakati wa anawachamba wapinzani alisahau alizani kuwa mashabiki zake ni wa CCm tu??
Tatizo ni Sasa anapotaka hili jambo liwe la KITAIFA wakati hao mashabiki zake waliomo upinzani wakati wanatekwa wanapigwa mapanga wanafungwa kwa kesi uchwara hakuona sababu ya kuwaongelea. Why now anataka wawe upande wake.
Yeye angekuja a sema jamani "wale mashabiki zangu" naomba mnisapoti but sio kulifanya jambo la KITAIFA.na Uzalendo
Halafu jamani hata tukisema tusapoti hivi kweli hizi nyimbo zake Za weka nipake mate mara nipitie kwenye tope mara nipake mafuta niteleze ndo Nyimbo za kusimama kama TAIFA na kusema zinatuwakilisha???
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Umeupiga mwingi sana humu ndani mkongwe!
Inabidi ufanyiwe "sub"!
 
Atuondokee tu bwana, huyu dogo kwa sasa hana issue tena tushajuwa biashara zake.....kaishiwa kimuziki, anaganga tu kwa biashara haramu za kina Salim SK na kundi lake nani asiyejuwa hili?
Sasa kwanini usimkamate umpeleke rumande kuliko hii kuzunguka zunguka kama kuku anataka kutaga?
 
Diamond Kama haelewi wanachozungumzia wanamtandao nitaamini elimu kweli no muhimu
Samahani lakini mkongwe, "no offense intended".
Kama hauelewi kwanini Diamond ameamua "kuside" na hao unaowaona hawafai wewe ni zaidi ya ndezi.
Kama hauelewi kwanini Diamond ameamua kujiweka kando na uwanaharakati, basi anza kutia mashaka kuhusu elimu yako!
 
Unadhani kila mtu ni shabiki wa mambo ya siasa? kuna sehemu yeyote nimeandika kuhusu chama chochote cha siasa?

Hii thd inamuhusu Diamond na sio chama cha siasa,

Jibu swali nililouliza na kama huna jibu basi ficha ujinga wako kwa kupiga kimya.
Tatizo hao "mbugira" wanadhani kila anayemsapoti Diamond ni MWANACCM!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…