Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Hahaaa!Mimi nainjooooooiiii (in Aristotle's voice)Ulikuwa hutaki kuweka wazi jinsia yako mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaa!Mimi nainjooooooiiii (in Aristotle's voice)Ulikuwa hutaki kuweka wazi jinsia yako mkuu
Watu waishi maisha yao ya ukweli kama sie makapuku!eti kudanga kwa Zari sifaa...tena wenyewe wanasema role modo[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]huku wakidanga wabongo ukahaba,Malaya hawaolewi!!Kucheka kwa zamuuuu acha tucheke tu jamani na tunasubiri part two maisha ya mtandaoni hayaa watu wanaona eti tajiri kwa pic za insta na magari hayana plate namba
DUuuuuuuhh mambo ni moto aiseeee,mji mzito....Ngoja tuone Domo kama atamfukuza zari....hivi Minions ndio nini?Acha tuinjoii maisha mafupiii!!kucheka kwa awamuu[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]Huu hapa ziko nyingi hii tu ndo ilinkoshaa...ya Leo nimeenda nimekuta kafuta ila ndo ilikua konkiiiView attachment 1081313View attachment 1081314View attachment 1081315View attachment 1081316View attachment 1081317View attachment 1081318
Minions wapambe nuksi aka washabiki maandazi also known as misukule wa hizo team hawaambiwi hawasikii,mradi boss wao wanasifia...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]DUuuuuuuhh mambo ni moto aiseeee,mji mzito....Ngoja tuone Domo kama atamfukuza zari....hivi Minions ndio nini?
Ngoja tuone!!!Minions wapambe nuksi aka washabiki maandazi also known as misukule wa hizo team hawaambiwi hawasikii,mradi boss wao wanasifia...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hahahaa wapambe mara nyingi huwa Nuksi kweli.
Diamond hawezi pale ana watoto wake!daimond ana mapungufu but very smart boy
Trainer huyuu...mama anapenda vitoto...six packNgoja tuone!!!
Laiti kama report ya CAG na ile ya IMF ingepata wafuatiliaji kama haya ma drama ya Zari na mwenzake, tungeweza kujikwamua toka hapo tulipo kama taifa.
Wakati kwenye nchi za mabeberu wanaandamana kukemea uchafuzi wa mazingira sio huku vikondoo tuna parade kwenye mitandao kubishana Diamond na Zari nani msafi.Hayo mambo ukiyafatilia yanatia hasira tupuu!!sasa hivi bongo bora nishabikie umbea tuuu!!maana hakuna cha maana!!
Hapa kwa Trainer Zari hawezi ruka ilikujwa lazima mtoto wa tandale asalitiwe.Trainer huyuu...mama anapenda vitoto...six pack
HahaaaView attachment 1081345
Ndo maana hatuendelei sasa tutaendelea saa ngapi while most of the time we discuss people!!!Wakati kwenye nchi za mabeberu wanaandamana kukemea uchafuzi wa mazingira sio huku vikondoo tuna parade kwenye mitandao kubishana Diamond na Zari nani msafi.
Kweli kabisa tena amekiri kuwa yeye Diamond alikua akihangaika na mahusiano mengine lkn mdada alitulia. Lkn hii statement ya kwamba Zari alimpenda kuliko yeye alivyompenda nahisi ni defence tu. Fact ni kwamba wote wameachana haijalishi nani alianza kumuacha mwenzake maana naona kijana anaifanya kuwa big deal yeye kuacha
MMMNhhhhh…. hata kama alikua anacheat,yeye Diamond hakucheat pia??..wanawake kuletewa mtoto ndani ni breaking up point...uhusiano lazima ulege lege...afadhali umkute mwanaume na mtoto ila sio kuletewa ndani, wachache sana wana survive this,mie simlaumu Zari kutafuta na kupata attention somewhere else...Mondi ndio responsible kila siku wanawake...hafu sasa hivi anataka ku play sympathy/victim card..hovyoooooo
Mind your own business
Na wewe ni mmoja ya watu wanaopenda sana ku discuss watu humu jf.Ndo maana hatuendelei sasa tutaendelea saa ngapi while most of the time we discuss people!!!