Nmekwambia unasumbuliwa na wivu basiKwa sasa ulaya nzima hakuna golikipa mfupi chini ya 1.8m sasa huyo Diarra mwenye 1.79m huko ulaya ataenda kudaka ligi gani? Hivi unafikiri kuna timu inapenda kuruhusu goli 50+ kwa msimu mmoja?
Diarra ataendelea kudaka hapahapa miaka yote na sio Ulaya tu hata top clubs tu za hapa Africa haziwezi kumuwazia kwanza nimewashangaa Mali kumuamini golikipa mfupi kwenye michuano mikubwa kama hii
Diarra anapata timu ligi za Denmark, Sweden, Switzerland, Portugal, etcKaka kwa kimo cha diara ni ngumu sana kupata timu ulaya, sisemi haiwezekani ila ni ngumu sana
Kuna makipa nmewataja hapo juu kawatafte then uje tujadiliWewe unasema hatuna hoja lakini hujiulizi kwanini ulaya hawachukui makipa wenye vimo sawa na diara? Unaamini diara ndio kipa wa kwanza mwenye kimo kile? Kwanini ulaya huwakuti kwenye ligi zote unazozijua wewe?
Kaka subiri mwakani diara anasajiliwa madridAcha kujificha kwa Cassilas nmekupa mifano ws makipa watatu Bartez, Jordi Masip tena yeye ana 179cm same to Tobias Sippel mmoja yupo Spain Laliga mwingine yupo Bundesliga
Marseille ya matejooMarseille wanamtaka Aishi Manula
Ngoja msimu ujao tuone ataibukia timu ipi katika hizo nchi nafikiri hata yeye anatamani kucheza hukoDiarra anapata timu ligi za Denmark, Sweden, Switzerland, Portugal, etc
🔨🔨🔨Misemo ya namna hii embu waachie wanawake mkuu.
Massip anacheza La Liga ipi mkuu? Na akiwa na timu ganiNmekwambia unasumbuliwa na wivu basi
Punguza roho mbaya lofa weWanahisi tunaongea kishabiki labda au chuki ila tunachosema ndio uhalisia wa mpira ulivyo kwa sasa ulaya yote na hata duniani tu
Huwezi kuwa na kipa mwenye urefu chini ya futi 6 (1.83m) ni risk kubwa sana
Ndio maana unaona hata mataifa ambayo kiasili ni wafupi mfano China, Japan au hata Korea Kusini pamoja na wao kuwa wafupi lakini hawana golikipa mfupi kama Diarra wote makipa wao wanaanzia 1.89m sasa ndio ije kuwa ulaya kweli?
Sote tunatamani Diarra afike mbali iweze kuipa heshima na ligi yetu ila kiuhalisia ni HAIWEZEKANI KAMWE.
Mkuu acha kujitoa ufahamu huyo Jordi Massip hachezi La liga yupo Segunda DivisionAcha kujificha kwa Cassilas nmekupa mifano ws makipa watatu Bartez, Jordi Masip tena yeye ana 179cm same to Tobias Sippel mmoja yupo Spain Laliga mwingine yupo Bundesliga
Watu wajinga kama wewe hua sina mda wa kuongea naoKaka subiri mwakani diara anasajiliwa madrid
Hujui unacho kiongea kwa hio timu zinazofungwa magoli mengi zin makipa wafupi? unajua sababu ya Villadolid kushuka daraja au unaongea kujaza sever?Massip anacheza La Liga ipi mkuu? Na akiwa na timu gani
Massip ninafaham anacheza Real Valladolid ikiwa ni Segunda division sio La liga hiyo timu ilishashuka daraja na pia huyo Jordi wakati yupo Laliga alikuwa akiruhusu 40+ per season ndio unataka na timu nyingne zilete kipa wa aina hiyo tena toka Africa?
Si bora huyo Jordi yupo nyumbani kwao Spain japo hachezi premier
Wewe ndio mjinga ila hujajua tuWatu wajinga kama wewe hua sina mda wa kuongea nao
Nimekwambia utaje makipa wenye kimo sawa na Diarra wanaocheza ulaya unanitajia makipa wanaocheza ligi daraja la pili na wengne unawataja wamemzidi kabisa Diarra kimo unawataja hivi ni kwamba umekosa kabisa hadi uokoteze majina?Hujui unacho kiongea kwa hio timu zinazofungwa magoli mengi zin makipa wafupi? unajua sababu ya Villadolid kushuka daraja au unaongea kujaza sever?
Achana nae mkuu kaishiwa hoja huyo jamaa naonaWewe ndio mjinga ila hujajua tu
Borussia M'gladbach inacheza daraja la pili? nyie ndio mtaji wa Mangungu umesema Villadolid ilishuka sababu ya kipa mfupi Shiffed utd msimu wa 20/21 ilifungwa goli 63 kwenye ligi kipa akiwa Aaron Ramsadale (191cm) ni kwamba huna akiliNimekwambia utaje makipa wenye kimo sawa na Diarra wanaocheza ulaya unanitajia makipa wanaocheza ligi daraja la pili na wengne unawataja wamemzidi kabisa Diarra kimo unawataja hivi ni kwamba umekosa kabisa hadi uokoteze majina?
Afadhari yangu nnatoa fact kuliko wewe una bwata tu kama bataWewe ndio mjinga ila hujajua tu
Labda niku wewe una akili kuliko kocha wa Mali maana pale bench kuna kipa anacheza Sweden urefu wake ni 1.94m aka amua kuanza na Diara ?au AFCON wanacheza watu wafupi?Mkuu acha kujitoa ufahamu huyo Jordi Massip hachezi La liga yupo Segunda Division
Na huyo Tobias Sippel unayemtaja wa Borussia Monchengladbach mbona ana heights safi tu tena kamzidi hata Cassilas, Sippel ana 1.83m hiyo sio height mbaya kwa kipa though kwa Bundesliga nzima yeye ndio kipa mfupi zaidi sasa jiulize mtu mwenye 1.83m ndio golikipa mfupi zaidi kwenye ligi then unataka walete kituko cha 1.79m kucheza ligi yao hivi unaelewa ugumu wa unachokiongelea ?
Huyo Sippel nimekuuliza ana 1.79m kama Diarra mbona unashindwa kueleza kwanini umemtaja golikipa mrefu kabisa kujustify ufupi wa Diarra au ndio kuishiwa HojaBorussia M'gladbach inacheza daraja la pili? nyie ndio mtaji wa Mangungu umesema Villadolid ilishuka sababu ya kipa mfupi Shiffed utd msimu wa 20/21 ilifungwa goli 63 kwenye ligi kipa akiwa Aaron Ramsadale (191cm) ni kwamba huna akili