Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 13,588
- 22,752
Hili jambo linawezekana sema tatizo la wabongo ni wababaishaji in nature Mradi ukianza zitaanza dana dana mpaka zitazuka ngumiWa Ethiopia wametoboa sana kwa team work.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili jambo linawezekana sema tatizo la wabongo ni wababaishaji in nature Mradi ukianza zitaanza dana dana mpaka zitazuka ngumiWa Ethiopia wametoboa sana kwa team work.
Usisahau pia kutuangalizia na susi tuliopo hapa Namanga mpakani sky.Ngoja niangalie kwenye kamusi kwanza.
Sio watanzania nilikuwa na shida na ww Kuna VITU nilikuwa nataka kujua khs UK ulinipotezea km unijui Hali hii ni Diaspora mwenzio watanzania kazi yetu chuki Roho mbaya na roho ya kwa nn mwenzio asipate...Diaspora mkiweza kuwekeza kwa mfano muweke $100 kila mwezi kila mmoja. Muunde kamati, muamue kujenga kitu mfano Mall.
Inategemea idadi yenu, mkiwa 20+ mtamaliza haraka. Mkimaliza kila mtu aingiziwe faida yake kila mwezi.
Hata mkichoka kubeba mabox faida itakua inaingia kila mwezi kama kiinua mgongo cha ziada.
Kuna kuwa na account mnaiweka fixed deposit kwa miaka miwili hakuna kuchukua hela mnaweka tu.
Mnakua na mawasiliano, ikiwezekana siku ya kutoa mnafanya transaction kwa malipo ya kiwanja, mkandarasi nk. Pia mnakua na mwanasheria.Ikifika siku ya kutoa kwa ajili ya mpango mzima nani ataratibu??--- kumbuka uaminifu ni jambo muhimu sana katika mambo ya jumuiya, au umesahau zama za maduka ya ushirika during those Ujamaa eras??
Mnakua na mawasiliano, ikiwezekana siku ya kutoa mnafanya transaction kwa malipo ya kiwanja, mkanxarasi nk. Pia mnakua na mwanasheria.
Duuh....ilikuwa juzi tu hapo....Kumbuka utawala ulibadilika, zile zilikua enzi za Kikwete.
Well I have done it myself, we were 11 of us and we agreed to collect 1,000 each monthly and is given to one of us. A year you are guaranteed 10,000 of whatever currency. That was the only way I managed to build my first house.Huyo mwanasheria ni mtu au ni Robot??-- what I mean, you can't walk faster togeher rather you can being alone. Yours is an appealing theory to ponder and not to implement.
Pia ninadhani ni tahisi mkiwa na common values such as you are neighbours or work mates.Hii kitu, nimeona kwa 254 wamefanikiwa wengi.
Ila inahitaji hao mnaowaita Diasporas wawe wanapokezana kusimamia huo mradi.
Ukisema ukae utume pesa bila kutembelea/kuwepo hapo, utaumia.
Wazo zuri ila watanzania wakiwaga nje wakiwaga na mishahara mikubwa hawatakagi biashara kabisaDiaspora mkiweza kuwekeza kwa mfano muweke $100 kila mwezi kila mmoja. Muunde kamati, muamue kujenga kitu mfano Mall.
Inategemea idadi yenu, mkiwa 20+ mtamaliza haraka. Mkimaliza kila mtu aingiziwe faida yake kila mwezi.
Hata mkichoka kubeba mabox faida itakua inaingia kila mwezi kama kiinua mgongo cha ziada.
Management ya hiyo idea yako ni ngumu mno haswa biashara inasimamiwa na hawa wabongo
Diaspora mkiweza kuwekeza kwa mfano muweke $100 kila mwezi kila mmoja. Muunde kamati, muamue kujenga kitu mfano Mall.
Inategemea idadi yenu, mkiwa 20+ mtamaliza haraka. Mkimaliza kila mtu aingiziwe faida yake kila mwezi.
Hata mkichoka kubeba mabox faida itakua inaingia kila mwezi kama kiinua mgongo cha ziada.
Duh mromania tena[emoji41][emoji41][emoji41]Unamleta m Romania mradi apate viza. Unajua makusanyo ya maduka kwa mwezi ni shilingi ngapi.