Hamisa mzuri bwana ule mdomo tu ndo hauelewekagi
Hamisa mzuri bwana ule mdomo tu ndo hauelewekagi
Uko kama chuchunge na anavyouwekaga ananichefua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ilakale ila kale kakiamka asubuhi bila kupiga deki ya uso mmmm wakawaidaUko kama chuchunge na anavyouwekaga ananichefua
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ubuyu mtamu sana aisee hata kama uko kwny maumivu ya kibuti[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu tunavyo komaa na mapenzi ya watu, si ajabu wengine
huko wanasema hao kina nani sijui pembeni wana michepuko
Sent using Jamii Forums mobile app
Mhh...una maneno weweHamisa mzuri bwana ule mdomo tu ndo hauelewekagi
Zari Kama anataka kuolewa anistue
Ila mahari yake mpaka ifike bei kama ya sigara ndo ntamuoa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]balaa usiususe wakati bado unaupenda utakufa kwa pressure[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ubuyu mtamu sana aisee hata kama uko kwny maumivu ya kibuti
Sema story ya Zari na Peter kitambo kweli kumbe hawakuachanaga?
Haya wale wa bidada bosslady kumbe anadanga tu kama Sisi waje waone alivyokua anakitembeza
Hehee.. Yaani Zari ni Homa ya East AfricaNa uzuri zari hafichi wala kufuta past zake picha nyingi zipo kwenye account zake anaetaka anapekua na kuchukua
Wanatunga story nyiingii kila siku mpya wanasahau uongo wa zamani
Kwani trainer ni outcast?? Mbona mademu zenu wanagawa Kwa waendesha bodaboda [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Anagawa hadi Kwa trainer?ahaa eti boss lady
Hivi ulisomea wapi?? Hahahha comment fupi Ina akiliNimeamini kiboko ya mwanaume msumbufu ni kumove on na mtu mpya
Dai was all quiet until Zari alipoanza onyesha mtu mpya koo limemkaba sanaa kashindwa vumilia
Hahahahah
I love what I see
[emoji2210][emoji2210][emoji2210]Mhh...una maneno wewe
Anaharibu mnoooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ilakale ila kale kakiamka asubuhi bila kupiga deki ya uso mmmm wakawaida
sana unajua ndiyo maringo kumbe ndiyo anauharibu, makeup zinasaidia sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa!!!!utajijuuuu!!!JF ni akili tu, jiangalie usiishi kuigiza na ukajitapa kwa watu
Hana anaemuoa labda anaoa yeye mradi atoe gundu tena bomaniii[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]shogare,msikitin na kanisani atakuskizilia bombaniii tuuuBibie anajuaga kujiliwaza,eti Mrs M count down the big day,khaaa yaani anaonyesha ni kiasi mabomu ya dai yamemuingia,hizo count down tulizizoea kipindi anajiita Mrs Dee,km ningekua yeye zari ningefunga hiyo ndoa na kingbae kimyakimya niwasapraiz wanazengo,seems hajajifunza bado akili za kitoto
Mkwe sijui kwa nini dai kanifurahisha na zile interview[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji4]!!!!!Kwa kweli hata huko kwao dabliyusibii wanasema kaka anaumia sanaaaa. Hakutegemea Zari kumove on haraka hivyo. Alitegemea kutakua na zile on and off za kutosha mpaka Zari ashike adabu ila tukio moja tu na Zarina kasepa mazima
HahaaaaaaaaMzuri kweli sema Diamond hachukuagi kazi mbovu mbovu.
Ushawahi muona live?Mbona hamisa kazi mbovu sasa...