Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na yeye mama yake alikuwa anamfanyia hivyohivyo baba yake ndo maana anamuona mbayaAmesema Diamond kwenye kipindi cha Block 89 wasafi Fm.View attachment 1079519View attachment 1079521View attachment 1079522
We Numbisa ni mgomvi[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3].. Hujambo lakini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1081962
Hehehee.. Ya kuomba kuwa famous west African countries??? [emoji3] [emoji3]
Hehehee.. Ya kuomba kuwa famous west African countries??? [emoji3] [emoji3]
Hehee.. Yaani yetu machoooWakivurugana na zigo la lawama ataangushiwa pita
Sahihi kabisaa!!!Hapo ndipo utakapo jua kauli za mwanaume huwaga nzito sana na ndio maana tunapenda kukaaga kimya kujifanya wajinga ili kulinda hadhi za wenza wetu.
Kipindi Gardiner kaachana na Jide ,Jide kila siku kumponda kwenye social network na kumuongelea vibaya Gardiner mpaka kumwimba katika Ndi Ndi Ndi lakini jamaa akakaa kimya,ila siku yalipo mzidia ,Gardiner kauli yake ya maneno machache (KUKOJOZA) ,kulilipuka humu JF,Inst,FB mpaka Kigwangala akamtaka Gardiner amwombe msamaha Jide lakini Gardiner akakaza.
Leo Diamond ,Zali kamwongea zaidi ya mwaka mzima kwenye Insta,Snapchat kutwa kumponda Mondi,interview za nyuma Mondi kila akiulizwa maswala ya Zari anapotezea,ila interview ya masaa matatu ya Juzi Diamond anaonekana mkorofi na ndio maana mara nyingi wanaume tunashauriwa kupotezea sababu kauli zetu huo nzito sababu kiasili sisi wanaume ndio wenye mamlaka hapa duniani.
Na wewe ni mmoja ya watu wanaopenda sana ku discuss watu humu jf.
SawaSijabisha na sina maendeleo nipo nipo tu!!
Diamond ana kifua sana aisee,kaishi kwa machungu muda wote huo kumbe alikua anamegewa hahahah
Sasa Mange si Bora akae kimya maana kuanzia Le Mutuz Hadi Tanzania nzima wanajua wanajua alipata laana baada ya kulala na Nani yake ( RIP).Da mange huaga nakupendaga unajua kumsuuza huyu kahaba mzeee....!!mtu mzima unadhidhirisha uzinzi mbele ya watoto wako yaani ile haya Mungu kashaondoa tayari ...
Watu wanaona kuzini sifaa!!!chaaaaa!!!!View attachment 1082090View attachment 1082092View attachment 1082098View attachment 1082099View attachment 1082102
We nawe nshakuambia jifunze kubalansi shobooo!!!!Sasa Mange si Bora akae kimya maana kuanzia Le Mutuz Hadi Tanzania nzima wanajua wanajua alipata laana baada ya kulala na Nani yake ( RIP).
Katika watu wote Mange alipaswa kuwa wa mwisho kuongea
Umekosa points umekimbilia huko?We nawe nshakuambia jifunze kubalansi shobooo!!!!
Mtoto wa kiume unakua mbea mbea..hivi Dada yako akifanya ujinga huu utamsapoti?nna hakika haujazidi miaka 20 weye kama hauna 15 basi 19
Kwa heriiiiii
Tutaongea kwa sababu ni masupastaa!na sijakimbilia huko ila nimekuongela hvyo kwa kua umeniingiza na Mimi!badala ya kuwatazama hao wawili!Umekosa points umekimbilia huko?
Kama hutaki mtazamo opposite na wewe usicomment humu kausha.
Acheni Tabia ya kupangiwa watu maisha
As long as yeye ndo maisha yake na yanampa furaha huna sababu ya kumuona anakosea.
Unamtetea Diamond kwasababu Ni mtanzania mwenzio au kwasababu humpendi Zari?Wewe unaemkosoa diamond?unatenda haki?Tutaongea kwa sababu ni masupastaa!na sijakimbilia huko ila nimekuongela hvyo kwa kua umeniingiza na Mimi!badala ya kuwatazama hao wawili!
So kama ulitaka kubalansi hukupaswa kukashifu watanzania wakati wanaoongelewa ni maarufu!
Mnapenda mnaowapenda wasisifie wasisemwe hata wakifanya upuuzi
Zari ni kahaba kama wengine that's it!!!diamond namsifu kavumilia!haijalishi ni mzuri au sijui classic haibadilishi ukweli kua ni mdangaji kama wengine!