deepsea
JF-Expert Member
- Aug 10, 2013
- 3,287
- 944
aliunga mkono na kuimba kibwagizo cha PIGA KURA YA NDIYO KATIBA MPYA si mzalendo.... na kura yangu kwa davido.
katiba mbovu itaififisha nchi kwa miaka 50 ijayo na mond kaishupalia
hakika mkuu watampigia wale waliompa nguo ya kijani kule songea