Diamond: Zari alikuwa anachepuka na Peter wa P Square

Mbona na yeye alichepuka mpaka na kuzaa nje? Aliwahi kuhojiwa alikanusha kuwa hakuwa na mahusiano na hamisa. Wote hamkutulia mnaishia kulaumiana tu
Alikuja akakubali na kuliweka wazi hilo kwenye Leo tena pale Mawingu FM
 
Mbona na yeye alichepuka mpaka na kuzaa nje? Aliwahi kuhojiwa alikanusha kuwa hakuwa na mahusiano na hamisa. Wote hamkutulia mnaishia kulaumiana tu
Alikuja akakubali na kuliweka wazi hilo kwenye Leo tena pale Mawingu FM
 
Alikuja akakubali na kuliweka wazi hilo kwenye Leo tena pale Mawingu FM
Alikubali? Diamond alishinikizwa baada ya picha za kitandani Hamisa kuvujisha
Akaona Brand yake inaenda kuharibika akajiwahi kukubali haikuwa kwa dhamira yake Bali shinikizo la kibiashara ndo maana Hadi mtoto akawa anamuita Side kid
 
Kila funguo ina saizi ya tundu lake. Funguo ikiwa kubwa kuliko tundu haitaingia, inaweza hata vunjika. Wewe kama mlango wako una tundu kubwa usifikiri hiyo ni kwa kila mwanamke. Tafuta funguo kubwa. Wengine wako kawaida na wanahitaji watu wa kawaida. Usi-generalize, mama. Kama ulivyosema maumbile ni tofauti kwa wanaume na wanawake pia.
Umeona hiyo midole ya king Bae[emoji1]
 
ZARI NI FIREEEEEEEEEE

ZARI NI KIKIIIIIIIIIIII

BILA ZARI MITANDAO HAITIKISIKI

#ikikuuumamezawembe
 
[emoji23][emoji23][emoji23]mkuu mbona umejibu kiungwana hivo au kiba hundred
 
Inawauma sana. Kuna mmoja aliniapia humu kuwa Zari hataongelewa tena JF baada ya blackrose. Cheki leo anavyokimbiza uzi. Watu wanatamani kulia kisa maisha ya Zari
Angekuwa Hana pesa asingeishi maisha Yale wale watoto wakubwa wanasoma moja ya shule ghali south Africa.
Anaweza kweli asiwe tajiri lakini sio maskini anajimudu vizuri na maisha ya luxury
 
Kajichanganya..mtu anacheat halafu unadeclare alikua wife material..
Linatqfuta kiki, huyu alipokua na zari alishine mno..now anaporomoka,basi haka katanasha hata kutafutia bwanake kiki ya kushikwa tako hakajui..in short wamedoda vibaya
[emoji23][emoji23][emoji23]jamaa alikosa points hapo hapo anasema alikuwa wife material wake

Tangu lini mtu anaekucheat akawa hivo
 
Boss tagozo jnadanganya na social media ungemjua zarina usingekua unaongea haya
But anyway nadha ni busara kukuacha uamini unachoamini
Na pia nakubaliana na statement yako hapo chini kwamba anaweza asiwe tajiri but kauwezo fulani anako that correct mkuu
Zari ni mdangaji kama wadangaji wengine the only diffference is amejiwekea class yake sababu ana ka exposure fulani so hata udangaji wake hadangi tu na kila mtu ndo maana hata kashfa zake ni za watu fulano hv
Hii ishu aliyofanya kwa diamond kutembea hadi na trainer sijui au wakina katunzi ka hujuo sio mara ya kwanza hata wakat yupo na ivan wakina lawrance wamegknga sana but mwisho wa siku ni binadamu pia so tusimhukumu diamond nae utoto mwingi na kiki zinampeleka so mi am not suprised at all n thsi gonna cost him
Maana zari ana mabwana au marafili a bit powerful
Angekuwa Hana pesa asingeishi maisha Yale wale watoto wakubwa wanasoma moja ya shule ghali south Africa.
Anaweza kweli asiwe tajiri lakini sio maskini anajimudu vizuri na maisha ya luxury
 
Mungu hakupi unachotaka Mungu anakupa unachostahili

Unaposema hao wanawake ni Mal.aya sio Diamond utamuitaje
Kweli kabisa
"
Mungu hakupi unachotaka Mungu anakupa unachostahili"

na ndio maana Zari alimpata malaya mwenzake Mondi na sasa hivi na date na malaya mwengine ambaye anasuuza rungu na mda si mrefu watapigana chini sababu wote malaya ,hata huyu demu anayedate naye Mondi sasa hivi sizani kama kuna future.Nakumbuka nilishawahi kubishana na wewe kuhusu Mondi ,na ninakuambia Mondi atakuja kuoa mwanamke ambaye hamta mtarajia kabisa.Alafu mi si shangai Mondi kudate na wanawake wengi Bob Marley pamoja na IQ kubwa aliyokuwa nayo lakini anakopi kibao kutoka kwa wanawake mbalimbali.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…