Chereko tena
JF-Expert Member
- Dec 9, 2019
- 467
- 520
- Thread starter
-
- #81
Jukwaa lilipoa nikaamua kulichangamsha nisamee dada yanguYaani nimekasirika hadi nimejikuta nacheka comments za wadau, ila we Chereko kuna kitu unanitafuta mda mrefu, sawa bana endelea, mjanja wewe😒na ni kweli mimi ni Me, nachuna ng'ombe vingunguti, kiwigi kinatoa mvuke sana tu😏
Mkuu tengua kauli kwanza ya kusema wewe ni mwanaume kabla hujaendelea na kuquote wengine..Yaani nimekasirika hadi nimejikuta nacheka comments za wadau, ila we Chereko kuna kitu unanitafuta mda mrefu, sawa bana endelea, mjanja wewe[emoji19]na ni kweli mimi ni Me, nachuna ng'ombe vingunguti, kiwigi kinatoa mvuke sana tu[emoji57]
Sina cha kuwanyima wala kuwapa mkuu, mimi ni Mchuna ng'ombe tu😀Mkuu tengua kauli kwanza ya kusema wewe ni mwanaume kabla hujaendelea na kuquote wengine..
Unataka utunyime nini mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu yaani upo serious Kama humu tunajuana,potezea mkuuSina cha kuwanyima wala kuwapa mkuu, mimi ni Mchuna ng'ombe tu😀
Sina cha kuwanyima wala kuwapa mkuu, mimi ni Mchuna ng'ombe tu😀
😀😀 we ni mkorofii, mi huwa naishia kuchuna tu nyama wala sihusiki mkuuMkuu hata hiyo nyama Mimi
nakula kama ukinipa
Hee🙄financial ana fanana naka paka kangu[emoji79][emoji79]
Basi nitaridhika na ngozi mie[emoji3][emoji3] we ni mkorofii, mi huwa naishia kuchuna tu nyama wala sihusiki mkuu
Relax madam anaelewaMkuu yaani upo serious Kama humu tunajuana,potezea mkuu
Sawa shemeji 🤣
tayarrudisha ile avatar Tunu yangu.
Muulize financial akikubali Kaka hakatai shemeji
Nakuachia hilo zoezi mkuuMuulize financial akikubali Kaka hakatai shemeji
Na heshimu privacy mkuuInaonekana unamfahamu vizuri embu funguka mkuu.
Eeeeh walaatayar
Hapana siamini, hata kidogo.Uzi ufungwe imeisha, nipo kawaida sana😏
Daaah unao wangaoi jamani?, me mwenyewe nataka nianze kuapply, kutuma maombi.My babe, sielewiii